akili

Akili (Persian: اكيلي‎, also Romanized as Āḵīlī) is a village in Emamzadeh Seyyed Mahmud Rural District, Sardasht District, Dezful County, Khuzestan Province, Iran. At the 2006 census, its existence was noted, but its population was not reported.

View More On Wikipedia.org
  1. USSR

    Spika wa Bunge la Marekani: Biden hafai hata kupewa muda uliobakia

    Spika wa bunge la Marekani anasema watapiga kura kumuondoa Rais mgonjwa kwa mujibu wa katiba baada ya chama chake kumuona ni mgonjwa inamaanisha kuwa hata kumalizia muda sio sahihi Mwanadamu haridhiki kabisa walimtaka asigombee amalizie ingwe yake na amekubali sasa hawataki hata kumalizia...
  2. M

    Shida ni akili ndogo za madereva au ni maisha magumu yanachangia hizi ajari

    Leo asubuhi nikiwa njiani nimeona ajali Moja eneo la ilula na nikiwa nimetulia napitia mitandao nimekutana na picha za ajali Ile. Ukiangalia Ile ajali Ile fuso ilikuwa imeharibika , na jamaa wa fuso walikuwa waungwana wameweka alama zote muhimu barabarani kujua huko mbele unaenda kukutana na...
  3. Morning_star

    Mtu aziniye na mwanamke hana akili kabisa

    Nimejaribu kuwaza watu wanaochepuka na wake au waume za watu wanajitambua kweli? Hivi wanajua chemistry iliyojengeka kati ya mtu na mwenza wake? Hata kama wenyewe kwa wenyewe watagombana waache lakini usimvue nguo mke au mme wa mtu. Labda mwenyewe ajifunge kwa maneno yake na kujihakikishia kuwa...
  4. PakiJinja

    Hili swala la wanaojiita wazee wa Yanga, fungujeni akili…

    …Yanga ni kama kuwaweka watu sawa, ukweli ninachokiona mimi kuna kitu kikiubwa kinaenda kuwashukia timu nyungine. Kinachoenda kutokea huko kitasikitisha sana. Natamani kushauri, lakini sioni namna wanavyoenda kusalimika. Itoshe tu kusema kwamba, Uhuni unapaswa kudhibitiwa kwenye vilabu vyetu
  5. C

    Inaonekana hawa wadada mawinga wa china wanatajirika kwa akili finyu za Watanzania

    Yes. Kuna kitu kinaniambia hela ipo nje nje chini huko.kimsingi uwe tu namtaji wako hata wa kukodi fremu kubwa nje mji kidogo au hata ndani ya maeneo yenye watu wengi Alafu kuwa muaminifu kwa 100% usiwe mjanja mjanja tu. Basi utatengeneza pesa mpaka uchoke ww Kwa sababu watanzania wengi...
  6. Big Dy

    Daktari wa magonjwa wa akili

    Habari za wakati huu wanajamvi, Rejea heading hapo juu nina ndugu yangu wa karibu kabisa naona tunaelekea kumpoteza siku si nyingi kutokana na stress ama msongo wa mawazo alikokua nao mpka kupelekea kukosana kabisa na ndugu zake. Naulizia kwa hapa Dar es salaam ni sehem gani ninawea pata...
  7. GENTAMYCINE

    Wenye Akili tunajua kuwa Ziara yenu Maalum kwenda Ikwiriri ni ya nini, ila tunasisitiza Kwenu kuwa Msimu huu Ubaya Ubwela tu

    Tayari Mtaalam wenu wa Tegeta ( Dada ) na yule wa Lindi ( Mpwa wake Boss Kwetu ambaye pia anatumiwa na Boss namba Tatu nchini ) Watu wameshamalizana nao. Huyo wa huko Ikwiriri Mkoani Pwani mlikoelekezwa na yule Mzee wenu Muhuni aliyempiga Mkwara Rais wenu wala hana Maajabu. Tumejipanga.
  8. I am Groot

    Ukiachana na binadamu; Orangutans wanafuata kwa kuwa na akili zaidi.

    Wanyama huonyesha aina tofauti tofauti za uwezo wa kiakili na baadhi yao hutenda kulingana na silika yao. Katika ulimwengu wa wanyama, Pweza, Pomboo, na jamii kuu za nyani kwa ujumla huchukuliwa kuwa miongoni mwa jamii za wanyama welevu. Watu wengi hupenda kujiuliza swali hili; kati ya jamii za...
  9. SinaMdaa

    Tuishinao kwa Akili Ila sio Akili yote

    Salamu wanajamvi. Niende kwenye mada moja kwa moja. Tuishi nao kwa Akili, ni moja ya msemo uliotolewa kwenye maandiko na watu wengi hupenda kuutumia pale linapozungumziwa suala la kuishi na mwanamke. Mimi nawaza toafuti kidogo maana naona ukitumia Akili yako yote kuwaza na kuwazua jinsi ya...
  10. G

    Kwa Tanzania, mtu mwenye akili hawezi kuoa/kuolewa

    Hayo siyo maneno yangu, ni maneno ya mwanzilishi wa KATAA NDOA, the late Le Mutuz. Baadhi ya mambo yanayokera kwenye kuanzia kwenye uchumba ni pamoja na maswali ya kijinga kama:- *Umelala? *Umekula? *Unafanya nini? *Uko wapi? Kama haya yanajitokeza kwenye uchumba, vipi ndani ya ndoa? Ni walio...
  11. I am Groot

    THE BOYS: Moja ya series zinazohitaji kujitoa akili na ufahamu ili kuiangalia. Bila hivyo haifai hata kidogo (18+)

    THE BOYS drama ya kimarekani inayohusisha masuperheros au (Mashujaa kwa waswahili). Drama hii inaelezea Superheroes wenye ushawishi kwa umma waliyejiwekeza katika (siasa) wanasiasa, na wakati mwingine hata kuheshimiwa kama miungu. Lakini hapohapo kuna kundi la ambao wanatumia nguvu zao kwa...
  12. KIBESENI

    Nifanyeje wanangu wawe na akili nyingi darasani

    Miongoni mwa mambo ya maana katika hii dunia mbaya ya siku za mwisho ni Elimu. Kila mzazi anatamani kama mimi ninavyotamani wanangu wawe vichwa darasani katika masomo yao, lakini wengi, kama mimi pia tunaishia kutamani tu hasa tunapoona watoto wa wengine wakifanya maajabu katika masomo yao...
  13. Tanzanian Dream

    Akili kumi za kumteka mwanaume

    kwny mada ya leo nitaongelea akili kumi za kumteka mwanaume,wanaume tunatekwa kwa mambo madogomadogo sana,sasa ili ndoa yako inoge,ni muhimu kumwelewa mwanaume wa karne ya 21 ni kiumbe wa namna gani, generation Y and Z zina some sort of complications,most men wrongly know what they want,so...
  14. Tanzanian Dream

    Akili kumi za kumteka mwanamke

    Ndoa ni tamu,ndoa ni paradiso,ndoa ni utajiri,wanaosema ndoa ni ujambazi hawajui codes za ndoa. Baba yangu alipenda kuniambia "ignorance is the biggest enemy in your life" mchawi wa mafanikio makubwa yoyote yale ni ujinga,watu wengi wameingia kwenye ndoa na hawajui ndoa ni Nini?hawajui Kama...
  15. GENTAMYCINE

    Ukiwa na Akili timamu hutomshangaa Msigwa kuhamia CCM ila ukiwa Juha hakika utamshangaa mno

    Wiki tatu zilizopita hapa hapa JamiiForums niliandika na kutahadhirisha kuwa CHADEMA hakuko salama mkadhihaki. Sijui ni kwanini mnashindwa Kukubali kuwa kuna Watu wengine Mwenyezi Mungu hakuwapa Utajiri wa Mali na Pesa bali kawapa ule wa Akili Kubwa, Maono na Maarifa mengi ya Kiuchambuzi...
  16. B

    SoC04 Bingwa wa Masuala ya Umma alitoa Ushauri wa Kukuza Uandishi wenye Tija nchini Tanzania kwa kutumia Akili Mnemba

    UTANGULIZI Mnamo tarehe 30 Juni 2024, Bingwa wa Masuala ya Umma alitoa ushauri muhimu kuhusu njia za kuongeza matumizi ya Akili Mnemba katika kuchochea uandishi wenye tija kwa maslahi ya umma katika miaka 5-25 ijayo na kujenga 'Tanzania Tuitakayo'. Mtaalamu alisisitiza kuwa kwa kufuata mikakati...
  17. R

    Watanzania wenye akili wanauliza: Watawalawa Tanzania, wamejifunza lolote kutoka maandamano ya Gen Z Kenya. Jibu ni hili hapa chini

    1. Hawawezi kujifunza lolote. Kwa nini wakose la kujifunza? JIBU: Watawala, CCM for that matter, walihakikishiwa na Kenyatta enzi hizoza uhai wake kuwa .1. WATANZANIA NI MAITI, HAWAWEZI FUKUKUKA, you need not worry about them 2. WAGANDA WAJINGA, WAKIELIMISHWA WATAJITAMBUA NA KUTETEA HAKI...
  18. Meneja Wa Makampuni

    Nimewachukia Generation Z kwasababu hawatumii akili

    Hivi ni kitu gani Mh. Ruto amekosea. Kwanini wanaharibu miundombinu. Mh. Ruto alikubali kuwapatia walichotaka kwanini bado wanataka aondoke. Nimewachukia hawa vijana Mh. Ruto ni kiongozi mzuri sana. Nimeamua kupost hii video nikiwa na machungu sana...
  19. L

    Licha ya fursa inayotokana na teknolojia ya Akili Bandia watu wengi wanaichukulia kama tishio kwa ajira zao

    Kadiri siku zinavyozidi kusonga mbele ndivyo inavyoonekana kwamba matumizi ya teknolojia ya Akili Bandia (AI) yanashika kasi sana duniani. Maendeleo haya ya haraka yameanza kubadilisha sekta nzima ya teknolojia na kuonesha uwezo wa kugusa nyanja nyingi za maisha ya kisasa. Kwa sasa inaonekana...
  20. G

    SoC04 Akili bora, Tanzania bora!

    Khatib ni kijana mwenye umri wa miaka 27 aliyeweza kusoma na kuhitimu katika chuo kimoja jijini dar es salaan na kutunukiwa shahada ya uhandisi. Katika safari ya kuanza ajira yake na hapo aliweza kutumika katika kampuni isiyo ya kiserikali. Baada ya muda kadhaa Khatib alianza kuonyesha dalili...
Back
Top Bottom