SoC04 Threads

  • Suggestion Suggestion
UTANGULIZI Ningependa kumshukuru Mwenyezi MUNGU kwa fursa hii muhimu kwa kuleta mapendekezo na mawazo bunifu yatayoimarisha nchi yetu kwenye sekta ya nyumba na makazi bora kwa raia wa Kitanzania...
12 Reactions
0 Replies
305 Views
Upvote 13
  • Suggestion Suggestion
Karatasi ya Dhana(Concept paper): Matumizi ya Akili Bandia katika Sekta ya Afya ya Tanzania 1. Utangulizi Sekta ya afya nchini Tanzania inakabiliwa na changamoto nyingi, ikiwa ni pamoja na...
0 Reactions
2 Replies
277 Views
Upvote 2
  • Suggestion Suggestion
Tanzania is committed to self-determined progress and a testament to Tanzania’s resolve to emerge as stronger, a more prosperous nation. It’s a call to action for all Tanzanians to unite in this...
0 Reactions
0 Replies
273 Views
Upvote 0
  • Suggestion Suggestion
Tanzania Bara, kila halmashauri ina idara ya ardhi inayosimamia masuala yote ya ardhi chini ya Kamishna wa Ardhi. Ni muhimu kila mmiliki wa ardhi awe na hati/cheti halisi cha hakimiliki...
1 Reactions
1 Replies
283 Views
Upvote 2
  • Suggestion Suggestion
Ulimwengu umekuwa kijiji kwasababu ya ukuaji wa sayansi na teknolojia. Kupata habari na matukio ya ulimwengu ni rahisi sana kuliko hata kuipata shilingi. Hii inatokana na maendeleo na hatua kubwa...
0 Reactions
0 Replies
299 Views
Upvote 0
  • Suggestion Suggestion
Elimu ni Moja ya sekta nyeti sana na yenye umuhimu sana Kwa Taifa lolote lile linalohitaji kupiga Hatua ya kimaendeleo kutoka Hatua moja kwenda Hatua nyingine,na elimu hiyo inatoka kizazi kimoja...
1 Reactions
0 Replies
156 Views
Upvote 2
  • Suggestion Suggestion
TANZANIA IJAYO Joseph Nyoni Nikiwa kama mtanzania, napenda kuchangia mambo kadhaa ambayo yatakuja kuinua taifa hili na kufanya liwe na maendeleo makubwa. Endapo mambo haya yatafanyika basi miaka...
1 Reactions
2 Replies
332 Views
Upvote 2
  • Suggestion Suggestion
1. Tanzania Tuitakayo Ni Lazima Kwanza Itoke Kwenye Mifumo Tegemezi Ambayo Bado Inatufanya Tuwe Watumwa Kifedha, Kifikira Na Mpaka Kutufanya Kuwa Wabinafsi; Mfano; Mambo Ya Kukopa Fedha Kwenye...
0 Reactions
0 Replies
121 Views
Upvote 0
  • Suggestion Suggestion
Miaka ya 1960 mpaka miaka ya 2000 nchini Tanzania runinga nyingi zilitumia mfumo wa analojia ambapo mfumo huo uliwezesha runinga hizo kupata matangazo ya moja bila kuwa na kisimbuzi ambapo...
2 Reactions
2 Replies
302 Views
Upvote 2
  • Suggestion Suggestion
Adui wa haki kwa miaka yote ni rushwa.rushwa limebaki kua fumbo zito kwa nchi nyingi duniani kulitatua ikiwemo nchi yangu pendwa Tanzania, ni Imani yangu kama usipopatikana muafaka wa hili suala...
2 Reactions
1 Replies
205 Views
Upvote 8
  • Suggestion Suggestion
Maono ya Kibunifu kwa Kozi za Mtandaoni kwa Tanzania: Miaka 5 hadi 25 Ijayo Utangulizi Katika ulimwengu wa sasa unaoendeshwa na teknolojia, elimu ya mtandaoni imekuwa njia muhimu ya kuwapatia...
0 Reactions
0 Replies
472 Views
Upvote 0
  • Suggestion Suggestion
Sekta ya elimu ni sehemu kubwa katika maendeleo ya taifa, elimu inasaidia kwa asilimia kubwa maendeleo ya taifa katika uongozaji na jpandaji wa uchumi. Elimu yetu kwakiasi kikubwa imekuwa ni...
2 Reactions
1 Replies
182 Views
Upvote 2
  • Suggestion Suggestion
Ili kupunguza uwizi kwa njia ya mtandao wa tuma kwa namba hii ni vyema Serikali kwa kushirikiana na kampuni za mawasiliano kuja na program maalum ya kuwa na limit ya umbali wa kutuma fedha lkn pia...
1 Reactions
1 Replies
425 Views
Upvote 3
  • Suggestion Suggestion
Wizara ya ujenzi inatakiwa kufanya kazi bega kwa bega na wizara ya madini ilikurahisha upatikanaji wa malighafi za ujenzi wa miundombinu ya barabara ili ujenzi uweze kukamilika kwa wakati na...
1 Reactions
1 Replies
267 Views
Upvote 4
  • Suggestion Suggestion
Tanzania NI nchi ambayo ina taasisi tofauti tofauti kwaajili ya ukusanyaji wa Kodi, ikiwemo TRA, Polis, na Taasisi tofauti tofauti, Ila cha kushangaza ni namna ya usimamizi wa MAPATO Bado...
2 Reactions
1 Replies
237 Views
Upvote 2
  • Suggestion Suggestion
Utangulizi: Kwa muda mrefu mafuriko yamekuwa yakiharibu miundombinu ya uchukuzi na usafirishaji nchini, pia kuleta maafa ya vifo kwa raia na mali zao, na kwa ujumla hurejesha nyuma kasi ya...
1 Reactions
1 Replies
234 Views
Upvote 1
  • Suggestion Suggestion
Makazi ni mahitaji ya binadamu kwa lengo la kukizi huduma za maisha. Maisha ni hali au uwezo wa kuishi kwa kuzingatia kula mlo kamili wenye virutubisho. Tanzania inakumbana na changamoto nyingi...
0 Reactions
1 Replies
273 Views
Upvote 0
  • Suggestion Suggestion
Naitwa Amos maduhu magembe kutoka ubungo manicipal kata ya kibamba. Uchumi ni swala la msingi na UTI wa mgongo Katika maendeleo ya taifa letu la Tanzania Katika maswala ya kiuchumi, tunahitaji...
2 Reactions
1 Replies
172 Views
Upvote 2
  • Suggestion Suggestion
Utangulizi. Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ilianzia mwaka 1962, wakati Tanganyika ilipopata uhuru kutoka kwa Uingereza. Katiba ya kwanza ya Tanganyika ilipitishwa mwaka 1962 na ilikuwa...
2 Reactions
1 Replies
187 Views
Upvote 2
  • Suggestion Suggestion
Tanzania imekuwa moja ya nchi ambazo zinatafunwa na watu baadhi ambao wanachukua pesa za umma kwa matumizi yao binafsi kwa mujibu wa CAG kila wizara imepatkana na baadhi ya watu wabadhilifu kwa...
2 Reactions
1 Replies
162 Views
Upvote 2
Back
Top Bottom