Habari wadau wa JamiiForums,
Kwenye dunia ya sasa, kuna mastaa wawili wa biashara: wale unaowaona hadharani na wale wanaopanga mchezo nyuma ya pazia. Wengi wetu tunanunua bidhaa, kutafuta taarifa, na kuwasiliana mtandaoni bila kujiuliza: Je, huu mfumo unavyotufanya tufikiri, kuchagua, na...
List of animals that are only found in Amazon Rain Forest:
Armed Spiders
Giant Armadillo
Macaw
Electric Eel
South American Tapir
Pygmy Marmosets
Capybara
Squirrel Monkeys
Toco Toucan
Poison Dart Frog
Amazon River Dolphin
Black Caiman
Giant Otter
Jaguar
Habari, Kuna bidhaa nataka kuagiza (mini projector 📽️) kutoka Amazon.
pakuanzia kuhusu Amazon najua ila swali langu ni:-
Je, nikiagiza bidhaa Amazon, nitatakiwa kuichukulia wapi(destination)? Kama nikikamilisha taratibu zote za manunuzi?
🌟 Timeless Elegance Meets Affordability: PT950 Platinum Ring 💍
HomeJewelry 🌟 Timeless Elegance Meets Affordability: PT950 Platinum Ring 💍
The on Original PT950 Platinum Ring AliExpress combines luxury, quality, and affordability, making it a must-have for any jewelry enthusiast. At just 💵...
Habari wakuu
Baada ya uzi wangu wa utafiti ambao ulifutwa sasa nimekuja na uzi mpya
Katika pitapita zangu za Amazon nikakutana na uwezo wa kucreate seller acount ambayo unaweza ukachukua plan ya individual account ambayo itakua inalipiwa 0.9USD kwa kila mauzo unayoyafanya
NIkapitia price ya...
Habari wakuu
Baada ya uzi wangu wa utafiti ambao ulifutwa sasa nimekuja na uzi mpya
Katika pitapita zangu za amazon nikakutana na uwezo wa kucreate seller acount ambayo unaweza ukachukua plan ya individual account ambayo itakua inalipiwa 0.9USD kwa kila mauzo unayoyafanya
NIkapitia price ya...
Habari wana JF. Kuna bidhaa nataka ninunue AMAZON ila bado sijaelewa kwa uzuri kuhusu import fees. Kama kuna mdau alishawai kuagiza bidhaa kutoka Amazoni naomba ufafanuzi zaidi.
(....Usipite bila Kusoma......)
1: Msitu wa Amazon ndio msitu mkubwa zaidi duniani unaopatikana huko America kusini.
2: kama ulifikiri msitu huu unapatikana Brazil pekee jibu ni hapana msitu huu umegawanyika katika nchi tisa nchi hizo ni Blazil 60% peru 13% colombia 10% na mataifa mengine kama...
The photo of Penha Goes, a 22-year-old woman from the Yanomami tribe, was taken by photographer Richard Stuckert in 1997.
Stuckert revisited Penha Goes in 2015 and found her still living in the same village. She was 39 years old and had the same purity in her eyes as 17 years ago...
Habarini! Naomba kama kuna mtu anauzoefu wa kuagiza vitu online kupitia site ya Amazon anipe ikimpendeza hata na CARGO wa Tanzania wa uhakika.
Karibuni jamani mnipe moja mbili na mimi
Habari ndugu zangu,
Nataka kuweka kitabu changu katika mtandao wa AMAZON, ila kuna sehemu moja ya kuweka taarifa za kibenki, sioni option ya Tanzania ili niweze kuendelea.
Kuna iprion ya Marekani na nchi nyingine za Ulaya.
Msaada tafadhali
Guys, mimi ni mwandishi wa Novel (riwaya), nataka kuwekeza kwenye Amazon Kdp.
Lakini naona ni kama changamoto kwangu kama beginner.
Maana hapa ntatakiwa kulipa some amount for ads, pia kupata reviews (rates) ni ngumu.
Na wateja wengi wanependa sana kucheki reviews kabla kununua kitabu...
Wanasema mtoto umleavyo ndivyo akuavyo.
Hawa watoto wa wameweza kunusurika na mazingira hatarishi ya msitu mkubwa wa Amazon kwa siku 40 bila chakula wala malazi yoyote hadi walipopatikana leo kutoka kwenye kikosi cha waokoaji.
Watoto hao 4 walipotea mwanzoni mwa mwezi wa 5 baada ya ndege...
Umewahi kuitazama muvi ya Wonder Woman iliyochezwa na mwadada Gal Gadot? Ni muvi inayohusu wanawake Fulani wanaofahamika kama Amazon Women.
Kwa mujibu hadithi za uhiriki (Greek mythology) zinasema kwamba Amazon Women walikua ni jamii ya wanawake ambao walikua hatari sana katika medani za...
Project Kuiper ya Amazon ambayo itatoa huduma ya mtandao kwa kupitia satelite inatarajiwa kuanza kazi 2024. Huduma hiyo itakuwa na spidi zifuatazo.
Standard 400Mbps
Ultra-compact (Dish ndogo) 100 Mbps
Pro hadi 1Gbps.
Bei zitatangazwa huku mbele ila zinategemewa kuwa shindani na Starlink.
Jeff...
Kampuni ya Amazon.com Inc (AMZN.O) inatarajia kupunguza zaidia ya wafanyakazi 18,000 kama sehemu ya upunguzaji wa wafanyikazi kwa mujibu wa Mtendaji Mkuu Andy Jassy
Maamuzi hayo yanatarajiwa kutangazwa kwa wafanyakazi Januari 18, 2023 ambapo yanatajwa kuwa yataathiri kwa kiasi kikubwa biashara...
Kampuni ya Apple, imeweka rekodi ya kuwa na thamani kubwa kuliko kampuni za Alphabet (Google), Meta na Amazon - ukizichanganya kwa pamoja.
Yaani ukichukua Market Cap ya Amazon, Meta na Alphabet kwa pamoja; bado haziifikii kampuni ya Apple.
Apple imefikisha thamani ya dola Trilioni 2.307 siku...
Benin Unveils Giant 30-Meter-High Bronze Statue of An Agoji Warrior Woman
Benin’s President Patrice Talon has unveiled three monuments in the capital Cotonou to remind citizens to celebrate their historical heroes. The monuments include the garden of Mathieu, the statue of King Bio Guera and...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.