Amina (siyo jina halisi)mwanafunzi wa kidato cha tatu katika mojawapo ya shule za sekondari wilayani Kibaha mkoa wa Pwani kila siku anaamka saa 11 ili awahi kwenda shule,shule iliyopo umbali wa...
INTRODUCTION:
In many years, African have been living collaboratively in rural areas. Through extended family and neighborhood members have been volunteering each other in various ways to...
WANAFUZI WA VYUO VYOTE WAPEWE MIKOPO YA AINA MBILI KWA WAKATI MMOJA PIA CHETI CHA CHUO KITUMIKE KAMA DHAMANA YA MUHITIMU WA CHUO KUPATA MIKOPO.
HABARI WANAJUKWAA WA JAMIIFORUMS, NALETA MADA HII...
Habar jf
UTANGULIZI.
Serikali kupitia wizara ya afya imezindua sera ya kujitolea katika Sekta ya Afya. Utaratibu huu utawahusu wahitimu wa ngazi mbalimbali (astashahada, stashada, shahada nk) na...
Habari wanajamii forum wenzangu, leo tutaangalia sayansi na teknolojia na vijana katika kuleta tija katika taifa letu.
Karne hii tumeona vile mapinduzi ya Sayansi na Teknolojia yakizidi...
MWELEKEO SAHIHI WA MAENDELEO YA TANZANIA
Maendeleo ni mchakato unaounda ukuaji, azimio, mabadiliko chanya, kupiga hatua, uchumi, mazingira, kijamii na idadi ya watu.
Kusudi la maendeleo ni...
HALI YA MFUMO WA ELIMU NCHI NA NI NINI CHA KUFANYA.
Habari jamii forum na jukwaa zima la stories of change.
Utangulizi
Ndani ya andiko hili nitagusia mfumo mzima wa elimu jinsi unavyoendeshwa...
Dawa na vifaa tiba ni nyenzo muhimu katika kuhakikisha utoaji wa huduma bora za afya kwa wagonjwa waliolazwa mahospitalini na kuhakikisha kuwa jamii inakuwa na kustawi katika afya bora...
Natumahi uko mzima wa afya.
Leo mitaongea kwa ufupi kuhusu TEKNOLOJIA...
Swali hili nimekuwa nikijiuliza sana kutokana na kusoma sana vitabu vya biashara na uchumi pamoja na teknolojia...
Habari wanajukwaa
Tumeskia vitendo vya kuogofya vya wadada wa ndani, kuumiza hadi kuua Watoto, ushirikina n.k. Ila pia Kumekua na Habari nyingi za vitendo vya unyanyasaji vya wafanya kazi wa...
Uchumi na Biashara
Serikali imekua haitoi kipaumbele kwa biashara za matandaonu lakini biashara za mtandaoni zinaweaza kuwa chanzo kikubwa cha mapato ya nchi na ajira kwa vijana. Mfano biashara ya...
Katika maendeleo ya jamii elimu ni nguzo muhimu sana, thamani ya elimu ni kubwa mno kiasi kwamba mtu hawezi akajua thamani ya elimu papo hapo.
Waliofanikiwa na wakapata mafanikio kama ajira...
Taswira kwa hisani ya Google
Utangulizi.
Vijana wengi (siyo wote) sehemu nyingi za dunia wako kwy mkwamo wa maisha pasina kujali wamesoma au la madhali wote wako kwy kundi la ujana. Vikwazo...
MFUMO WA RUFAA YA MATIBABU ni mfumo ambao unamwezesha mgonjwa kutoka kituo kimoja kwenda kigine kwaajili ya kujipatia Matibabu, kulingana na ukubwa wa tatizo, au uhaba wa wataalum , au kulingana...
Kwa mujibu wa matokeo ya sensa ya mwaka 2012 asilimia 77% ya watanzania wanaumri chini ya miaka 35 na asilimia 19% kati ya hao wanaumri wa miaka kati ya 15 – 24.
Kiasi cha ukosefu wa ajira...
Shule ya msingi niliyosoma zaidi ya miaka kumi na tano iliyopita inajipambanua kwa kaulimbiu isemayo “ELIMU NI UFUNGUO WA MAISHA”. Nakumbuka vyema jinsi ambavyo kaulimbiu hii ilifanywa kuwa sehemu...
Ni kitu ambacho kisicho fichika ya kuwa utamaduni wetu zinaendelea kutoweka kadri siku zinavyozidi kwenda. Kutokana na taarifa zilizotolewa na UNESCO ni kwamba kila baada ya wiki zaidi ya lugha...
Ukipata fursa ya kuonana na kuongea na daktari bingwa yeyote wa magonjwa ya watoto au yule wa afya ya kinywa na meno, miongoni mwa ushauri mkubwa atakaokusisitizia ni ule wa kutowapa watoto wako...
Zaidi ya miaka 15 iliyopita wakati nikiwa ningali mwanafunzi wa shule ya msingi, ndoto yangu kubwa ilikuwa kufikia elimu ya Chuo Kikuu. Wakati huo sikuwa na matamanio ya kuwa daktari bingwa...
Habari ya kwako Mdau,
Kwa siku nyingi sasa kumekuwa na changamoto ya barabara hasa katika maeneo ya mikoani ambapo barabara nyingi za lami zimekuwa zikifumuliwa mara kwa mara. Yaani kila baada ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.