SoC03 Threads

  • Suggestion Suggestion
UTAMADUNI WETU, UTAMBULISHO WETU: KUCHOCHEA MAGEUZI KATIKA SEKTA ZA UTAMADUNI, MALIASILI NA UTALII Imeandikwa na: Mwl.RCT UTANGULIZI Tanzania ni nchi yenye utajiri mkubwa wa utamaduni...
1 Reactions
1 Replies
425 Views
Upvote 2
  • Suggestion Suggestion
1. Adhabu za Kisheria: Ukiukaji wa sheria za mazingira unaweza kusababisha adhabu za kisheria, ikiwa ni pamoja na faini, ada za kisheria, na hata kifungo, kulingana na uzito wa ukiukaji. Mashirika...
1 Reactions
1 Replies
237 Views
Upvote 2
  • Suggestion Suggestion
Wajibu katika Sekta ya Mazingira ni muhimu kwa usimamizi bora na uhifadhi wa maliasili zetu. Hapa kuna maandishi yanayoelezea umuhimu wa uwajibikaji na jinsi unavyoweza kutekelezwa katika sekta...
2 Reactions
2 Replies
339 Views
Upvote 3
  • Suggestion Suggestion
Sekta ya Mazingira ni muhimu kwa uendelevu wa sayari yetu na ustawi wa vizazi vijavyo. Ili kukuza utawala bora na uwajibikaji ndani ya sekta hii, mabadiliko kadhaa yanaweza kufanywa na...
1 Reactions
1 Replies
261 Views
Upvote 2
  • Suggestion Suggestion
. Sio kila mtu anaweza akawa mwajibikaji kama hajajua vitu muhimu ambavyo mtu mwajibikaji anapaswa kuwa navyo. Mtu mwingine hujaribu kuwa mwajibikaji kwa mda fulani, lakini kwasababu hajazoea hayo...
0 Reactions
0 Replies
364 Views
Upvote 1
  • Suggestion Suggestion
Pachua ni kitendo Cha kutegua ficho kwa kuweka wazi, kionekane kile kilichomo ndani. Hivyo basi, mimi leo napachua kile kilichomo katika malezi kama shule ya kwanza ya ukuzaji na uleaji. Malezi...
2 Reactions
4 Replies
385 Views
Upvote 2
  • Suggestion Suggestion
Katika mada yetu mwaka huu, kama we ni kiongozi jiulize maswal adilifu, nini maana ya uadilifu? Je, Kama viongozi, mnaongoza watu wenu kwa uadilifu? Je, nini hutokea kiongozi Anapokosa uadilifu...
3 Reactions
3 Replies
502 Views
Upvote 4
  • Suggestion Suggestion
Napenda kutoa shukrani zangu za dhati kwa JamiiForums kwa kuandaa na kutoa nafasi hii ya kipekee kwa wananchi. Huu ni mtazamo wa mfano mzuri katika uhuru wa vyombo vya habari kwa jamii...
1 Reactions
3 Replies
542 Views
Upvote 2
  • Suggestion Suggestion
Utangulizi Tanzania, taifa linalojulikana kwa urithi wake wa kitamaduni na mapenzi ya michezo na burudani, limeona ukuaji mkubwa katika tasnia hizi kwa miaka mingi. Hata hivyo, kama nchi nyingi...
1 Reactions
1 Replies
243 Views
Upvote 2
  • Suggestion Suggestion
ANDIKO LA MAONI Maendeleo ni mchakato unaohusisha ushirikiano baina ya wananchi, haiwezekani wananchi wote wakafanya kazi zote kwa pamoja katika eneo moja .Ni lazima kuwe na mgawanyiko wa kazi...
1 Reactions
1 Replies
366 Views
Upvote 3
  • Suggestion Suggestion
Uongozi ni jambo jema sana ndiyo maana uongozi upo ndani ya watu wote, na uongozi ni rafiki na shughuli za wanadamu. Uongozi kwangu ni mamlaka ya kusimamia na kuwa mstari wa mbele kuhakikisha...
1 Reactions
1 Replies
633 Views
Upvote 3
  • Suggestion Suggestion
Habari ni taarifa kuhusu tukio au matukio fulani inayowasilishwa kwa mtu au umma kutoka upande mmoja kwenda mwingine. Haki ni stahili alizonazo binadamu kutokana na asili ya utu alionao na sheria...
3 Reactions
24 Replies
1K Views
Upvote 6
  • Suggestion Suggestion
Tanzania taifa lililozaliwa miaka 59 iliyopita baada ya muungano wa Tanganyika na Zanzibar lenye watu takribani milioni 60 Taifa ambalo mchezo wa Mpira wa miguu unapendwa zaidi kuliko mchezo...
2 Reactions
1 Replies
637 Views
Upvote 2
  • Suggestion Suggestion
Mwishoni mwa miaka ya 1970, Tanzania tuliweza kuingia katika vita nzito dhidi ya adui wetu kutoka Uganda Nduli Iddi Amini ambapo Uganda iliivamia Tanzania na kwetu akawa kikwazo na adui ambaye...
1 Reactions
2 Replies
458 Views
Upvote 1
  • Suggestion Suggestion
Kwanza nianze kwa kuipongeza serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa jitihada kubwa inayoendelea kuzichukua katika kutunza na kulinda mazingira yetu na vyanzo mbalimbali vya asili ambapo...
78 Reactions
5 Replies
3K Views
Upvote 94
  • Suggestion Suggestion
USAWA WA JINSIA, JAMII YENYE NGUVU Imeandikwa na: Mwl.RCT HISTORIA YA USAWA WA JINSIA Usawa wa jinsia ni suala ambalo limekuwa likijadiliwa kwa muda mrefu katika historia ya binadamu. Harakati...
1 Reactions
2 Replies
426 Views
Upvote 1
  • Suggestion Suggestion
Mimekuwa nikifuatilia kwa muda mrefu mwenendo wa usafiri wa mabasi ya mikoni. Kiongozi mmoja akifuta safari za usiku na mwingine akizikirudisha. Mmoja ikichagua mabasi gani yasafiri usiku na...
1 Reactions
1 Replies
1K Views
Upvote 1
  • Suggestion Suggestion
Mtembea bure si sawa na mkaa bure, kutembea nako ni kusoma na lengo la kusoma ni kupata maarifa,ujuzi,mbinu na mikakati kubadili hasi kuwa chanya. Nami nimeaandaa safari hii tukasome yote yaliyo...
1 Reactions
1 Replies
291 Views
Upvote 1
  • Suggestion Suggestion
Naitazamia nchi ya watu wazima, huku nikiwa na kiasi cha tashwishi. na kujiuliza maswali, kama nchi ya watu wazima tunataka nini? hivi mwelekeo wetu ni upi? kiongozi ni yule, na mwongozwa ni huyu...
1 Reactions
1 Replies
372 Views
Upvote 1
  • Suggestion Suggestion
UTANGULIZI Jamii asilila ni kikundi au mkusanyiko wa watu wanaoishi kwa pamoja katika eneo la kijiografia moja wakitambulika na kuunganishwa na historia na utamaduni unaofanana wakiishi katika...
0 Reactions
0 Replies
452 Views
Upvote 0
Back
Top Bottom