Bharti Airtel Limited, also known as Airtel, is an Indian multinational telecommunications services company based in New Delhi, Delhi NCT. It operates in 18 countries across South Asia and Africa, and also in the Channel Islands. Airtel provides 2G, 4G LTE, 4G+ mobile services, fixed line broadband and voice services depending upon the country of operation. Airtel had also rolled out its VoLTE technology across all Indian telecom circles. It is the second largest mobile network operator in India and the Second largest mobile network operator in the world with over 457.96 million (45.796 crore) subscribers. Airtel was named India's 2nd most valuable brand in the first ever Brandz ranking by Millward Brown and WPP plc.Airtel is credited with pioneering the business strategy of outsourcing all of its business operations except marketing, sales and finance and building the 'minutes factory' model of low cost and high volumes. The strategy has since been adopted by several operators. Airtel's equipment is provided and maintained by Ericsson, Huawei, and Nokia Networks whereas IT support is provided by Amdocs. The transmission towers are maintained by subsidiaries and joint venture companies of Bharti including Bharti Infratel and Indus Towers in India. Ericsson agreed for the first time to be paid by the minute for installation and maintenance of their equipment rather than being paid up front, which allowed Airtel to provide low call rates of ₹1 (1.4¢ US)/minute.
SMB Sales Executive -Highland Zone
Airtel Tanzania PLC wishes to recruit for a SMB Sales Executive -Highland Region. The role reports to the SMB Channel Manager in Enterprise Business Department. He/She will be responsible to Acquire quality business customers to contribute towards the...
Hakuna waziri anayevutia wawekezaji kupata faida kwenye biashara ya DATA kama Nape nnauye, kijana anapiga kazi aiseeee
Nimeamka nakuta kifurushi cha 1500 nilichokuwa naapata gb1 kwa sasa ni mb 850, hapo ukilalamika utasikia Nape anasema TCRA fatilia hao, utasikia mnalalamika nini wakati...
Wadau, nataka kupata uzoefu wenu ,, ni card ipi ya online unawezaitumia kulipia huduma mbalimbali za mitandaion. Mfano unataka kulipia kwa dolla ila umeweka hera kwa Tsh etc, je usalama wake.. Naomba wazoefu wasaidie kushare uzoefu.
Hapo mwanzo waliuza hiki kifurushi kwa shilingi 1500 naona sasa ni 1,000
Sent: *149*99# Received:
0. Balance/Swahili
1. Special Offer/UNI
2. SMS
3. All Networks
4. Airtel-Airtel
5. Internet
6. Combo
7. Unlimited Bundles n Next Sent:
2 Received: Select Bundle
1 .200Tsh=200SMS 24hrs
2...
Siku ya alhamisi nilinunua salio la Tsh. 3,000 kutoka airtel money kwenda Voda. Airtel walirudisha msg kuwa muamala umefanyika na salio wakakata. Vodacom hakukuwa na taarifa yoyote kama muamala umepokelewa.
Napowapigia airtel wanasema kwao muamala ulifanyika niwaulize voda. Voda wanasema...
Hello, naomba msaada namna ya kuondoa lock, nilizima simu nlikuwa naicharge ,then mtoto kaiwasha akaanza kubashiri wrong password ili acheze game.
Now inanitaka ni input 8digits .Sina ata kumbukumbu wapi niliweks puk naomba za line.
Naomba mwenye uelewa anisaifie please
Wakuu nawasalimu kwa jina la JMT,
Imekua kawaida sasa kila nikipiga simu ya kwanza (kuanzia saa sita kamili usiku na kuendelea) napokelewa na ujumbe NDUGU MTEJA LINE YAKO HAIJASAJILIWA KWENYE MFUMO WA SPEED YA 4G HIVYO HUTAWEZA KUITUMIA KWENYE 4G TAFADHARI IBADILI SASA UPATE GB 7 BURE. Huu...
Hata kama wamepata balozi mzuri wa kuwatangazia matangazo yao tatizo sio matangazo bali ni huduma.
Airtel money changamoto,kama una haraka huwezi kutoa pesa fasta ukaondoka.
Kupiga simu,wanatoa dk nyingi sana za kuwasiliana lakini unaweza kutumia dk mpaka 5 hamuelewani mnabaki kuulizana...
Nimeamka asubuhi nikakutana na ujumbe kutoka kwa rafiki yangu ambae ni mfanyakazi wa Airtel (TSM), akiwa amenitumia Tangazo jipya la Joti.
Nikatabasamu kwa kuwaza kwamba Airtel wamefanikiwa kumnyofoa Joti kutoka Tigo; nikawaza au labda huyu muwekezaji mpya alieingia Tigo amechagiza jamaa...
Kwako waziri Nape
Siku za hivi karibuni kumejitokeza hali isiyo ya kawaida ya spidi ya Mitandao ya Voda na Airtel kuwa ndogo sana.
Licha ya spidi kuendelea kuwa ndogo lakini gharama za vifurushi vyao imeendelea kuwa ileile (ukiachilia mbali like sakata la mwaka Jana la kupanda bei za...
Habari wadau. Kwa wenye uzoefu na hizi mobile money watuambie kiwango cha mwisho ni kiasi gani?
Je inawezekana kwenye line moja kuweka milioni 5 kwa siku. Na ukamtumia mtu hiyo milioni 5 kwa muamala mmoja na yeye akapokea bila shida?
Kwa mteja wa kawaida tu sio wakala. Je anaweza kuweka...
Airtel Tanzania PLC wishes to recruit for Enterprise Operation Support Engineers-L1. The role reports to the NOC Assurance Manager. He/She will be responsible to ensure a 24/7 rota the highest achievable service availability through proactively performing correct network fault detection...
Habari zenu wakuu,
Kutokana na Paypal kutoruhusiwa kupokea pesa Tanzania, nafikiria kuanzisha huduma itakayosajiliwa ambayo itawawezesha watanzania kupokea pesa kutoka paypal na kuingia kwenye mitandao ya simu ya Tanzania kama M-Pesa, Tigo Pesa na Airtel Money.
Napokea maoni, ushauri na...
Kwa muda usiopungua siku tano sasa mtandao wa Airtel umesababisha usumbufu mkubwa kwa baadhi ya watumiaji wake. Simu za mtandao huo hazitoki na sanasana mteja unaweza ukaambiwa namba unayopiga haiwezi kuunganishwa kwasasa
Wateja wanahangaika na mawasiliano hamna. Vifurushi vyenu vinakata maratu...
Ukiingia kwenye mtandao wa Airtel kutumia simbanking ajabu unakuta message hii MMI Complete
Connection problem or invalid MMI code
Ajabu unaona message hiyo lakini ajabu muamala unakamilika kama kawaida hiki nini sasa
Msichanganye wateja wenu
Kuanzia muda Huu sitoitumia Tena line yenu naona mnataka kutufilisi.
Leo nimeunga Bando kama kawaida Yangu.
Ofa yako kisha
Bando Zaidi
Sikufungua video
Wala Sikutumia YouTube, TikTok wala Ista
Zaidi ni kusoma message za WhatsApp tu
Eti inaingia SMS Ya Kingesengese umemtumia 75% Ya Bando la...
Habari wadau,
Kuna mchezo MCHAFU unachezwa na mtandao wa Airtel kila mtumia Airtel hapa JIJINI Arusha anakutana na changamoto hii
Ukininua bando wakishakutumia text kuwa umepatiwa kifurushi Cha Dak 130 na GB 1 na sms labda 30 kwa wiki moja, wanakusubiri uanze tu kutumia. Ukipiga simu moja tu...
Kwa wale ambao mlikuwa mnapata tabu ya makato pale mnapoenda kudraw pesa kwakutumia payoneer mastercard sasa airtel wamesolve hilo shida.
Airtel wana huduma ya kuhamisha pesa kutoka mastercard au visa kuja airtel, hivyo unaweza tumia njia hiyo hamisha pesa toka payoneer account kuja airtel...
Yaani nipo maeneo ya Tabata ukipita KB kuna car wash huku kila napokuja mtandao hausomi 4G. Unasoma 3G na sometime Edge kabisa. Inashangaza sana kwa Mtandao mkubwa kama huu.
Nimewahi kutana na kadhia hii pia maeneo flani ya Banana. Tigo unakuta inasoma 4G but airtel 3G.
Je ni kwamba...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.