Utambulisho (Member Intro Forum)

Say hello and introduce thyself to the other JF members...
Naitwa festo napatikana dodoma ni mgeni hum JF naomba mnipokee nawanasalimu member's wote asanteni
3 Reactions
39 Replies
2K Views
Mimi naitafuta familia ya mwalimu wangu aliyekua akiitwa Peter mbeu magesa alifariki mwaka 2008 akiwa ni mwalimu shule moja huku babati manyara ,na kwenda kuzikwa kwao Musoma vijijini. Na baada ya...
2 Reactions
5 Replies
845 Views
Naitwa PaAmandu natokea Nyankongochoro Geita, Kwasasa nipo Dsm, ni mgeni humu nipokeeni.... Pia kama kuna wadau wa Sengerema ni vema tukafahamiana... Ahsante
0 Reactions
3 Replies
662 Views
Habari wana JF ?
0 Reactions
3 Replies
574 Views
Hellow naitwa Hussein Msoleka all the way from Dar Es Salaam I'm a university scholar holding BAED in history and Swahili language also I'm a footballer though kama kuna team around Ukonga Banana...
1 Reactions
7 Replies
686 Views
Naitwa Madam Lucky, nipo Karagwe ni muimbaji wa gospal, youtube: Madam Lucky, instagram: Madam Lucky, facebook: Luck MamaAtukuzwe, whatsap 0769001974/0784297973. Naomba support yako mpendwa na...
7 Reactions
42 Replies
4K Views
gogopesa
0 Reactions
2 Replies
610 Views
Hamjamboni, mgeni humu..Mamakelulu
1 Reactions
6 Replies
576 Views
Hodi
1 Reactions
4 Replies
613 Views
Hodiiiiiiiiii mgeni humu jamn
2 Reactions
13 Replies
858 Views
Mimi ni mwanachama mpya nomejiunga nanyi leo, naomba tuungane ktk ujenzi wa taifa letu
0 Reactions
4 Replies
691 Views
Nadhan jina langu sio la mihmu humu.. Ila ni mgeni na ningependa kujitambulisha...Mimi ni mfanya biashara anayejishughulisha na SEO, Digital makerting na Lead Generation. Nadhan, ntakuwa nashare...
1 Reactions
4 Replies
589 Views
Habari zenu wana jf mm ni mgeni humu ndani naombeni ushirikiano wenu
1 Reactions
34 Replies
2K Views
Hamjambo wana Jamiiforums, nimejiunga nanyi ni Member mpya hodi humu ndani
3 Reactions
11 Replies
1K Views
ni mimi pancho baby boy naomba kukaribishwa.... mchizi kichizi
0 Reactions
9 Replies
856 Views
Kama mnavyoniona niko ndani ya nyumba. Nikaribisheni kiti tu maana nina hamu ya kujua yanayoendelea humu. Nimekuwa nikiwasoma tu kwa juu juu nikagundua kuna mengi humu tena ya kutosha...
2 Reactions
18 Replies
1K Views
Mimi no mprnzi sana wa jf wa siku nyingi ila Leo nimeamua kujitambulisha
0 Reactions
15 Replies
1K Views
Najua wote mko poa wakuu, Naomba mnieleweshe utofauti kati kuitwa Malaya na kuitwa kahaba! Nawasilisha!
2 Reactions
18 Replies
15K Views
I'm so happy to join you member of this land of the clever! Hope to learn a lot from you guys!
0 Reactions
6 Replies
12K Views
Back
Top Bottom