Utambulisho (Member Intro Forum)

Say hello and introduce thyself to the other JF members...
Natumaini mpo poa.Mimi hapa ni mgeni humu nimevutiwa kuingia humu baadaya ya kuwa msomaji wa mambo mbalimbali humu muda mrefu nikiwa kama guest naomba mnipokee.
1 Reactions
10 Replies
806 Views
Wazima wote humu, nawapenda
5 Reactions
27 Replies
2K Views
Mie mgeni humu ndani...
1 Reactions
4 Replies
740 Views
Wakuu naomba nieleweshwe inakuaje kuaje mpaka mtu anakuwa Jf-expect member, yan stage anazopitia na naomba nieleweshwe vyeo vyote vya members humu kwa mtiririko sahihi, Shukran
2 Reactions
15 Replies
2K Views
Kazi
0 Reactions
10 Replies
920 Views
Mimi naitafuta familia ya mwalimu wangu aliyekua akiitwa Peter mbeu magesa alifariki mwaka 2008 akiwa ni mwalimu shule moja huku babati manyara ,na kwenda kuzikwa kwao kusoma vijijini. Na baada ya...
0 Reactions
4 Replies
914 Views
Asalaam wakuu. Nimekuwa mfuatiliaji wa mda mrefu kidogo kwenye majukwaa mbalimbali yaliyomo humu jamvini. Nimefurahishwa sana na jinsi watu wanavyo wasilisha mada mbalimbali na uwezo wao mkubwa...
1 Reactions
17 Replies
2K Views
Habari za muda huu mabibi na mabwana. Leo rasmi nimefanya uamuzi. Naomba munipokee.
0 Reactions
4 Replies
711 Views
Hello! My name is Gidabaro Gidale from Mbulu. A teacher by profession. Thanks
1 Reactions
7 Replies
624 Views
Ndugu watanzania wenzangu nawaombeni sapoti yenu yangu kwenye nyimbo yangu mpya .kuitazama vizuri ingia you tube kwenye channel yangu natumia majina (darkhan media )
0 Reactions
2 Replies
986 Views
Salaam wakuu wote, Baada ya kuwa mfuatiliaji wa muda mrefu nimeona ni vema nikaungana nanyi wanajamii,hivyo naombeni mnipokee kama mgeni wenu humu ndani, Shukrani sana kwa wote. Wasalaam.
1 Reactions
31 Replies
2K Views
Naomba mnipokee Mimi mgeni
1 Reactions
5 Replies
818 Views
Ninafuraha sana ndugu wana bodi kujiunga leo na jukwaa hilo.naombeni ushirikiano wenu akina mshana,demiss.shukrani zimwendee MTU mmoja nisiyefamiana kwa kunisaidia sana nimemsumbua usiku kwa...
0 Reactions
17 Replies
1K Views
Najisikia Furaha sana Kuungana Nanyi ndugu Zangu Katika Jukwaa hili adhimu la JF hii Leo. Naombeni mnipokee kwani naamini jukwaa hili ni chumvi ya Maarifa mapya na chakula cha Ubongo pia..Asanteni
2 Reactions
28 Replies
2K Views
Mm mgeni naomba nikaribisheni
0 Reactions
10 Replies
1K Views
Member mpya wa Jf
0 Reactions
9 Replies
1K Views
Mimi ni mgeni humu ndani ila ni msomaji wa mda ,kwa hyo tutakuwa wote ,,
1 Reactions
32 Replies
2K Views
Najaribu kuweka profile picture katik acc.yangu jamii forum nashindwa naomba mnisaidie.
1 Reactions
5 Replies
613 Views
I am Strange in jamii foram please i need your cooperation. Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
2 Replies
531 Views
I am Strange in jamii foram please i need your cooperation. Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
4 Replies
679 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…