airtel

  1. R

    Airtel wamefuta amsha popo duh

    Habar wadau! Nataka nidownload movie hapa amsha popo wamefuta tunafanyaje
  2. F

    TTCL huu ndio muda wenu wa kuvuna wateja wa voda, tigo, airtel, nyinyi shusheni bei ya internet - kodi tra wanawasamehe ki siri siri

    TTCL ni shirika la uma, limefufuka ila halina wateja wa kutosha Sasa huu ndio muda wa kuvuna wateja.. serikali iwabebe kama ilivyoibeba NHIF... Tigo, voda , hallotel mtawapora wateja wote
  3. C

    TCRA na Airtel Mtusaidie

    Katika hali isio ya kawaida mmefunga laini za mawakala zenye kutumia majina ya wakala wakuu kama NITAK LTD, bila ya kutoa taarifa. Mmezifunga laini zenye pesa zetu, tunaomba mtufungulie japo kwa siku moja ili tuzihamishe
  4. 2019

    Airtel tunawapenda sana ila kero zimewapenda zaidi

    Kwa sasa mtandao cheap kabisa ni Airtel ila wana changamoto ya uslow kwenye data, sioni kama kuna hatua zinachukuliwa. Baada ya anguko la Tigo wamepata wateja wengi sana, zile kero za Tigo zamani zimerudi Airtel sasa, ukipiga simu unaweza kuambiwa haipatikani kwa sasa, ukirudia ikapatikana...
  5. Faana

    Airtel zamani Zain zamani kabisa Celtel mnatuangusha

    Tangu mchana leo 4.3.21 mteja akituma meseji haziendi kuna shida gani, je mtatufidia vifurushi vyetu tulivyojiunga na muda wake wa ku expire unakaribia?
  6. C

    Airtel mbona hamjali?

    Pamoja na kuvumilia nainua mikono na kaachana nao. Sababu ni nyingi kwanza badala ya kuendeleza vivutio ili wateja waendelee kuwepo mmeamua kupunguza ofa. Mnamfahamu kabisa kwamba watu wanatumia internet zaidi kwa bando za ofa nyinyi mmegandamiza tshs 1000 kwa MB 500. Pili nimewahi kutuma...
  7. Planett

    Airtel nimewavulia kofia

    Yaani ndani ya dakika 8 nimealiza 2GB? Haya bhana ila mkumbuke malipo ni hapa hapa duniani.
  8. R

    Hii UNI OFA ya Airtel vipi?

    Nimezoea kutumia kifurushi cha UNI OFA cha Airtel napata 500MB. Leo nimejiunga nashangaa wamebadili imekuwa 200MB! Nimeacha Tigo nikahamia huku baada ya Tigo kupunguza sana kiasi cha MB Sasa huku nako wameanza tena mambo yale yale. Wakuu mtandao gani una ofa nzuri ya bundle za internet nihamie huko?
  9. C

    Matapeli wanaotumia kigezo cha wahudumu wa Airtel

    Nimepokea ujumbe unaonitahadharisha kufungwa kwa line yangu. Na nikatumiwa namba ili nitume vitambulisho vyangu, jamani kuweni makini. Details zako ndizo zitatumika kama njia ya kukutapeli. Cha kuzingatia chunguza logo ya masage kutoka airtel, huwa inaanzia herufi kubwa na kufuatilia na...
Back
Top Bottom