SoC04 Threads

  • Suggestion Suggestion
Kwanza kabisa nichukue nafasi hii kumpongeza Mh Raisi Mama Samia pamoja na viongozi wote wanaopambana usiku na mchana kwa kuhakikisha Taifa hili linajengeka vyema nakuwa imara kila leo, uku...
0 Reactions
0 Replies
149 Views
Upvote 0
  • Suggestion Suggestion
UTANGULIZI: Tanzania inatakiwa kuwa na malengo ya kuwa nchi yenye usawa wa kijinsia na kuheshimu haki za binadamu kwa wote. Moja ya changamoto kubwa ni ukatili wa kijinsia na ndoa za utotoni...
1 Reactions
0 Replies
240 Views
Upvote 2
  • Suggestion Suggestion
Tanzania imekuwa ikikumbwa na changamoto ya ajali za barabarani ambazo zimechangia kwa kiasi kikubwa vifo, ulemavu na uharibifu wa Mali na vyombo vya usafiri. Katika taarifa zinazotolewa nyingi...
0 Reactions
0 Replies
210 Views
Upvote 0
  • Suggestion Suggestion
Malezi Malezi ndio Msingi bora wa kutengeneza watu bora na watu wa maana katika nchi ,malezi yasipokuwa mazuri kwa watu hakika tutatengeneza Tanzania ambayo itakosa kuwa na viongozi wazuri na...
0 Reactions
0 Replies
182 Views
Upvote 0
  • Suggestion Suggestion
UKUAJI WA SEKTA YA MAWASILIANO NCHINI Namshukuru Mwenyezi MUNGU kwa kunipa fursa ya kuchangia mawazo muhimu yatakayosaidia TANZANIA yetu katika miaka 5-25 ijayo, kupitia Jamii forums. Dunia ya...
18 Reactions
4 Replies
279 Views
Upvote 19
  • Suggestion Suggestion
JE SIASA MCHEZO MCHAFU? 1. Mchezo huo mchafu unaamua nani awe Rais wa nchi 2. Mchezo huu mchafu unaamua nani awe Makamu wa Rais 3. Mchezo huu mchafu unaamua nani awe Waziri mkuu 4. Mchezo huu...
0 Reactions
0 Replies
139 Views
Upvote 0
  • Suggestion Suggestion
Awali ya yote nipende kutoa pongezi kwa timu mbalimbali za michezo pamoja na wawekezaji wake hapa Tanzania( Simba na Yanga) zimejitaidi kadri ziwezavyo kulitangaza soccer la Tanzania kwa kila...
0 Reactions
0 Replies
299 Views
Upvote 0
  • Suggestion Suggestion
Utajiri: Utajiri ni namna ya kuwa na vitu vingi vya thamani na kuwa na vyanzo vya mapato ambavyo vinamilikiwa na mtu au nchi .Tanzania imebalikiwa na katika utajiri wa vitu vingi sana vya...
0 Reactions
1 Replies
191 Views
Upvote 0
  • Suggestion Suggestion
SEKTA YA ELIMU "ELIMU" ni msingi katika maisha ya sasa naya baadae. napenda kuzungumzia kuhusu utoaji wa na ufaulishaji wa shule za serikali haswa za kata na nyinginezo. ili tuweze kuifikia...
0 Reactions
0 Replies
155 Views
Upvote 0
  • Suggestion Suggestion
In the heart of East Africa, Tanzania stands at a crossroads. For too long, its justice system has relied on speculation and circumstantial evidence to prosecute suspects, often resulting in...
3 Reactions
0 Replies
351 Views
Upvote 6
  • Suggestion Suggestion
Sawa
0 Reactions
0 Replies
103 Views
Upvote 0
  • Suggestion Suggestion
UTANGULIZI: Fomu ya Polisi namba 3 (PF3) nchini Tanzania ni hati rasmi inayotumiwa na polisi kuandika ripoti za matukio mbalimbali yanayohusisha madhara ya mwili au ajali. Inatumika kama chombo...
1 Reactions
0 Replies
377 Views
Upvote 0
  • Suggestion Suggestion
Kutokana na kila kiongozi /watumishi wanao teuliwa na viongozi wakuu ,mfano rais kuendeleza ufisadi karibu kila secta. Kutungwe sheria maalumu itakayo tumika kuwa filisi ,kutaifisha mali za...
0 Reactions
0 Replies
155 Views
Upvote 0
  • Suggestion Suggestion
SIMBA, YANGA WAMEAMUA KULALA, WAAMKE WAWE MATAJIRI Binafsi nimekuwa mpenzi wa moja wa timu zetu pendwa hapa Tanzania. Nimekuwa mmoja wa wanunuzi na wachangiaji wazuri wa kununua bidhaa pamoja na...
0 Reactions
0 Replies
205 Views
Upvote 0
  • Suggestion Suggestion
Mpango huu wa kina unaonyesha ramani kabambe ya miaka 15 ya kuleta mapinduzi katika sekta ya elimu ya Tanzania, kushughulikia masuala ya kimfumo yenye mizizi mirefu na kulipeleka taifa kwenye...
0 Reactions
0 Replies
130 Views
Upvote 1
  • Suggestion Suggestion
Tanzania ya miaka 15 ijayo inapaswa kuwa nchi yenye mfumo imara wa vyuo vya ufundi stadi (VETA) ambao unatoa mafunzo yanayokidhi mahitaji ya soko la ajira. Kuimarisha vyuo vya VETA ni muhimu sana...
1 Reactions
0 Replies
211 Views
Upvote 2
  • Suggestion Suggestion
Kupanga uzazi ni kitendo cha mtu kuamua kuwa na idadi maalum ya watoto kwa ustawi wa familia yake. Wapo wanaotumia njia hizi wakiwa pia hawajabahatika kua na watoto. Kuna aina kuu mbili za njia...
0 Reactions
0 Replies
150 Views
Upvote 0
  • Suggestion Suggestion
Throughout history, societies have employed storytelling as a powerful tool to convey moral lessons and shape societal values .From the grand myths of antiquity to the theatrical enactments of...
1 Reactions
0 Replies
131 Views
Upvote 0
  • Suggestion Suggestion
Hadithi ya kuhuzunisha Changamoto Za Vijana Tatizo la ajira kwa vijana ni kilio kilichokosa mfariji wa kudumu. Japo kwa Afrika kilio cha ajira machozi yake ni damu Tanzania Vijana wanaongezeka na...
0 Reactions
0 Replies
598 Views
Upvote 1
  • Suggestion Suggestion
Hemiptomia ni nakala ambayo ndani yake utakuta mambo ambayo mtu yeyote haswa mtaalamu au mtumishi wa serikali hawezi hawezi kuthubutu kukufahamisha. Ni mambo ambayo hayafahamiki lakini si kwa kua...
1 Reactions
2 Replies
271 Views
Upvote 2
Back
Top Bottom