SoC01 Threads

  • Suggestion Suggestion
Tatizo la ajira linazidi kuwa janga kubwa sana afrika na dunia na soko la ajira zitazidi kuwa baya zaidi miaka kadhaa baadaye baada ya dunia kuendelea kuamini juu teknolojia ya roboti kuliko...
8 Reactions
10 Replies
4K Views
Upvote 11
  • Suggestion Suggestion
Mambo vipi wakuu, leo katika jukwaa hili nitaorodhesha kazi ambazo unaweza kuzifanya mtandaoni na ukapata kipato kizuri. Bila kupoteza muda, katika ulimwengu wa leo, teknolojia imekwenda mbele...
10 Reactions
18 Replies
4K Views
Upvote 14
  • Suggestion Suggestion
1:ELIMU DUNI YA TANZANIA What is education?? Is the process of facilitating or the acquisition of knowledge, skills,values,morals,beliefs and habits!!so my betlief ni lwamba elimu ipo in...
1 Reactions
1 Replies
743 Views
Upvote 1
  • Suggestion Suggestion
Leo naandika kuhusu nchi yetu ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na vipi iwekeze kwa vijana wa taifa letu. Andiko litaelezea katika sehemu tatu utangulizi ambapo nitatoa maelezo kidogo juu ya...
33 Reactions
83 Replies
10K Views
Upvote 120
  • Suggestion Suggestion
Nitangulize shukrani zangu za dhati kwa kupata fursa kama hii katika kukuza na kukifikisha mbali kiswahili Inatia moyo kuwa kumbe bado watu wanamapenzi ya dhati na lugha yetu ya kiswahili...
6 Reactions
5 Replies
2K Views
Upvote 9
  • Suggestion Suggestion
Posa ni kitu chenye thamani ambacho hutolewa katika familia ya mwanamke na kundi la watu wenye lengo la kuthibitisha uwepo wa ndoa kutoka kwa mwanaume. Katika karne hii ya 21, kundi la wazandiki...
3 Reactions
9 Replies
2K Views
Upvote 5
  • Suggestion Suggestion
Probably huna hela/mtaji mkubwa wa kufanya biashara, hiyo haitakiwi kukuzuia usitajirike Kuna namna 'nature' inaweza kukuAccomodate kwa kdg ulichonacho kupitia MINYORORO YA THAMANI 1. Kama kuna...
12 Reactions
1 Replies
967 Views
Upvote 12
  • Suggestion Suggestion
Rejea katika historia Hii ni kinyume kidogo Na utaratibu tuliozoea kusikia au kushauriwa na wataalamu Wa kiuchumi au wahamasishaji,motivational speakers. Dhana ya kuweka akiba imekuwa ikielezwa...
48 Reactions
51 Replies
9K Views
Upvote 49
  • Suggestion Suggestion
Na Prof Sankara Kitu gani unazingatia unapo nunua matunda?, ukubwa, rangi, utamu urahisi wa bei au mazingira yanapouzwa?. Kwa asili kila biandamu hupenda huduma bora, hata hivyo kulingana na...
4 Reactions
1 Replies
3K Views
Upvote 4
  • Suggestion Suggestion
Nianze kwa kurejea maneno ya waheshimiwa majaji katika kesi ya rufaa No. 175 ya Mwaka 2010 ya JUSTINE KAKURU KASUSURA VS REPUBLIC ambapo majaji walisema hivi “Kwa heshima zote tunapenda...
25 Reactions
16 Replies
4K Views
Upvote 42
  • Suggestion Suggestion
"With references from the movie Coming 2 America" From the movie coming 2 America i have learned that unity between actors,comics and musicians can lead to the making of something big and as in...
1 Reactions
3 Replies
839 Views
Upvote 5
  • Suggestion Suggestion
“TANZANIA’S CAPITAL MARKETS.” (ANOTHER UNEXPLOITED RESOURCE) Tanzania being a lower middle-income country, as of July 2020 according to the World Bank; is trying to its...
5 Reactions
2 Replies
1K Views
Upvote 5
  • Suggestion Suggestion
Leader is a person who have influential power over other people and which is rule other people, suppose I am a leader and I get time to talk with my fellow leaders inside and outside my country, I...
2 Reactions
4 Replies
880 Views
Upvote 3
  • Suggestion Suggestion
Utangulizi Binafsi nafurahi kuona vijana wengi wakike na wakiume wakijiongeza kiuchumi kwa kujiunga na ujasiriamali. Wameichagua moja ya njia inayoweza kutumika kupunguza tatizo la ukosefu wa...
13 Reactions
11 Replies
4K Views
Upvote 19
  • Suggestion Suggestion
Ni kitu cha kushangaza mpaka leo huu mfumo wa kutoa mahali bado unaendelea. Tumefundishwa tokea tulivyo kuwa shule ya msingi ya kuwa mahali sio nzuri kwa mwanamke, inashusha thamani yake katika...
7 Reactions
12 Replies
6K Views
Upvote 7
  • Suggestion Suggestion
AIBU YAKO UMASKINI WAKO Aibu na Umaskini, Vijana wengi tumekumbwa na changamoto ya aibu na kutupa wakati mgumu tutaanzaje kukabiliana na maisha hasa kwa wale walio jaliwa kupata elimu na kuhitimu...
5 Reactions
6 Replies
3K Views
Upvote 9
  • Suggestion Suggestion
Mwaka 2017 wakati nakaribia kumaliza masomo ya shahada yangu ya kwanza pale chuo kikuu cha Sokoine cha kilimo (SUA) nilipata nafasi ya kipekee sana ya kuhubiri mbele ya wanfunzi wenzangu na baadhi...
33 Reactions
19 Replies
5K Views
Upvote 33
  • Suggestion Suggestion
Uchumi ni jumla ya shughuli zote za binadamu zinazolenga kutosheleza mahitaji yao. Namueleza mchumi kama mtaalamu ambaye kesho atajua kwanini vitu alivyotabiri jana havijatokea leo. Mjasiriamali...
8 Reactions
9 Replies
2K Views
Upvote 9
  • Suggestion Suggestion
Tanzania ni moja kati ya nchi masikini Duniani kwenye kundi hilo tupo na Burundi, Sudan Kusini, Niger, Msumbiji pamoja na nchi nyingine nyingi. Nchi hizi masikini Duniani zina sifa zinazofanana...
2 Reactions
15 Replies
3K Views
Upvote 3
  • Suggestion Suggestion
Thomas Edison ni mgunduzi na muasisi wa kanuni za msingi za umeme aliyeishi kati ya mwaka 1847-1931. Wakati Thomas akiwa shule ya msingi walimu wake walisema ni mjinga na hana uwezo wa kujifunza...
10 Reactions
1 Replies
3K Views
Upvote 33
Back
Top Bottom