Utambulisho (Member Intro Forum)

Say hello and introduce thyself to the other JF members...
Wadau mimi mgeni jamii forums naombeni Ushirika wenu Ahsante Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
2 Replies
627 Views
Hello! Salaam kwa wadau wote wa Jamiiforums,Napenda nichukue fursa hii adhimu kama mwanachama mpya wa Jamiiforums kuwatakia Heri na fanaka katika Mwaka huu wa 2019. Hakika Naamini ni kwa neema tu...
1 Reactions
14 Replies
1K Views
Hello wanajamii forum,ni member Mpya. Sina mengi Zaid Ya kuwatakia mwaka wenye mafanikio kwenu na Familia Zenu. Mungu hawatangulie kw Kila jambo LA heriii...! Sent using Jamii Forums mobile app
3 Reactions
3 Replies
831 Views
mi mgeni humu,nimejisajil leo napenda marafiki wa kubadilishana nao mawazo mbali mbali. Sent using Jamii Forums mobile app
1 Reactions
6 Replies
1K Views
Habari. Nafurahi kujumuika nanyi [emoji4] Sent using Jamii Forums mobile app
1 Reactions
5 Replies
689 Views
Hi every one am new here...hoping for the best and challenges..[emoji1479]love
2 Reactions
21 Replies
1K Views
Mimi mgeni humu, naombeni muongozo,hapa nilikua najaribu kupost
1 Reactions
6 Replies
925 Views
Happy New year2019 Sent using Jamii Forums mobile app
1 Reactions
4 Replies
719 Views
Habarini Jamani nimechungulia kwa nje yapata miaka mitatu, na kwa sasa nimeonelea ni vyema nikajisukumia ndani ili nami nifaudu Vinono vya humu.wakati nipo kwa nje nimevutiwa na watu wengi tu...
1 Reactions
30 Replies
3K Views
Madhumuni ya ndoa Ndoa ni haja ya kawaida kwa kila mwanadamu. Inayo manufaa mengi na mazuri, baadhi ya hayo manufaa mengi na mazuri yaliyo muhimu ni haya: Ujengaji wa familia ambayo kwayo mtu...
0 Reactions
3 Replies
957 Views
Hellow jf ama new member humu naskia ni pazuri sana okay hope ntaenjoy life la hapa....(am single and searching) okay byeeeee
2 Reactions
48 Replies
3K Views
Naomba kuungwa jukwaa la imani jamani procedure tafadhali sielewi nianzie wapi Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
2 Replies
946 Views
Habari zenu wakuu? Napenda kujitambulisha kwenu kwa kuwa miongoni mwa wana Jamii forum (JF)naomba ushirikiano amani na upendo. "Pamoja daima"
3 Reactions
33 Replies
2K Views
Hello Jf members am a newcomer here pls welcome me
4 Reactions
50 Replies
4K Views
Jamani jamani, nmeamua kuachana na mitandao yote ya kijamii na kujiunga ktk familia hii kama syo ukoo huu wa wana jf ili kuwa nanyi pmj ktk yanayo jiri na kubadilishana mawazo na mambo yote ya...
1 Reactions
36 Replies
2K Views
Naombeni mnipokee mimi mgeni kutoka facebook na mtandao pendwa instagram. 🇮🇱🇮🇱
1 Reactions
23 Replies
2K Views
Hello everyone, I am from China, I want to make some new friends~:):D Twitter @BeautifulNewWorld
2 Reactions
44 Replies
4K Views
Hai
Habari za huju jamii forumu mimi mgeni Naombeni mnipokee na mnijulishe sheria za humu Asanteni natokea mkoani
3 Reactions
90 Replies
5K Views
Habari zenu wakuu. Hatimaye nimejiunga rasmi JF baada ya kuwa anonymous kwa kipindi cha miaka miwili. Alienifanya nimejiunga ni rafiki yangu Mzigua90 baada kuona app ya JamiiForum kwenye simu...
4 Reactions
88 Replies
7K Views
Back
Top Bottom