Kiongozi wa Chama cha ACT Wazalendo, @DorothySemu akizungumza wakati wa kikao cha mashauriano kuhusu ziara ya ujenzi wa chama inayotarajiwa kufanyika hivi karibuni. Kikao hicho kimefanyika katika ukumbi wa Juma Duni Haji makao makuu ya chama Magomeni jijini Dar es Salaam, Julai 10, 2024.