Asalaam aleykum Jamiyah, hapo awali kidogo ukinnunua simu dukani ilikuwa ni simu ambayo endapo ni Samsung, Nokia, tecno na kadhalika, wakati wa kuiwasha ilikuwa inakuja nembo halisi ya simu husika bila ya kuwa na andishi lolote linaloambatana yaani linakuja neno Samsung na mbwembwe zake kwenye...