Ally Saleh Kiba (born 1986), known by his stage name Alikiba is a Tanzanian singer, songwriter and footballer. He is the owner of Kings Music label. Ali Kiba released his album Cinderella which broke record as the best selling album in East African countries including Tanzania, Kenya and Uganda. He is best known for his hit songs Mwana, Aje, Chekecha Cheketua, Cinderella, Nakshi Mrembo, Usiniseme, Dushelele, Single Boy with Lady Jaydee, Mapenzi Yana Run Dunia and Macmuga. He also collaborated with R. Kelly and other African musicians on the One8 project. In 2017 he became the director of Rockstar4000.
Following his return after a silence of three years, he released the singles "Mwana" and "Chekecha". He won six awards at the 2015 Tanzania Music Awards and broke the record on Mkito.com for the most downloaded song of 2015.
Baada ya kufanya mahojiano na mwandishi mmoja alidai kwamba @alikiba hawezi kumfikia msanii wa Kenya Bienaimesol kwa uimbaji maana Alikiba anabana sana pua akiwa anaimba live. Alisema;
""Nani? Yule mbana pua, hapana kweli. Usimfanishe na Bien, msifananishe wabana pua na waimbaji wa rnb major...
Sema ee bwana Yesu mikononi mwako naiweka roho yangu. Lazima tupeane toba kwanza. Hii trace awards nimeisikia wasafi leo imenihuzunisha sana sana.
Alikiba kuwekwa hotel ya kawaida, Alikiba hakujulishwa muda wa kuperfor. Alikiba hakuoneshwa mandhari ambayo wanaenda kufanya show kama wengine...
Habari za muda huu wadau wa JamiiForums!?
Lengo la Uzi wangu nilikuwa nataka kusema kwamba kuna vitu huwezi kusema unavikubali ila nafsi yako itasema tu, Kuna wimbo Mmoja wa Ali kiba sijajua kama ipo miingine kama maudhui hayo hayo au la
Kila baadhi maeneo nikipita ukipigwa nafsi inasema mbona...
Wakuu nna habari ya kuwajuza kuhusu industry yetu ya burudani.
Ali Kiba wiki hii mwishoni ataenda kufanya show ya kuzindua duka la mavazi. Hongera sana Kiba kwa kuaminika na muuza duka na kukupa nafasi ya kupafomu mbele ya wateja wake.
Diamond ndani ya wiki hizi mbili amekuwa busy na show za...
"Nasikia P Diddy ana Mafuta mengi na Kitanda Kikubwa"
Mnaojua masuala ya Vijembe tafadhalini tusaidieni pia Sisi tusiojua ili tuweze Kuelewa ni nani amelengwa hasa hapa.
Mimi sio mpenzi wa miziki ya vijana japo utakuta bar na harusini ila huyu mtoto anapaswa kuogopwa japo kijana mwenzake alikiba ni mtu wakukunja sana kama ulivyo asili ya mkoa wao walipotokea.
Kwa steji aliyofikia huyu kijana tunapaswa kujisifu kwa kupeleka soko la mziki na kuhamsha vijana...
Nimesikitishwa sana na kitendo cha huyu msanii chipukizi anayefanya vizuri kwa sasa komredi Ali Kiba kutojua maana ya jina FALLEN ANGEL na linavyotumika. Hakuna namba yoyote unaweza kumwita binti wa beberu fallen angel akakuelewa. Mimi kama akili kubwa nitafafanua kwa maslahi mapana ya nchi...
Wadau,
Natafuta huu wimbo alikiba alipiga live. Nahisi kwenye moja wapo ya show za clouds media.
Kuna live kadhaa za macmuga lakini kwangu mimi hazikuendana sana na hii ninayotafuta.
Thanks.
Taji Liundi
Diamond Platnumz
Akizingumza na vyombo vya habari mtangazaji na msema chochote maarufu Dar es Salaam Taji Liundi amesema Diamond anatakiwa kushabikiwa kama mungu mdogo.
Ameyasema hayo akisisitiza support kwa diamond na kuappreciate juhudi anazofanya.
Watanzania wamekusikia bro...
Radio ya Kiba na kikeke imekuja na style ya drama kujitangaza.
Nawashauri wawekeze kwenye content ndio kila kitu kwenye media. Leo hii clouds na wasafi zina wasikilizaji wengi sababu zina content.
Hao watangazaji wa kuiba kwa wengine ili mtengeneze story mjikane walimdodea Majizzo kina B 12...
Wakuu nasikia Mwijaku kashaikimbia Clouds Media Group na kashasaini Crown Media. Hivi huko kwa ndugu yetu Ally Kiba kuna nini cha ziada au teseme katenga mishahara minono kwa hawa watangazaji?
Naona sasa Crown Media inakusanya talents zote kutoka Wasafi, Clouds, Efm na kwingineko.
Hebu...
Kwa tuliosoma vyema Psychology hasa ile ya Communication naomba tutafute Clips za Interviews za Diamond kuhusu Umiliki wake wa Wasafi Media kisha naomba tuchukue na Clips za Interviews za Ali Kiba na Umiliki wake wa Crown Media ( halafu zingatieni pia katika Body Languages zao ) na mkimaliza...
Kulikuwa na wafalme kama hawa
1.. Joseph Mbilinyi SUGu, Mr II, 2proud, Taita
2. Professor J
3. JUMA Nature
4. Inspector Haroun
5. Ferouz
6. Mr. Nice
7. Mr. Blue
8. Mangwea
9. Afande Selle
10. 20 Percent
11. Fid Q
12. G.Nako na Clue yake yote
13. Dully Sikes (Huyu ndio Mr. Bongo Flavor)
14...
Aliyekuwa mtangazaji nguli wa EATV na East Africa Radio, Dullah Planet, Mjukuu wa Wambua rasmi ametambulishwa na kukaribishwa kwenye Radio ya Ali Kiba, Crown Radio. Ambapo tayari accounts za instagram zimepost kuonesha kumkaribisha nguli huyo wa vipindi vya TV na Radio.
Wiki chache zilizopita...
Staa wa muziki wa Bongo Fleva @officialalikiba amezindua radio yake mpya inayoitwa CROWN FM ambayo inapatikana 92.1 Fm.
Alikiba ameeleza sababu za kuzindua Radio kuwa ni njia pekee iliyoinua career yake na watu kumfahamu kupitia Radio.
Baada ya kuwa msanii kwa takribani miaka 20 sasa anakuwa...
Wote tunajua Dulla planet bongo ni kijana aliyekuta planet bongo kama kipindi pendwa ikadondoka na kupotea kabisa.
Sasa ndugu Ali kiba kapewa na mnene mmoja asimamie redio na kuipromoti ambayo inazinduliwa kabla ya pasaka.
Yeye kiba akaenda kuokota dulla pale east africa radio na kumpa kitengo...
Yes, ni Elizabeth Michael ‘Lulu’ na Ali Saleh Kiba ‘Ali Kiba’ mapenzini, enzi na enzi!
Mnakumbuka wakati msiba wa Kanumba unatokea kulisemekana kutokea ugomvi uliopelekea Lulu kumsukuma Kanumba ndio kuanguka na kufariki?
Chanzo ni simu kutoka kwa Ali Kiba kwenda kwa Lulu.
Lulu alienda kwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.