Kwenye ukurasa wake wa Twitter Maalim Seif ameandika hivi punde:
"Kufuatia kutangazwa kuanza kwa Uchaguzi ndani ya Chama cha @ACTwazalendo Ngazi ya Taifa leo nimeamua kutumia haki yangu ya kikatiba kuchukua fomu kugombea nafasi ya Mwenyekiti wa Chama Taifa. Nilikabidhiwa fomu na Katibu Mkuu...
Wanabodi,
Mimi ni muumini wa kitu kinachoitwa "karma" ambayo ndio hukumu pekee ya haki hapa duniani!. Hii karma wakati wa kuhukumu, haina huruma kwa sababu hukumu zake ni za haki, unaweza kulipa mema, au kupigwa na mapigo ya kufidia uovu!.
Karma ni powers of 'cause and effects' ambapo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.