Jeshi la Zimamoto na Uokoaji kutoka Mkoa wa Kagera limethibitisha kuwa Ndege ya Shirika la Precision Air imepata ajali na kuanguka kwenye Ziwa Victoria wakati ikijaribu kutua na tukio hilo ni kweli.
Zimamoto zimekanusha taarifa za uvumi kuwa ndege hiyo imeangushwa kwa majaribio ya mazoezi ya...
Kigamboni hakuna maji ya bomba tangu Uhuru, neema ya kisima iliyopatikana inapelekwa mjini kabla ya wanakigamboni kupatiwa maji hayo kwanza!
Malalamiko yamepelekwa kwa wahusika kwamba maji yasambazwe kigamboni kwanza kabla ya kupelekwa mjini, hawajatusikiliza!
Tumeamua kufikisha ujumbe wetu...
Mzuka wanajamvi!
Hizi ajali za ndege binafsi na Helicopter zinaua sana matajiri sasa hivi.
Ajali mbaya ya ndege binafsi The single-engine Cessna P210N ilianguka DeKalb-Peachtree Airport Atlanta Georgia mda mfupi baada ya kupaaa.
The plane 'was taking off, went straight up, and it took a...
MICHAEL GRZIMEK Mjerumani mtengeneza filamu za wanyama aliekufa kwa kuanguka na ndege Ngorongoro kreta baada ya ndege yake kugongana na ndege wa porini aina ya tai(vulture). Michael Grzimek alizaliwa 12 April 1934 Berlin Ujerumani,alikuwa mtoto wa pili wa Bernhard Grzimek na Hildegard Plüfer...
Wing of the plane have been conflict and civilians in the Indian Ocean on the island of Kojani. Made known is what airlines.
A place where it is believed to the remains of the plane have been caught in the Indian Ocean Island beach in Kojani.
Wing of the plane was found in the island of...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.