Akili (Persian: اكيلي, also Romanized as Āḵīlī) is a village in Emamzadeh Seyyed Mahmud Rural District, Sardasht District, Dezful County, Khuzestan Province, Iran. At the 2006 census, its existence was noted, but its population was not reported.
Tena simba sc wamechelewa sana kumshtukia na kuja na onyo hili kwake
Kwa miezi miwili sasa kama ukiwa makini kila ukimsikia msemaji wa simba sc ahmed ally akiongea na media utagundua kuwa hayuko serious kabisa na kwa 99%. anachokifanya ni mzaha mwingi pamoja na ukomedi wake ambao wala hauna...
Ni kuchanganyikiwaaa au vipi
Watanzania siyo wajinga kiasi kwamba mtu mmoja mwenye masilahi yake na chama anachokipenda, halafu atuchonganishe na atufanye mazuzu kama alivyo yeye
Watanzania kwa sasa ni werevu kwenye siasa pia kwenye masuala ya Dini,
Watanzania wa miaka 20 iliyopita, si kama...
Nawasalimu Kwa jina la JMT
Mwaka 2014, Profesa Palamagamba Kabudi, aliyekuwa mjumbe wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, alisema kuwa kuna watu wawili duniani: wapumbavu na wajinga. Wapumbavu ni wale wanaoshupaa na kutumia ubabe, huku wajinga ni wale wanaokubali ubabe huo.
Kauli hiyo iliibua...
Nairobi, Kenya.
Mnamo Aprili mwaka jana, kiongozi wa kundi la dini nchini Kenya, Paul Mackenzie, alikamatwa baada ya zaidi ya watu 400 kugunduliwa wamekufa na miili yao kuzikwa kwenye makaburi ya pamoja. Jaji ameamuru Mackenzie afanyiwe uchunguzi wa afya ya akili kabla ya kushtakiwa. Wengi wa...
Ndugu ukiwa na mke hata akionyesha ni mwaminifu kiasi gani tafuta mchepuko.Mchepuko unafaida zifuatazo,unaact kama buffer na kimsingi unasaidia kujifanya ndoa yako iwe stable zaidi. Mfano badala ya kukaa home unagombana na mke wako aliyenuna unachomoka unaenda Kwa mchepuko anakupeti peti...
Wauguzi 1330 Wamefeli Mitihani yao
Chanzo: Magazetini Leo
Ushauri wangu tu GENTAMYCINE kama kuna Mtu kwa sasa anataka Kuwekeza katika Biashara ili apate Faida Kubwa sana awekeze katika Biashara ya Majeneza, Sanda na Uchimbaji wa Makaburi hutokuja Kujutia..
Na nawakumbushenu tu kuwa hata mwaka...
Kwenye ulimwengu wa Sinema kumekuwa na ubishi kwamba Michael Scofield ni akili kubwa kuliko Raymond Reddington and Vice Versa.
Naomba tuumalize ubishi hapa, je ni nani kati ya hawa wawili ni akili kubwa kumzidi mwenzake?
NB: TUNASHINDANISHA CHARACTERS NA SIO MAISHA BINAFSI YA HAO WAIGIZAJI
Sun Tzu ni mwandishi wa sanaa ya vita na mikakati ya kijeshi ninayempenda na anayesifika kwa falsafa na mawazo yaliyoathiri majeshi mengi ya magharibi na mashariki ya bara la Asia.
Miongoni mwa nukuu zake nizipendazo ni hizi mbili. Moja, Tzu anasema ikiwa unamjua adui na unajijua mwenyewe...
Na kibaya zaidi huyo Unayejitutumua kumuonyesha Mbwembwe zako si tu anakumudu bali anakujua ulivyo na mpaka Jikoni na Chumbani Kwako pia anakujua.
Wewe hujiulizi tu hata Miwani niliyovaa si ya kawaida ( ni ya Kinjagu tupu ) na nilikataa Kusalimiana kwa kupeana Mikono na Wanafiki Watatu kwakuwa...
Nimekuwa nikufuatwa na wamama/ wanawake na hata mabinti wa rika mbalimbali wakiomba ushauri wa mambo ya kiuchumi na mahusiano.
Ila katika malalamiko mengi utasikia mwanamama akilalamika kwamba mwenzangu ana akili za kitoto.
Mwingine utamsikia akisema kabisa kwamba mume wangu ana akili za...
Ni jambo baya ila naweka pia na wengine wajifunze. Wakati mwingine usitake sana kumridhisha au kumfurahisha mwenzio. Usitake kuvumilia sana tabia ambazo unajua si sawa kwa kigezo cha mapenzi.
Huyu dada nilimkuta na mtoto nikamwambia haina shida nitamlea mtoto. Mumewe alifariki. Lakini kama...
Uongozi ni ushawishi wa fikra wenye kuleta mabadiliko katika jamii unayoiongoza impact ya uongozi huonekana pale kiongozi ataanzisha mifumo ya kipekee katika wakati wake wa kuongoza mfano mdogo tu,waafrika tunaongelea wazungu sababu wametengeneza impact kwetu ambazo ziliathiri jamii kwa kiasi...
Unatakiwa utafute pesa hadi ifikie hatua pesa ulizotafuta zenyewe zinaanza kutafuta pesa nyenzake zaidi.
Unatakiwa ufanye kazi kwa bidii na kwa kujituma bila kujionea hurumq hadi ifikie hatua huitaji bidii kubwa kupata kipato.
Kwa hiyo bidii yako lazima iwe na malengo hata kama bado...
Hivi kuna wanaume wwngine wapoje? Yaani unamuomba msamaha mwanamke mrudiane hivi unajua akili za mwanamke akijua kwamba weww mwanaume ni bwege?mjinga au mpumbavu?
Ok ila nisiseme sana maana kuna watu wanasema maumivu ya mapenzi ni yanauma sana ila sijajua aisee ila wewe umewahi kupigwa na...
Nyuzi nyingi zimezungumzia makabila yenye watu wengi wenye elimu nasiyo akili. Elimu pekee haitoshi ila tunahitaji uwezo wa akili pamoja na elimu ili kuleta ubunifu ili tubali taifa.
Pamoja kwamba wahaya, wachagga na wanyakyusa kusifiwa kama makabila yenye wasomi wengi lakini hakuna cha maana...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.