Bharti Airtel Limited, also known as Airtel, is an Indian multinational telecommunications services company based in New Delhi, Delhi NCT. It operates in 18 countries across South Asia and Africa, and also in the Channel Islands. Airtel provides 2G, 4G LTE, 4G+ mobile services, fixed line broadband and voice services depending upon the country of operation. Airtel had also rolled out its VoLTE technology across all Indian telecom circles. It is the second largest mobile network operator in India and the Second largest mobile network operator in the world with over 457.96 million (45.796 crore) subscribers. Airtel was named India's 2nd most valuable brand in the first ever Brandz ranking by Millward Brown and WPP plc.Airtel is credited with pioneering the business strategy of outsourcing all of its business operations except marketing, sales and finance and building the 'minutes factory' model of low cost and high volumes. The strategy has since been adopted by several operators. Airtel's equipment is provided and maintained by Ericsson, Huawei, and Nokia Networks whereas IT support is provided by Amdocs. The transmission towers are maintained by subsidiaries and joint venture companies of Bharti including Bharti Infratel and Indus Towers in India. Ericsson agreed for the first time to be paid by the minute for installation and maintenance of their equipment rather than being paid up front, which allowed Airtel to provide low call rates of ₹1 (1.4¢ US)/minute.
Yaani huduma za Airtel money ni shida Ukipiga huduma kwa wateja network haipatikani Ikipatikana simu haipokelewi. Ingekuwa nchi nyingine hawa jamaa wangepigwa failing kubwa sana. Lakini tunamshukuru mkurugenzi Mkuu wa airtel kwa kutukomesha siku ya leo.
Prof. Ahmed M. Ame ameteuliwa kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa Mamlaka ya Udhibiti Usafiri wa Ardhini (LATRA).
Amemteua Eliud Betri Sanga kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa Kampuni ya Airtel Tanzania akichuku nafasi ya Gabriel Malata aliyeteuliwa kuwa Jaji.
Jaji Mstaafu Mathew...
Kama kichwa cha habari kinavyosema
Naitaji msaada wa kitaalam Kwa wafanyakazi wa kampuni ya simu ya Airtel
Kuna kijana wangu, ambae ni mtunza bustan na usafi wa nyumba, ameondoka na funguo za gari yangu Kwa bahati mbaya
Aliniomba bag dogo, nikampatia sasa nilisahau kutoa funguo na diary zangu...
Habari za muda huu,
Kama kuna muajiri wa Airtel humu wahudumu wako ni hovyo kabixa yan unapiga simu wanaongea na mteja kama kuna ugomvi hasa wanawake ni hovyo kabisa ondoeni hizo takataka zinawaharibia kazi na kama mko humu mjirekebishe mnaharibu na kuchafua kazi za watu kama umechoka andila...
Leo nimepata ujumbe toka TBC ukinijulisha kuwa niangalie kombe la dunia kupitia Airtel Tv kwa kutumia simu yangu!
Airtel ni kampuni ya biashara ya mawasiliano ya simu, je, TBC inapoitangazia biashara kwa kupitia ujumbe mfupi kwenye simu nayo inalipwa? Na TBC imeipataje namba yangu ya simu.
Tukiwakopa muda wa maongezi mnatutangaza inabidi ukapigie simu toilet kweli? Yani ofisa mzima nimevaa tai ya kiuongozi nyekundu na shati jeupe mara nikipiga naambiwa salio lako linadaiwa?
Hii sio sawa kwasababu no kama mnatuaibisha maana nikama mtu anakukopesha hela halafu kila akikuona...
Taarifa zimetoka jinsi kikundi cha udukuzi cha kofia nyeusi 'black hats' kilivyotumia tovuti ya michezo nchini Uganda kuchukua pesa kutoka kwenye mfumo wa Airtel Uganda(AMCUL)
Wakati tovuti hiyo ya kampuni ya michezo ya kubahatisha ikijisifu kufata viwango vya usalama kulinda taarifa za...
Duh....
Hapana Mfalme Zumaridi aache visingizio sasa. Kama ameshindwa kuongoza kanisa si aseme tu.
Anashindwaje kuwakaripia wapiga vyombo kwa kuongeza sauti hadi inakuwa kero kwa waumini?
Sisi ndio tunatoa sadaka, lakini hatuoni sadaka zetu zinafanya kazi gani.
Yeye kila siku yuko kwenye...
Salamu wadau.
Kifupi sio kulipa labda niseme utaratibu wao mpya sio mzuri.
Juzi kwa dharura nimekopa salio la kawaida nimpigie jamaa nikafanikiwa sasa kesho yake nimeenda kwa wakala niweke hela nashangaa ghafla napigwa na kitu kwamba salio lako ulilokopa limekatwa deni lako na hela iliyobaki...
Kampuni ya Airtel imepandishwa kizimbani ikidaiwa fidia ya Sh490 milioni kwa kuitumia sauti ya Nixon Bandago Haule kwenye tangazo la ‘Airtel the Smartphone Network.’
Kesi hiyo imefunguliwa na Haule Mahakama Kuu, Kanda ya Dar es Salaam anayedai sauti inayosikika katika kaulimbiu hiyo na kutumika...
Unapofanya uamuzi wa kuanza biashara yeyote unahitaji kujitengenezea kipato kizuri.
kwa kuzingatia ubora na utofauti wa bidhaa unazoziuza. Unaweza ukapata wateja wengi na biashara yako ikakuwa kwa haraka.
Kwa sasa tumekuwa na biashara nyingi sana. Wengi wetu tukisahau kuwa kuna biashara...
Huu ni mtindo mpya ambao Airtel wamebuni ili kuwaibia wateja, tumezoea kuibiwa MB's zetu zinapunguzwa kiaina na wakati mwingine unapokea meseji kuwa bando limeisha hata kabla halijaisha au haujalitumia vizuri.
Lakini sasa wamekuja na mbinu nyingine ya kuwaibia wateja kupitia kuwauzia "Tozo" ya...
Nianze na hili, Kwa shilingi elfu Moja unapata SMS za Wiki zipatazo 5000 na Kwa elfu 2 unapata SMS za mwezi 9000.
Maajabu, Mmeweka Ukomo wa Kutumia SMS hizo, yaan Kwa siku Mteja wenu atumie SMS 300 tu, kiwe ni kifurushi cha wiki au mwezi.
Tafasiri yake Kwa Mteja wa Kifurushi Cha wiki Sms...
Sijui ni mimi tu au na wenzangu mnakutana na huu wizi wa data!! Naweka bundle la 5,000 ila cha ajabu ni kwamba wakinitumia ile sms ya umefikia 75% ya matumizi ya bundle nililoweka na muda huo huo sms ya kifurushi chako kimekwisha inaingia!
Yaani sms ya 75% bando nililotumia inaingia muda huu...
Habari wakuu wa jf,
Huwezi amini nimejiunga kifurushi cha MB 850 kwa elfu 1500 hata nusu saa haijapita naambiwa umetumia asilimia 75% ya kifurushi chako.
Kama hali ndio hii basi tumekwisha na sikuwahi kuzani kama airtel nao ni matapeli tu ila fine waache wachukue hivo vi MB vyao PUMBAFU SANA...
Habari zenu wanajukwaa,
Ninaombeni nisaidiwe namna ya kurudishiwa hela na Airtel kiasi cha shilingi milioni moja ya kitanzania.
Ishu iko hivi nililipa katika akaunti yao ili nijengewe zile shop zao.
Sasa team leader aliyekuwepo hakunipa mktaba wa kujaza mpaka nikaondoka eneo nilikokuwepo maana...
Watu hawa hawaheshimu wanuka jasho kabisa.
Huduma hovyo, mabando ghali (kwa wale wasiojua vpn) wanafanya wanavyojisikia sababu wnajuaa nape nnauye atawatetea kwa lolote lile keshakuwa msemaji wao.
Tangu jana hadi sasa hivi connection ya airtel ni tiatia maji na wamenyamaza kimyaaa ukipiga...
Jamani siku tatu hizi zilizopita naona kifurushi kwangu kinaisha sana, hapo zingatia sifui video wala kudownload chochote.
Unakuta GB 2 zinaisha ndani ya lisaa, Seriously? Hivi ni kwangu tu au kwa wote?
Whatsapp tu ndo natumia sana na nimedisable media zote kujidownload automatic
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.