Utambulisho (Member Intro Forum)

Say hello and introduce thyself to the other JF members...
Hi All, Nafurahia kujiunga Dimbani mwenu ikiwa mtanikubali!:) I am still trying to get my way around and hopefully when I do, we'll get to know each other more. Nitashukuru mkinikaribisha..
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Haya wale walevi wenzangu, na wasio walevi wa kilaji (najua ulevi wao upo wapi). Mie ndo nimeingia nikiwa chicha haswa. nayumba nashangaa nyumba haina kaunta hii. Weita pls lete moja bariiiidi...
0 Reactions
25 Replies
5K Views
hodi.. hodi nyumba hii.... mimi ni mgeni eneo hili naomba mnikaribishe kwani mimi ni ndege mtulivu nisiye na matata nimeruka toka MOA, MANZA BAY NIKAFIKA TANGA MJINI , NIKARUKA MPKA HUKU...
0 Reactions
8 Replies
3K Views
Toka Februari 2009 nimekuwa msomaji wa mara kwa mara wa mijadala humu. Sasa msomaji nimekuwa mchangiaji SM
0 Reactions
2 Replies
1K Views
waungwana najitambulisha na kuchukua nafasi hii kujiunga nanyi, nataraji kuelimika na kuelimisha kwa yale tutakayochangiana......... asanteni sana kwa post moto moto
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Hodi wana-JF, naomba ukaribisho!!!!
0 Reactions
2 Replies
1K Views
nimeamua kujiunga na mimi asanteni
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Hi jf members
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Nakuombeni mnipokee wanaJF niweze kupata mengi kutoka kwenu ikiwezeka nanyi mengi kutoka kwangu Rgds Bacteria
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Hello members of JF, i am just telling you to be aware of Fredd81!!!! I hope i'll enjoy this forum! Please Give me full support!!!
0 Reactions
6 Replies
2K Views
salute you all! napenda kuchukua fursa hii kuwasalimu wa jf wote! naomba ushirikano wenu,TGIF
0 Reactions
1 Replies
1K Views
A new member is here and wishing to stay alive in forum, so I hope u will receive me.....
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Wakubwa shikamooni!! wadogo marahaba hamjambo!! na wale wenzangu habarini za masiku. Napenda kujitambulisha kwenu katika blog hii. Nawashukuru kwa michango yenu ambayo mingi ni ya kuielimisha jamii.
0 Reactions
11 Replies
3K Views
Matumaini yangu wote mpo katika afya njema. Nafurahi kujiunga na JF na nadhani kuna faida ya kuelimika ingawa sipati wakati wa kutosha kutembelea JF kwa sababu ya kuwa bize sana, lakini nitajaribu...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Hi! Habari wanaJF wote, Ninaomba kupokelewa kwenu, natuamini nitapata mengi kutoka JF na nikijaaliwa mtapokea pia kutoka kwangu. Ahsante, Mama Joe
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Asalaam aleikhum kwa mpigo. Naomba mnikaribishe na majina ya mahoteli au mikahawa ipatikanapo supu ya pweza au pweza wa kuchoma hapa dar es salaam, hasa wilaya ya kinondoni. Ahsanteni sana...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Kwa heshima na taadhima, nawasalimu wapenda maendeleo wenzangu. Tuko pamoja.
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Mimi ni mwanachama mpya kwenye uwanja wetu huu wa mawazo ya kulijenga taifa letu tunaloliita changa, japokuwa sina uhakika kama bado ni changa, ila ninaamini kuwa hapa tutalikomaza kama litakuwa...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Nimefurahi kuwa mmoja wapo wa walioko kwenye hii jamii ya mtandaoni. Asanteni. Napenda siasa uchumi na mapenzi. Shingo
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Naitwa wasunuka,nimekuwa nikifuatilia sana jamii forums kwa muda mrefu sasa na nimeamua kujiunga ili tuwe na nguvu kubwa ya kuleta maendeleo katika nchi yetu na africa kwa ujumla,Napenda...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Back
Top Bottom