amavubi gfsonwin

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Herbalist Dr MziziMkavu

    Mwamba huyu Historia Yake Haito sahaulika duniani kote Bingwa Wa Kung fu duniani Bruce Lee

    MWAMBA HUYU HAPA... BLUCE LEE alivunja rekodi ya dunia Mara 10 ndani ya miaka miwili tu.Bluce Alivunja rekodi ya dunia baada ya kupiga push up 2000 kwa kutumia vidole viwili vya mkono moja,kupiga Push up 15000 kwa mikono miwili bila kupumzika,Push up 4000 kwa mkono moja na Push up 1000 kwa...
  2. Herbalist Dr MziziMkavu

    Dawa Ya Nguvu Ya Kiume Ya Asili Kwa Wale Wenzangu Kwenye Mashindano Ya Kitandani usiku wanaofunga Goli Mapema haya chukuweni dawa hiyo Nimetoa Bure

    DAWA YA NGUVU YA KIUME aka Viagra Ya Asili Tafadhali kama wewe ni chini ya Umri wa Miaka 20 kaa Mbali dawa hii. Mwanume yeyote ambaye hutoa hudumu ya dakika 2 tu katika mashindano ya Kitandani na Mke baada ya kuchukua mchanganyiko huu usijali utaongezeka muda mpaka kufika dakika 30 Kumaliza...
  3. Herbalist Dr MziziMkavu

    Jamaa anaitwa Mohamed ameibiwa watoto 2 saa 12 jioni na mfanyakazi wa ndani Wilaya ya Temeke

    Atakaye waona ampigie simu Mr Mohamed kwa namba hii hapa 0744555574. BREAKING NEWS: Alhamdulillahi Watoto Wamepatikana Wapo Polisi Mama yao ameshakwenda kuwaona wanapelekwa hospitali kupimwa afya zao.
  4. Herbalist Dr MziziMkavu

    Moto Mkubwa unawatesa Wamarekani wa Jimbo la California

    Tizama dunia hii. James Woods, muigizaji maarufu wa Hollywood ambaye alishabikia Wapalestina wote wa Ghazza wateketezwe, Mungu kamtahini kwa kuunguliwa na nyumba yake katika moto mkubwa unaoendelea kuiteketeza California, sasa analia kama mtoto mdogo! Ama kweli mzigo wa mwenzio ni kanda la usufi
  5. Herbalist Dr MziziMkavu

    Askari Huyu Mwanamke Alivyoituliza Kata iliyoshindikana Kilosa Hawaelewi Sheria

    https://www.youtube.com/watch?v=tWtw3Di53L4&ab_channel=MillardAyo
  6. Herbalist Dr MziziMkavu

    BREAKING NEWS: Maradhi Mapya ya Virusi vya Mafuwa nchini china yameibuka.Kwa Jina Yanaitwa HMPV-Virus Na Hayana chanjo Tujiabdae kuva Barakoa Tena

    A NEW CHINESE VIRUS LOOM. HUMAN METAPNEUMOVIRU OR HMPV OUTBREAK. HMPV HAS NO VACCINE SA OF NOW BAADA YA MIAKA 5 YA KORANA VIRU KUTOKEA NCHINI CHINA SASA KUMEREPUKA VIRUS MPYA INAYOITWA KWA JINA (HMPV) NCHINI CHINA DALILI YA MARADHI HAYA MAPY NI INAYOSABABISHA USHINDWE KUPUMUWA VIZURI , MAFUA...
  7. Herbalist Dr MziziMkavu

    Katuni yangu ya leo asubuhi

  8. Herbalist Dr MziziMkavu

    Mke wa Mtu Ni Sumu Mchungaji afumaniwa akimla Mke wa Mtu

    HUYU SASA NADHANI ALIKUWA AMEKUJA KUFANYA MAOMBI TAKAKITU NA TAKATIFU MAOMBI TAKAKITU IKAFAULU TAKATIFU PIA.
  9. Herbalist Dr MziziMkavu

    Hatari kweli

    Kama una ndugu yako yupo Msumbiji mwambie aondoke haraka sana hali sio nzuri . Hao wote utakaowaona kwenye video walifariki kwa kupigwa risasi. Kama unampango wa kwenda Msumbiji basi jua hii ndio hali halisi.
  10. Herbalist Dr MziziMkavu

    Kondoo kwa binadamu huwa hana urafiki kabisa

    Wakati wa likizo huu, Mkiwapeleka watoto kijijini wakumbusheni kuwa maisha ya kule sio play station, kila kitu ni live😂😂😂😂🏃🏾
  11. Herbalist Dr MziziMkavu

    Mbegu za Mbono Kinga dhidi Ya Maradhi ya Majipu

    MBEGU ZA MBONO AU MNYONYO Mara nyingi katika mada zangu nimekuwa nikizungumzia namna ya kutibu maradhi mbalimbali yanayomkwamisha mwanadamu kushiriki ipasavyo kazi za ujenzi wa taifa. Tiba ninazozungumzia ni zile asili zisizoacha athari mbaya kwenye mwili wa mgonjwa. Leo nimeona nizungumzie...
  12. Herbalist Dr MziziMkavu

    Faida Ya Mmea Wa Msegesege Kumtibu Mtu Aliyerogwa Uchawi Usioweza Kutibika Kabisa

    FAIDA ZA MMEA WA MSEGESEGE KUMTIBU MTU ALIYEROGWA UCHAWI USIOTIBIKA KIRAHISI 1. Kama unahitaji kumtibia mtu aliyerogwa uchawi usiotibika kirahisi au amezunguka sana kutafuta matibabu mbalimbali basi utakwenda katika mti huu kwa kufuata adabu za kuchukua mti kitiba kisha utachukua majani yake...
  13. The Sunk Cost Fallacy 2

    Rostam: Hakuna nchi duniani inajenga Uchumi wake kwa kutegemea wawekezaji wa nje, ataka wazawa wapewe kipaombele

    Nakubalina na Rostam Aziz, Wawekezaji wa Nje waje ku compliment pale ambapo Wawekezaji wa Ndani wamekwama tena Kwa Ubia. Sasa taasisi zetu zikisia uwekezaji wao wanaweza Wazungu na hata Sasa wako busy kutafuna posho Kwa visingizio vya kuandaa majukwaa ya uwekezaji na mataifa ya Nje...
  14. Herbalist Dr MziziMkavu

    Huu mmea ni dawa nzuri ya vidonda mwilini

    Hiii ni dawa nzuri ya Vidonda Wengi mna sikia hadithi tu Kua kuna mti.huo wa nyoka Yani nyoka wakipigana mmoja ikatokea kamjeruhi mwenzake au kuzimia Huenda kwenye mti flani uchuma jani na kumtemea mwenzake na kuamka Basi dawa hii NI nzuri kwa mwenye vidonda vyovyote vile ambavyo vya ndani na...
  15. Herbalist Dr MziziMkavu

    Faida ya Tunda la Fenesi kwa Afya ya Mwili wako pamoja na ngozi yako

    FAIDA YA TUNDA LA FENESI KWA AFYA YA MWILI WAKO NA NGOZI. Najua unalijua fenesi, pengine unakula bila kujua faida zake au hujawahi kula kabisa. Fenesi linaweza kuwa tunda ambalo halina washabiki wengi, lakini ukisoma hapa na kujua faida zake mwilini. Mwenyewe utaanza kulipenda tu. Maana fenesi...
  16. Herbalist Dr MziziMkavu

    Faida za Kiafya zipatikanazo Kwa Kunywa juisi ya Rosela/Hibiscus/Karkade

    Rosela ni ni maua yanayo julikana kabisa pia huoteshwa au kupandwa mazingira ya kawaida haswa nyumbani, maua haya yanapatikana kirahisi katika nyumba za ndugu, jamaa na marafiki na sehemu zinginezo japo kuwa baadhi ya watu huyaita maua damu. Zifuatazo ni faida za kutumia Rozela. Maua ya...
  17. Herbalist Dr MziziMkavu

    Nitajie wasanii hawa wa tasnia ya filamu wamecheza filamu gani?

    Rip Bruce Lee, Bolo Yeung, Jimmy Kelly, Angela Mao,robert Wall Kien Shih, John Saxon, Ahna Gapri, Sammon Kam-Bo Hung, Geoffrey Weeks.
  18. Program Manager

    Msaada wa kumtambua huyu ndugu pichani

    Anaitwa NASSORO IDDY IGALAWA ni dereva amepatwa na umauti leo maeneo ya mbangamawe alikuwa na gari NOAH amby bado haijasajiliwa lakini documents zinaonyesha alikuwa anapeleka gari msumbiji. Mwili upo hospital ya mkoa ruvuma (HOMSO) mpaka sasa hivi hatujapata mawasiliano ya ndugu kwasababu...
  19. Herbalist Dr MziziMkavu

    Ufuta Unavyotibu Kisukari, Saratani!

    UFUTA au kitaalamu Sesamum indicum, hustawi na hulimwa zaidi mikoa ya Kusini mwa Tanzania ya Lindi, Mtwara na sehemu ya mkoa wa Ruvuma, Tunduru. Hata hivyo, tafiti mbalimbali za ndani na nje ya nchi, zinaonesha kuwa ulaji wake ni kinga na tiba ya magonjwa katika mwili wa binadamu Baadhi ya...
  20. Waufukweni

    Jengo moja lateketea kwa moto Kariakoo

    Jengo la biashara linalouza magodoro lililopo eneo la Mtaa wa Nyamwezi na Kipata katika Soko la Kimataifa la Kariakoo Jijini Dar es Salaam limeteketea kwa moto Jioni hii. Chanzo cha moto huo bado hakijajulikana. Soma Pia: Kariakoo: Moto Mkubwa unawaka Msimbazi
Back
Top Bottom