SoC04 Threads

  • Suggestion Suggestion
Serikali inapo amua kufanya jambo na watendaji wanapo timiza majukumu yao hakuna kinacho shindikana.hatua ambazo serikali inapaswa kuzichukia kuwalinda wananchi na matukio ya taasisi/ vikundi vya...
0 Reactions
4 Replies
223 Views
Upvote 0
  • Suggestion Suggestion
Leo tunakutana hapa kujadili mustakabali wa nchi yetu katika ulimwengu wa teknolojia, hususan Teknolojia ya Akili Bandia (AI). Teknolojia hii ina uwezo wa kubadilisha maisha yetu kwa kiwango...
0 Reactions
0 Replies
229 Views
Upvote 0
  • Suggestion Suggestion
Jeshi la kujenga taifa (JKT) ni moja ya chombo kilichoundwa tarehe 10 Jul, 1963 baada ya nchi yetu kupata uhuru. Lengo kuu ni kuelimisha, kudumisha uzalendo, maadili na nidhamu ya vijana na...
184 Reactions
18 Replies
1K Views
Upvote 196
  • Suggestion Suggestion
Awali ya yote, naomba nieleze historia yangu kwa ufupi. Nia na madhumuni niweze kujenga picha ya jumla katika lengo zima la uzi huu. Nilizaliwa katika mkoa wa Mwanza nchini Tanzania, Baba yangu...
30 Reactions
89 Replies
4K Views
Upvote 56
  • Suggestion Suggestion
Katika miaka 25 ijayo, Tanzania haina budi kujitahidi kuwa taifa linalosimamia haki za msingi na utu wa raia wake wote, bila kujali jinsia, umri, au hali ya kijamii. Dira hii imejikita katika...
0 Reactions
0 Replies
183 Views
Upvote 0
  • Suggestion Suggestion
Nitaanza na simulizi fupi ya wakati nikiwa kama darasa la tano ivi niliona kwenye gazeti moja kuhusiana na mwanajeshi aliyebuni genereta/injini inayotumia upepo,mwanajeshi huyo alisema alibuni...
0 Reactions
0 Replies
129 Views
Upvote 0
  • Suggestion Suggestion
Jua linapochomoza juu ya tambarare kubwa za Serengeti, milio ya ndege na mivumo ya nyumbu hujaa hewani tena. Hii ndiyo Tanzania tunayoitaka – taifa ambalo viumbe vilivyo hatarini kutoweka sio tu...
0 Reactions
0 Replies
167 Views
Upvote 0
  • Suggestion Suggestion
Mashuhuda wa ajali wanasema kwamba, eneo ajali ilipotokea ni hatari na huenda kukawa na jini ambaye anasababisha ajali zitokee mara kwa mara. Wanadai kwamba, inawezekana jini huyo ndio sababu ya...
0 Reactions
0 Replies
210 Views
Upvote 0
  • Suggestion Suggestion
Tanzania iko kwenye kilele cha safari ya mageuzi ambayo inaweza kufafanua mustakabali wake kupitia uwekezaji wa kimkakati katika sayansi na teknolojia. Dira ya "Tanzania Tunayoitaka" inajumuisha...
0 Reactions
0 Replies
210 Views
Upvote 0
  • Suggestion Suggestion
Dunia inapoendelea kukua kwa kasi, ikisukumwa na uvumbuzi wa hai ya juu na maendeleo ya kiteknolojia, ni lazima Tanzania ibadilike na kufanya mabadiliko ili kustawi katika siku zijazo. Mfumo wa...
0 Reactions
0 Replies
161 Views
Upvote 0
  • Suggestion Suggestion
UTANGULIZI Shirika la posta nchini kwa miaka mingi toka kuanzishwa kwake limekua na huduma za kusua sua huku kazi ya Usafirishaji vifurushi ikitawaliwa na Sekta binafsi huku Serikali ikipoteza...
2 Reactions
2 Replies
246 Views
Upvote 1
  • Suggestion Suggestion
Tanzania Tuitakayo Miaka 25 Ijayo Ni Tanzania Ambayo Inaamini Binadamu Wote Ni Sawa Hakuna Aliye Bora Kuliko Mwenzie Kwasababu Ya Cheo, Jina, Mali Na Mengineyo. Maana Kumekuwa Na Utaratibu Wa...
0 Reactions
0 Replies
107 Views
Upvote 0
  • Suggestion Suggestion
Katika Maisha ukikosa mwanzo mzuri basi kila kitu kitayumbayumba mpaka kisimame inahitajika kazi ya ziada kwakuwa chochote kile kikianza na msingi mzuri uwezo wa kustawi ni mkubwa maana watu...
0 Reactions
0 Replies
171 Views
Upvote 1
  • Suggestion Suggestion
Utangulizi Sekta ya utalii nchini Tanzania ina changia pato la taifa kwa asilimia kumi na saba (17%) na mapato ya fedha za kigeni kwa asilimia hamsini na tano (55%). Mpango wa Maendeleo wa Taifa...
0 Reactions
0 Replies
224 Views
Upvote 0
  • Suggestion Suggestion
THE STORY OF CHANGE IN TANZANIA 2024---AFYA, ELIMU, AJIRA NA BEI ZA VITU. KWANZA Mwaka 2024 watanzania wanatamani kuona mabadiliko mbalimbali chanya ususani katika sekta za Afya,Chakula, elimu na...
2 Reactions
3 Replies
280 Views
Upvote 6
  • Suggestion Suggestion
Mabadiliko ya teknolojia katika tasnia ya habari yamekuwa muhimu sana katika kuleta uhuru wa vyombo vya habari. Teknolojia imewezesha upatikanaji wa habari kwa haraka zaidi na kwa njia rahisi...
0 Reactions
0 Replies
161 Views
Upvote 0
  • Suggestion Suggestion
Ulimwengu umepita katika zama tofauti tangu uwepo wake hadi sasa tulipo. Zama hizi za sasa za taarifa ni moja kati ya zama ngumu na muhimu sana kwa jamii kwa sababu bila kuwa na taarifa jamii...
1 Reactions
0 Replies
187 Views
Upvote 1
  • Suggestion Suggestion
Utangulizi Katika miaka ya hivi karibuni uhalifu wa kimtandao umekuwa tishio kubwa sana kwa wafanyabiashara, makampuni na mataifa mengi duniani.Tanzania kama nchi zingine imekumbwa na tishio hili...
1 Reactions
0 Replies
121 Views
Upvote 1
  • Suggestion Suggestion
Katika kipindi cha miongo michache iliyopita, Tanzania imepiga hatua kubwa katika maendeleo ya kijamii na kiuchumi. Hata hivyo, changamoto za utawala bora bado zinabaki kuwa kikwazo kikubwa katika...
2 Reactions
0 Replies
527 Views
Upvote 2
  • Suggestion Suggestion
Utangulizi Tanzania ni nchi iliyobarikiwa kwa wingi wa mali asili zinazojumuisha madini, misitu, wanyamapori, ardhi yenye rutuba, na vyanzo vya maji. Kwa miaka mingi, mali hizi zimekuwa zikivutia...
1 Reactions
0 Replies
213 Views
Upvote 1
Back
Top Bottom