Nawasalimu ndugu zangu, nimekuwa kama msomaji wa hili jukwaa kwa miaka kumi Sasa, na Leo nikaona Bora niwe mwanachama, namimi walau kwa uchache wa uelewa wangu nitoe mchango wangu.
Mwanafalsafa mmoja aliwahi kusema “we become adapted to the lack of use of our basic human resources as a results...