ali kamwe

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. B

    Haya sasa Ali Kamwe, kesho twende kupiga kura

    Ulimi uliuponza mdogo. Ali Kamwe ulisema mechi ni leo, kesho ni siku ya kupiga kura. Sawa basi kesho tuwahi asubuhi. Ila usisahau kugeuka nyuma maana Ibenge hajawaacha yuko sako kwa bako. Kwa Yanga hii ikipata goli hata moja basi Israel itashinda vita huko Ghaza.
  2. Waufukweni

    Ali Kamwe aupakulia minyama Uongozi wa Yanga kwa kumleta Ramovic

    Msemaji wa Young Africans SC, Ali Kamwe, amesema uongozi wa Yanga umekuwa makini na umepanga kwa weledi kuhakikisha mafanikio ya klabu yanaendelea. "Uongozi wetu umefanya maamuzi sahihi katika wakati sahihi kwa maslahi ya furaha ya wana Yanga." "Wakati Uongozi wa Young Africans SC unamleta...
  3. GENTAMYCINE

    Thabit Zaka za Kazi: Ujinga wa Msemaji wa Yanga SC Ali Kamwe umevuka Kiwango na nawadharau hata Mashabiki wao Wanaomumini

    "Nadhani Ujinga wa Msemaji wa Yanga SC Ali Kamwe umevuka Kiwango. Anasema Mchezaji wao Dube huwa akitaka Kufunga Goli anapunguziwa mwanga wa Taa na Wafanyakazi wa Uwanja wa Azam Complex ila mbona hatujasikia lawama za Makipa wa Timu pinzani wakilalamika kuwa na Wao Dube akitaka tu Kuwafunga nao...
  4. GENTAMYCINE

    Uongozi wa Azam Company na Azam Media yaani Yanga SC kupitia Ali Kamwe wanaichafua 'Brand' yenu nyie mmenyamaza tu

    Ukiwa na Akili timamu na umemsikiliza vyema kabisa Msemaji wa Yanga SC Ali Kamwe utakubaliana nami kuwa kwa 100% anaichafua Brand ya Azam Company na Azam Media (hasa Tv yao) ila cha Kushangaza Watu wa Azam wala hawalioni na wanaona sawa tu. Hivi Msemaji wa Yanga SC Ali Kamwe kusema kuwa Azam Tv...
  5. Nehemia Kilave

    Ali kamwe: Uwanja wa Chamazi viti vilikuwa vidogo kama vya watoto wa Primary

    Muwe na Siku njema
  6. Waufukweni

    Ali Kamwe aiongoza Yanga SC kusafisha Uwanja wa KMC Complex

    Afisa Habari wa Yanga SC, Ali Kamwe, ameongoza shughuli ya kusafisha Uwanja wa KMC Complex, hatua inayokuja mara baada ya klabu hiyo kutangaza rasmi kwamba itautumia uwanja huo kama uwanja wake wa nyumbani kwa mechi zote zilizobaki za Ligi Kuu ya NBC msimu wa 2024/25. Soma, Pia: Gamondi hana...
  7. DR Mambo Jambo

    Ali Kamwe Ashindwa Kujieleza Baada ya Mechi ya Yanga na Azam 🤣🤣

    Amesikika akishindwa Kumalizia Sentensi na Kuishia Neno Hatu baada ya Kipigo kizito kutoka kwa Azam.. https://x.com/Roma_Mkatoliki/status/1852758396245799166
  8. GENTAMYCINE

    Msemaji wa Yanga SC Ali Kamwe anavyosema kuwa Msimu huu Singida Black Stars FC wanajituma wenyewe na hawasaidiwi na Mtu kamaanisha nini labda?

    Na ndiyo maana baada ya Kuugundua huu Ujuha wa NBC Premier League nimerejea Kuishangilia Liverpool yangu EPL.
  9. S

    Ali Kamwe: Tunaujua Ubora wa Kocha wa Simba

    Alishinda mechi moja kati ya 15, Maritzburg ikashuka daraja, baada ya hapo akawa Msaidizi hadi kaja kuibukia huku, sisi tunajua quality yake ni ndogo, huwezi kumlinganisha na Gamondi ni ndogo mno. Mimi ningepewa ile Pamba nikae nayo wiki moja tu, nawafunga wale"
  10. chongoe

    Ali kamwe najua ulikuja mafia alhamis umeondoka ijumaa ila safari hii mambo tofauti

    Nafaham juani ulipokwenda hata watu wa serikali ndio hutumia huko mizimu ya kule ni mikali sana ila nachowashsuri simba ili tushinde hakikisha mpira wa kwanza aguse mchezaji mmoja na autoe goolkik tukenda kinyume na hapo tunafungwa Karibuni mafai
  11. Yoda

    Ali Kamwe acha kubwatuka nonsense, nchi ina mambo mengi ya kufanya zaidi ya mpira

    Nimemsikia huyu kijana anayeitwa Ali Kamwe mfanyakazi wa Yanga anazisihi taasisi, kampuni na mashirika mbalimbali katika nchi ziruhusu wafanyakazi wao kutoka kazini mapema Jummane wakaishangilie timu ya Taifa. Huu ni wendawazimu, nchi hii ina mambo mengine muhimu zaidi ya mpira, yaani Jumanne...
  12. Manyanza

    Usifikirie kukata tamaa tazama hizi picha

  13. Mkalukungone mwamba

    Manara - Nipo tayari kuwa mfagiaji Yanga/ siwezi kuwa mnyonge kukosa usemaji yanga na Rais kashaamua

    Haji Manara amesema yupo tayari kufanya kazi ndani ya Yanga hata ikiwa kazi ya ufagiaji na kamwe siwezi kuwa mnyonge kukosa usemaji Yanga. Aidha Manara amesema anaheshima alichokisema Rais wa Klabu hiyo Eng Hersi Said wakati akifanyiwa Mahojiano na Wasafi FM siku 2 zilizopita na kusema Haji...
  14. U

    UTEUZI: Ally Kamwe ateuliwa Serikali ya Jamhuri ya muumgano wa tanzania kuwa Balozi wa kutangaza kuelimisha kuhusu fursa za zabuni kidigitali

    Wadau hamjamboni nyote? Serikali ya Jamhuri ya muumgano wa tanzania imemteua Afisa habari wa Yanga SC, Ally Kamwe kuwa balozi atakayehusika kutangaza na kuelimisha jamii juu ya fursa za zabuni kidigital na kurahisisha michakato ya ununuzi pamoja na kuondoa Janja janja katika ununuzi wa UMMA. PPRA
  15. comrade_kipepe

    Eng. Hersi: Haji Manara sio Msemaji wa Yanga, tunaangalia majukumu mapya ya kumpa

    “Haji Manara kwasasa ni Mwanachama hai wa Yanga, tunaangalia majukumu mapya ya kumpatia klabuni. Yanga inaye Afisa habari (Alikamwe) ambaye ndiye anaisemea Klabu” Injinia Hersi Kwa mnavyomjua zungu lazima ata react vibaya, maana alijua akitoka kifungoni atarudi nafasi yake, ila kakuta Alikamwe...
  16. Mkalukungone mwamba

    Ali Kamwe: Mashindano ya CAF, hatua hizi za awali tunapeleka ujumbe kwa Vilabu vinavyopewa nafasi ya kuwa Mabingwa

    Meneja wa Habari na Mawasiliano wa Yanga amesema Kupitia mashindano ya CAF, hatua hizi za awali, kuna ujumbe wata upeleka kwa wale ambao wanapewa nafasi kubwa ya kutwaa ubingwa wa AFRIKA. Watatuma ujumbe ndani ya Uwanja na nje ya Uwanja. Nje ya Uwanja tulituma ujumbe msimu uliopita kwa kujaza...
  17. Labani og

    Ali Kamwe: Simba hii ndo mbovu zaidi kilichobadilika ni jezi tu

    “Simba kilichobadilika ni hizi jezi. Simba hii ya msimu huu ni mbovu kuliko ile iliyopita. Simba iliyopita ilikuwa na wachezaji ambao mnasema wameshazeeka lakini wana uzoefu ambayo walikuwa wanawasaidia kwenye baadhi ya mechi” Ally Kamwe, Afisa Habari Yanga SC Je Ali Kamwe Yuko sahihi....au...
  18. Labani og

    Ali Kamwe: Simba ina mabosi wengi, Yanga ina watendaji wengi

    “Siku ya Mwananchi Uwanja Tulikabidhiwa saa 6 usiku, kama ingekuwa simba ndio wamekabidhiwa ule uwanja muda huo asubuh kila mtu angeshika kichwa, wangefanya mambo ya hovyo kwasababu wana maboss wengi watendaji wachache. “Ilivyofika saa 6 usiku kila mtu alishika eneo lakini hadi saa 12 asubuh...
  19. Mkalukungone mwamba

    Mwijaku vipi, ameshamkabidhi Mke wake kwa Ali Kamwe?

    Mtangazaji Mwijaku alitoa ahadi kuwa Yanga Sc ikimfunga Simba basi atampa mke wake Ali Kamwe ambaye ni Msemaji wa Yanga Vipi sasa kashampeleka kwa Ali Kamwe au Kamwe amfuate mwenyewe? Ubaya Ubaya tu. Soma Pia: FULL TIME: Yanga SC 1-0 Simba SC | Semi-Final | Community Shield | Benjamin Mkapa...
  20. Mturutumbi255

    Ali Kamwe na Nyeupe ya Simba: Yanga Inapeleka Ujumbe Gani?

    Picha za Ali Kamwe, msemaji wa zamani wa klabu ya Yanga, zimeibua mjadala mkali kwenye mitandao ya kijamii baada ya kuonekana amevaa Fulana ya rangi nyeupe yenye nembo ya SportPesa, ambao ni wadhamini wakuu wa klabu hiyo. Wakati rangi nyeupe ni kawaida kwa jezi za ugenini za Simba, uamuzi wa...
Back
Top Bottom