Mwaka 2017 serikali ilileta utaratibu mzuri mno wa wananchi wa Tanzania kupata kitambulisho hiki muhimu cha Taifa
Iliendesha zoezi la kujiandikisha kuweza kupata vitambulisho hivi kila kijiji, na...
Kuna taarifa ya kuwa Meli ya MV. Victoria imesitisha kufanya safari kwa takribani wiki mbili sasa, hiyo ni baada ya kupata hitilafu kwenye mfumo wa uendeshaji lakini mamlaka inayohusika ya...
Mimi ni mwajiriwa wa Halmashauri ya Manispaa ya Kigamboni wananikata TALGWU tokea nimeajiriwa bila kushirikishwa na bila kuandika jina la kujiunga na bila kutia sahihi yangu sehemu yoyote...
Katikati ya eneo la Kitungwa na Nanenane MOROGORO kuna huu mradi wa Star City wenye Viwanja vingi ambavyo havija endelezwa kwasababu mbalimbali! Serikali ya mkoa iingilie kati kwa manufaa ya wengi...
Niko visiting day leo hapa shuleni nimekuta mwanangu wa grade 4 kapigwa sana sehemu za jichoni hadi kutafuta hawezi.
Ameibiwa mswaki, dawa, ndoo za kuogea, nguo za michezo nk, kwa kifupi hajaoga...
Habari wanajamvi wote wa Jamii Forums,
Naomba kushea nao maumivu waliyonayo baadhi ya waliokuwa wafanyakazi wa Mamlaka ya BAndari Tanzania (TPA) ambao walikutwa na kadhia ya kusimamishwa kazi kwa...
Uongozi wa CHASO yaani Chadema students Organization umeshuhudia uvunjifu wa Sheria unaoenda kufanyika katika chuo cha Mwalimu Nyerere baada ya kufatilia ilo uongozi uliandika barua kwenda kwa...
Mamlaka ichunguze kwa ukaribu huduma zinazotolewa na Ofisi za RITA Kibaha. Kuna mtumishi anaitwa shabani anatengeneza mazingira ya rushwa katika kutoa huduma. Amekuwa ni mtu wa kuweka vikwazo...
Habari Wadai.
Hili jambo linakera sana watumishi wa halmashauri ya Kilwa hususan walimu wa sekondari. Inashangaza kuona mwalimu kaenea likizo tangu Juni 2021 na katumia nauli yake kwenda likizo...
Kuna tatizo kubwa kwa upande wa biashara ya mafuta, mfano leo 4 March 2025 (kila Jumanne mwanzo wa mwezi, wiki ya kwanza, kabla bei ya mafuta haijatajwa kama itashuka au itapanda), makampuni mengi...
CHUO KIKUU CHA DODOMA KUNA NINI?
Tumepokea malalamiko kutoka kwa wanafunzi kadhaa walio tarajiwa kuhitimu masomo yao kati ya mwaka2023/2024 kwamba zaidi ya wanafunzi 400 wamekuwa Discontinued...
Zipo tuhuma zinazolikabili kundi la muziki nchini linalopendwa na wakubwa pamoja na watoto na ndiyo kundi linalotumiwa hata kwenye kampeni za kisiasa.
Kwenye kundi hili kuna watu wa ajabu...
Rev.Prof. Philbert Vumilia
Vice Chancellor ,Mwecau: Changamoto za Wanafunzi wa Masters
Chuo Kikuu cha Mwecau kimekuwa kivutio kwa wanafunzi wengi wanaotaka kupata shahada za uzamili (Masters)...
Baada ya member wa JamiiForums kuripoti madai kuwa kuna Mlinzi wa Kanisa Katoliki la Sinza kutuhumiwa kumlawiti Mwanafunzi wa kiume anayesoma Darasa la Tano katika Shule ya Msingi Sinza ya Jijini...
Ikiwa sasa ni Mwaka wapili tunaenda tangu Tangazo la Tenda kutolewa juu ya utekelezaji mradi wa Barabara za Nyakasangwe Kata ya Wazo, kuanzia Bwawani, Umoja Road mpaka Mahakama ya Nakasangwe kwa...
Serikali yetu inahimiza suala la haki, inapinga unyonyaji. Lakini hii imekuwa tofauti katika baadhi ya wahadhiri wa baadhi ya kozi za kiswahili mwaka wa tatu (CoED & Co. Of social sciences)katika...
Salaam Wakuu,
Kuna video itambea sasa hivi ikionesha kiwango cha maji kuwa chini sana kuliko kawaida! Nina imani hili limeshawafikia Wizara ya Maji, DAWASA, ukweli ni upi? Hii ndio hali halisi ya...
Habari zenu wakuu,
Tukubaliane tu kwamba utalii unatutangaza, unatuingizia fedha za kigeni, kuinua uchumi na kutoa ajira. Lakini utalii usiposimamiwa vizuri madhara yake ni mtambuka na ni makubwa...
Habari wadau,
Upande wangu niko salama naendelea na vizuri na swaumu ya Ramadhan, japo janga la maji ni kubwa hasa kwa wakazi wa maeneo yanayohudumiwa na mto Ruvu juu kwa huduma ya Dawassa...
Mkandarasi wa huduma ya umeme REA mtaa wa Nyantorotoro A Geita Msikitini kwa juu ametufanyia hujuma sana wananchi. Nguzo za mradi wa umeme zimewekwa kwa kujuana sana kinyume na ramani ya mradi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.