Ikiwa Mdomo wako hautulii basi kuolewa na smartest man sio rahisi .
Rekebisha mdomo , ongea mambo ya msingi ,acha kufatilia umbea na trending.
Acha kulalamika.
Wanawake wengi ambao wameshindwa kuolewa ni mdomo tu , mambo ya kuwa singo maza n.k nyongeza
Rekebisheni mdomo , value man...