Wengi wame na bado wana umizwa na suala zima la mahusiano,,,hivyo basi yahitaji neema ya mnyaaz'mngu ufanikiwe kusamehe na kusahau ili maisha yaendelee .........haijalishi umo ndoani au umo upwekeni.....
Bila kusamehe na kusahau hupelekea muhusika kuugua baadhi ya magonjwa na kupelekea...