Naitwa Achiwa Lila. Nawasalimu kwa furaha tele..
Nimekuwa nikifuatilia kwa muda mrefu mawazo, maswali na majibu mbalimbali katika JF. Kwa kweli yamenifurahisha, yamenifariji, na yananipa...
Naitwa Hamid na naomba kujumuishwa katika jamii. Nategemea nitasaidi kuweka sawa mambo mengi hasa yale ya upotoshaji. Salaam Mwanakijiji lakini ukipokea chochote unaburuzwa. Salam Mwiba lakini...
mabwana na mabibi. tumezoea mabibi na mabwana muda mrefu. tumewapa hawa mabibi nafasi ya kuwa mafirst lakini hawataki so bora mabwana waendelee na ukwanza wao. au sioooo!!!!
Naona kuna memba mpya mwenye majina ya W. J. Malecela. Natabiri atakuwa William John Malecela, kama ni yeye napenda kumkaribisha jamvini.
Tunatarajia mengi toka kwako mkuu
I want to give thanks to all JAMII FORUMS for introducing these web, where by you are free to speak out, in this you deserve the best as you are the best.
All in all this is my first time to...
Ndugu zangu napenda kujitambulisha. Naitwa Muberwa ninaishi Dar es Salaam. Nimefurahi sana kujiunga nanyi katika mtandao huu. Nawatakia majadiliano mema na siku njema.
Hi! JamiiForums
My name is John Kitabi, i'm mechanical engineer by professional, i wanted to say hallow to all members of JF and lets exchange ideas for better future
Greetings ladies and Gentlemen.
I wish to introduce to you our crew of moderators.
1. Brutus (Whole forum)
2. Ole (Whole Forum)
We've 2 new Moderators:
1. PainKiller (Whole Forum)
2...