amazon

  1. Naomba kufahamu jinsi ya kuagiza bidhaa Amazon

    Msaada ndugu zangu naomba mnipe procedure za kuagiza bidhaa kwa kutumia Amazon. Wana free delivery au?
  2. Msaada: Nimeshindwa ku rent ama kununua hii Royal tour documentary amazon

    Nimejaribu ku rent ama kununua nikashindwa kwa sababu ya billing address nje na US . Payment inaonyesha in $ tu. Please mwenye msaada ili tuangalie wote ubunifu wa mkuu wa machifu wetu naomba msaada.
  3. S

    Nimeshindwa kununua au kuazima documentary ya Royal Tour Amazon kwa sababu credit card yangu sio ya USA

    Baada ya kuiona trailer ya documentary ya Royal Tour na kufahamishwa kuwa ipo Amazon, niliamua na mie ngoja nilipie kuiangalia. Ajabu ni kwamba nilipotaka kulipia nilipata ujumbe kwamba kwa kuwa credit card yangu sio ya USA basi siruhusiwi kuilipia. Hivi huu ubaguzi hadi kwenye credit card?
  4. Amazon nao hawajaachwa nyuma, wanaingia Kenya kwa kishindo, wanawekeza "local zone" ya pili Afrika Nairobi

    The entry of Amazon Web Services (AWS) into Kenya’s cloud computing ecosystem is set to bolster the country’s preparedness for the take-off of the Fourth Industrial Revolution (4IR) as its rapid technological transformation keeps attracting Big Tech. Last week AWS set up a Local Zone in Nairobi...
  5. Habari Njema kwa wadau wa AI hasa hasa NLP: Amazon wazindua dataset ya lugha 51 free kwa developers

    Hello bosses.... Jana Tarehe 20 April 2022 ilikua ni siku ambayo itaingia kwenye record ya maendeleo kwenye field ya Artificial Intelligence hasa hasa upande wa NLP & NLU (Natural language processing & Natural Language Understanding). Siku hio Amazon walitoa wazi dataset yenye lugha 51 zikiwa...
  6. Tundu Lissu: Filamu ya Royal Tour ni biashara kubwa Amazon. Je, nani mwenye hakimiliki? Mgawo wetu ni kiasi gani?

    Ameandika Tundu Lissu katika akaunti yake ya Twitter Movie ya Royal Tour kumbe ni biashara kubwa Amazon. Kukodi Sh. 13,930, Kuuza sh. 37,150. Swali langu ni je, mwenye hatimilki ya movie - & kwa hiyo mmiliki wa pesa hizo - ni nani? Je, mgawo wetu ni kiasi gani kwa vile main character ni Rais...
  7. Je, hii simu niliyoinunua Amazon inaweza kusoma line za huku?

    Jamani habari ndugu? Nimenunua simu Amazon nikakimbilia bei nimekuja kungudua shinda wakati ikiwa imekwisha tumwa kuwa hii simu niyakampuni ya total wireless je, kwa hapa bongo inaweza kusoma laini za huku?
  8. Nahitaji mzoefu wa kuuza vitabu Amazon au site yoyote

    Habari. Nitalipia tuition. Piga au chat 0713-039875
  9. T

    Naomba kujuzwa kuhusu Amazon web services certification kwa Tanzania

    Habari wadau, naamini mko poa. Ni muda sasa nimekuwa nikifuatilia kuhusu cloud computing na nikafikia hatua ya kutaka kujua kiundani, katika kufuatilia kwangu nikagundua kuwa naweza kujifunza online na kupata cheti. Ningeomba kujua kama kuna mtu ambaye alishafanya mitihani ya amazoni anipe tu...
  10. K

    Mfano wa Kodi za Mitandao Amazon

    Mimi ni diaspora hapa US state ya Texas na kwa hii miaka miwili nina nunua vitu vingi mitandaoni kwa kutumia Amazon. Kwasababu serikali inatafuta njia ya kutoza kodi za mitandao US ni mfano mzuri. Hapa US kila jimbo lina kodi tofauti hivyo mimi hapa Texas nikinunua majani ya chai kodi yangu ni...
  11. #COVID19 Wafanyakazi wa Amazon kurejea ofisini Januari 2022

    Amazon imesema inalenga kuchelewesha kufungua Ofisi zake hadi Januari 03, 2022. Awali, walitarajiwa kurejea Ofisini Septemba 07 lakini hatua hiyo itasogezwa mbele huku masuala yote yanayohusu COVID-19 yakiendelea kuangaliwa kwa karibu. Uamuzi huo umekuja wakati kuna ongezeko la wanaolazwa...
  12. Amazon yapata CEO mpya baada ya Jeff Bezos kuachia nafasi rasmi

    Jeff Bezos (57) ameachia rasmi nafasi ya Mtendaji Mkuu wa Kampuni maarufu ya Amazon iliyomfanya kuwa Bilionea, na nafasi hiyo itachukuliwa na Andy Jassy. Bezos ataendelea kuwepo katika Kampuni hiyo Mwenyekiti Mtendaji na ataelekeza muda wake mwingi zaidi kwenye Kampuni yake ya masuala ya anga...
  13. Kenya Partners With Amazon to offer training to Kenyan youth in Cloud Computing

    The Ministry of Information Communication and Technology has partnered with E-commerce giant Amazon to offer free training to Kenyan youth in Cloud Computing. The programme dubbed ‘Amazon Web Services re/Start’ was rolled out last year for countries in Africa. In collaboration with the Kenyan...
  14. Naomba Ufafanuzi kuhusu Kuagiza Bidhaa Mtandaoni

    Asalaam Aleykum wakuu poleni na majukumu ya hapa na pale, shida yangu ni kuhusu hizi online market Alibaba na Amazon, Naomba kwa wanaofahamu wanipe ABCD's kuhusu uaminifu wao, na kama kuna scammers nawatokaje. Nina hitaji kununua gemstone, niliingia Alibaba nimeona kuna masonara wa Pakistan...
  15. Msaada jinsi ya ku unlock simu aina ya amazon fire

    Habari za majukumu wandugu, naombeni msaada wa program itakayoweza kunisaidia kuondoa simlock katika simu aina ya amazon au kama kuna mtu anaweza kufanya kazi hii aje PM Natanguliza shukrani.
  16. Natafuta Mwalimu wa kunifundisha kuuza vitabu Amazon and the like

    Habari zenu. Nina vitabu kadhaa,nimeuza kwa online nchini,ninapenda Sasa niuze Amazon na sites zingine. Hivyo naomba mwenye uzoefu, anipe darasa full kwa malipo Simu: 0713039875
  17. H

    Amazon Firestick lite, tv box original kwa bei nafuu

    Umechoshwa na Tv box za kichina ambazo zipo slow, ngumu kutumia na hazina features nyingi? Karibu kwenye ulimwengu mpya wa Android kwenye Tv yako kwa kutumia Fire stick. Fire stick ni tv Box ambayo inaweza kubadili tv yoyote ambayo sio smart kuwa smart, pia wale wenye smart tv wanaweza kuitumia...
  18. Manunuzi Amazon & Ebay. Seller hatumi mzigo kuja Tanzania

    Nahitaji kufanya manunuzi Amazon, lakini nashindwa kufanya malipo kwasababu system inanijibu kwamba muuzaji hawezi kutuma mzigo kuja Tanzania. Wazoefu na hili huwa mnafanyaje? Sellers Amazon au eBay hawaship to TZ. Any alternative? Ni kampuni gani ya Parcel Forwarding from UK to Tz ambayo...
  19. Mkurugenzi wa Amazon, Jeff Bezos anakuwa mtu wa kwanza duniani kuwa na utajiri wa Dola Bilioni 200

    Kwa mujibu wa jarida ya Forbes Mkurugenzi wa kampuni ya Amazon, Jeff Bezos anakuwa mtu kwa kwanza duniani kuwa na utajiri wa Dola Bilioni 200 Imeelezwa kuwa, hivi sasa Bezos (56) ana utajiri wa Dola za Marekani Bilioni 204.6, huku Bill Gates anayeshika nafasi ya pili akiwa na utajiri wa Dola...
  20. F

    Mzungu ananiomba nimtumie Amazon Gift Card. Nielekezeni tafadhali

    Wadau nimekutana na mzungu kwa njia ya mtandao. Anaishi Marekani. Sasa ananiomba nimtumie Amazon Gift card. Nime Google hii kadi sielewi vizuri. Pia naona kama ya kununua kwa dola. Je, huyu mzungu anamaanisha nini kuomba kadi ya gharama? Msaada na ushauri wako muhimu.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…