MITANDAO YA KIJAMII NA UNYANYASAJI WA KIJINSIA:
Kwa majina naitwa MTANDAO WA KIJAMII napatikana hapa hapa ulipo msomaji kwa msaa 24. Mimi nilikuwepo hapa kabla miaka ya 1993. Kwa umri huu huenda...
Habari, jina langu ni Miriam, na leo ningependa kuzungumza na wanajamii kuhusu afya ya uzazi kwa wakina Mama na watoto.
Kumekua na wimbi kubwa la wanawake/mabinti wanaopata ujauzito kwa miaka ya...
Ilikua jumamosi jioni kijijini Mandi, jua la saa kumi na moja likizama. MZEE MASHASHI amesimamia mkongojo wake akitazama shamba pamoja na mwanae ROBERT mwenye urefu futi 6, ngozi nyeusi huku...
“Nayeyuka huku nikiweweseka kiwendawazimu” ni kauli maarufu sana katika hizi juma chache zilizopita miongoni mwa watumiaji wa mitandao ya kijamii nchini Tanzania. Kauli hii inatumiwa sana na...
Habari ya asubuhi wanajamii
Nimekua nafuatilia baadhi ya mambo yanayofanyika katika jamii ya Tanzania leo kwakweli yanasikitisha na kukatisha tamaa. Wakati tunaendelea kulia kuhusu ugumu wa...
Kumekuwa na msemo usemao "VIJANA TAIFA LA KESHO" msemo ambao nimekuwa nikiufanyia uchunguzi kwa muda sasa na nimegundua kuwa msemo huu umekuwa chanzo cha kutudumaza kifikra ama kutufungia nje...
Katiba ni sheria au kanuni zinazoainisha jinsi ambavyo nchi, chama, au shirika vitakavyoendesha shughuli zao.
Kwa upande wa nchi, katiba ni sheria mama inayoainisha misingi mikuu ya kisiasa na...
Daima saratani hutishia inapokuja kugonga, lakini hivyo hasa wakati mlango ambao unagongwa hodi ni wa nyumba yako. Huzuni kubwa, ingawa tiba-mionzi ni bora sana katika kuharibu kansa seli yoyote...
UTANGULIZI
Mfumo wa elimu ya Tanzania ni mfumo unaomuweza mwanafunzi kuelewa mambo mengi sana lakin asijue namna ya kuyafanyia kazi.
ELIMU YA NADHARIA. Elimu ya nadharia ni elimu ambayo hutolewa...
Na EVANCIAN.
Kwa miaka mingi sasa, tumekuwa tukiendelea kushuhudia uporomokaji wa viwango vya Thamani ya Elimu yetu ya Tanzania katika nyanja zote za Uchumi, Siasa, Jamii na Utamaduni...
Katika karne hii ya sayansi na teknolojia imekuwa karne ya mapinduzi mengi ya kimaendeleo na maisha ya binadamu vijana mojawapo ya kundi tegemewa sana kwenye karne hii, kwa wakati huu pia ndio...
The government have needed to educate the local community about diseases as well as to help the poor people like Maliwazo within these stories so as to leave like a rich people.
Katika Kijiji...
Zanzibar ianze na lipi kuelekea uchumi wa buluu wenye tija ?
Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar kwenye Dira yake ya maendeleo ya mwaka 2050 miongoni mwa yaliyopewa kupaombele ni pamoja na sera...
Habari wanajamii,
Nimewiwa kuwaandikia hili.
Tangu zamani kumekuwa na tabia za watoto zisizopendeza,huku lawama akipewa mzazi pekee kwa kigezo cha kushindwa kulea mtoto katika maadili mema. Siku...
UTANGULIZI
Kwanza nianze kwa kumshukuru Mungu kwa pumzi na uhai anaozidi kunikirimia katika maisha yangu yote. Pia nawaombea uzima na afya njema jopo zima la JF kwa kuweka jukwaa wazi kwa umma na...
Nchini Tanzania idadi kubwa ya wakazi wake wanajihusisha na shughuli za kilimo hali inayoifanya sekta hii kuwa uti wa mgongo kwa uchumi wa mtu mmoja mmoja na taifa kwa ujumla.
Mchango wa Kilimo...
Jioni ya jana nikiwa natoka katika harakati zangu za kila siku niliamua kufaya mazoezi kwa kutembea kwa miguu tokea kazini hadi nyumbani tofauti na nilivyozoea malanyingi huwa napanda usafiri wa...
Ikumbukwe tu nchi yetu ya Tanzania katika sekta ya viwanda bado iko chini, na kuna kipindi kinafika nyanya zinakuwa nyingi sana na bei zake huwa ziko chini mpaka inafikia hatua zinaoza na kutupwa...
Habari ndugu zangu mliomo humu. Ningependa leo tutafakari kwa pamoja kuhusu hili suala la "Afya ya akili kwa vijana".
Tuanze na kujiuliza kuwa; Kijana ni nani? Na kwanini afya yake ya akili...
Wazo hili lilimjia bwana Kingambe pale alipoona wizi mwingi unatokea pale ambapo, watu wa karibu wanapofahamu namba za siri za ndugu au rafiki zao. Mfumo huu pia, unaondoa hatari ya mwenye pesa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.