angola

Angola ( (listen); Portuguese: [ɐ̃ˈɡɔlɐ]), officially the Republic of Angola (Portuguese: República de Angola), is a country on the west coast of Southern Africa. It is the second-largest lusophone (Portuguese-speaking) country in both total area and population (behind Brazil), and is the seventh-largest country in Africa. It is bordered by Namibia to the south, the DR Congo to the north, Zambia to the east, and the Atlantic Ocean to the west. Angola has an exclave province, the province of Cabinda, that borders the Republic of the Congo and the Democratic Republic of the Congo. The capital and largest city is Luanda.
Angola has been inhabited since the Paleolithic Age. Its formation as a nation-state originates from Portuguese colonisation, which initially began with coastal settlements and trading posts founded in the 16th century. In the 19th century, European settlers gradually began to establish themselves in the interior. The Portuguese colony that became Angola did not have its present borders until the early 20th century, owing to resistance by native groups such as the Cuamato, the Kwanyama and the Mbunda.
After a protracted anti-colonial struggle, Angola achieved independence in 1975 as a Marxist–Leninist one-party Republic. The country descended into a devastating civil war the same year, between the ruling People's Movement for the Liberation of Angola (MPLA), backed by the Soviet Union and Cuba, and the insurgent anti-communist National Union for the Total Independence of Angola (UNITA), supported by the United States and South Africa. The country has been governed by MPLA ever since its independence in 1975. Following the end of the war in 2002, Angola emerged as a relatively stable unitary, presidential constitutional republic.
Angola has vast mineral and petroleum reserves, and its economy is among the fastest-growing in the world, especially since the end of the civil war. However, economic growth is highly uneven, with most of the nation's wealth concentrated in a disproportionately small sector of the population. The standard of living remains low for most Angolans; life expectancy is among the lowest in the world, while infant mortality is among the highest.
Since 2017, the government of João Lourenço has made fighting corruption its flagship, so much so that many individuals of the previous government are either jailed or awaiting trial. Whilst this effort has been recognised by foreign diplomats to be legitimate, some skeptics see the actions as being politically motivated.
Angola is a member of the United Nations, OPEC, African Union, the Community of Portuguese Language Countries, and the Southern African Development Community. As of 2019, the Angolan population is estimated at 31.83 million. Angola is multicultural and multiethnic. Angolan culture reflects centuries of Portuguese rule, namely the predominance of the Portuguese language and of the Catholic Church, intermingled with a variety of indigenous customs and traditions.

View More On Wikipedia.org
  1. Lady Whistledown

    Angola: Wachungaji wakamatwa kwa kuvaa sare za jeshi

    Wachungaji wawili wa dhehebu la kidini wamekamatwa na Maafisa wa Huduma ya Upelelezi wa Jinai (SIC) wakiwa wamevaa sare nyekundu zinazofanana na zile zinazovaliwa na Majenerali wa Jeshi. Msemaji wa SIC, Manuel Halaiwa amenukuliwa akisema wawili hao watashtakiwa kwa matumizi haramu ya sare za...
  2. BARD AI

    Angola: Mahakama yaagiza kukamatwa Mali za Tsh. Trilioni 2.3 za Mtoto wa Rais Eduardo dos Santos

    Mahakama ya Juu (ASC) imetoa agizo la kuzuiwa kwa Mali za Isabel dos Santos kama ilivyoombwa na Wizara ya Umma baada ya kudaiwa kuwa zimetokana na #Ubadhirifu na #Ufisadi wa Mali za Umma. Taarifa hiyo imeagiza kuzuiwa kwa Fedha katika Benki zote, Akaunti za Amana za Muda, Maombi yote ya Fedha...
  3. BARD AI

    Angola: Serikali yaidhinisha kukamatwa mtoto wa Rais wa zamani, Dos Santos

    Mwanasheria Mkuu, Helder Pitta Groz amethibitisha taarifa za Shirika la Polisi wa Kimataifa (Interpol) kumtafuta na kumkamata Isabel dos Santos, mtoto wa Rais wa zamani wa nchi hiyo. Isabel ameshtakiwa kwa Matumizi Mabaya ya Mali na Ubadhirifu wa Fedha za Umma wakati Mwenyekiti wa kampuni ya...
  4. L

    Eneo la viwanda la Huawei lazinduliwa nchini Angola

    Hafla ya uzinduzi wa Eneo la Viwanda la Huawei imefanyika jana jumanne wiki hii katika mji mkuu wa Angola, Luanda, na kuhudhuriwa na rais wa nchi hiyo, João Lourenço. Kwenye hafla hiyo, Angola na kampuni ya Huawei zilisaini makubaliano kuhusu kuwaandaa watu wenye ujuzi wa kidigitali. Kutokana...
  5. J

    Yanga imeifunga Club ya Tunisia, ambayo inashiriki kombe la Dunia, Malawi na Angola hazijawahi

    Yanga imeifunga Club kutoka Tunisia ambayo inashiriki Kombe la Dunia mwaka huu, na ni timu ambayo inafanya vizuri sana AFCON, na timu za taifa kutoka nchi za kiarabu kama Egypt, Tunisia, Morroco, Algeria huwa zinaundwa na wachezaji kutoka ligi ya ndani. Tofauti kabisa na timu za taifa za nchi...
  6. N

    Yadaiwa CEO alimpa makavu Kanjanja huko Angola akakataa mahojiano

    Wololooooooooo haiya haiya haiya, watetezi wa Kanjanja Senior mnaruhusiwa kuja kuporomosha matusi na kudai nina chuki binafsi. Kweli ulitarajia mtu ambaye huwa unachukia safari zake na lipstick yake una bifu nayo akuchekee tu kama ndalakyuya, wenye akili walijua hukuwa pale kwa nia nzuri. Kama...
  7. N

    Shafih Dauda yuko Angola na Simba S.C, nimetokwa machozi

    Haki ya Mungu walahi Mungu amlinde tu Barbara Gonzalez, ana maadui wa wazi wazi wa Simba wako ndani ndani kabisa wakishirikiana na makanjanja mazoefu. Lile jitu linalokesha kusambaza habari za uongo za Simba kushoto na kulia liko Angola tayari na inavyoonekana hadi mipango ya ndani ya Simba...
  8. GENTAMYCINE

    Simba S.C. kwenda Angola siku moja kabla ya mechi ni takwa la kiufundi au bajeti imekata?

    Na kama ni takwa la kiufundi mwambieni huyo aliyeamua hivi kuwa hii ni hatari na itatugharimu kimatokeo. Ningewaelewa Simba S.C. (hasa kiufundi) kama wangeenda Angola siku tatu kabla ila hii ya kwenda siku moja kabla ya mechi (yaani Jumamosi na kucheza Jumapili) ni hatari kimchezo...
  9. OKW BOBAN SUNZU

    Simba Sc ijiandae na fitna nchini Angola

    By ELIUS KAMBILI NILIKUWA pale Luanda, Angola na Namungo iliyokwenda kucheza na Clube Desportivo 1 de Agosto mwaka jana. Lakini wageni hawakugusa mpira hata wa mazoezi kutokana na vihoja kutawala nje ya Uwanja. Simba msimu huu imepangwa kucheza na klabu hiyo katika mchezo wa Ligi ya Mabingwa...
  10. GENTAMYCINE

    Huenda Safari ya 'Mafahari' Wawili wa Tanzania zikaishia Angola na Sudan

    Leo natabiri mapema hapa kwa niliowaona wa kule Angola na wa Sudan ama Mafahari Wawili Wakatolewa ( Wakafurumushwa ) Wote au Mmoja wao tu ndiyo akabahatika Kufuzu Kundini lakini siyo Wote kwa pamoja ( kama Mafahari ) ndiyo watapita. Wengine tumeumbwa kuwa Wakweli halafu tuna Macho ya Kimpira...
  11. Lady Whistledown

    Angola: Mahakama yatupilia mbali madai ya Upinzani ya kupinga matokeo ya Urais

    Mahakama ya kikatiba ya Angola imekataa madai ya Chama cha Upinzani cha #UNITA ya kutaka kubatilisha matokeo ya Uchaguzi Mkuu ww Agosti 24, 2022 kutokana na madai ya Uchaguzi huo kuwa batili Mahakama imesema malalamiko ya UNITA hayakukidhi matakwa ya kuruhusu chombo hicho cha kisheria...
  12. Lady Whistledown

    Angola: Upinzani wawasilisha pingamizi la kisheria dhidi ya matokeo ya uchaguzi Mkuu

    Chama Kikuu cha upinzani UNITA, kimewasilisha pingamizi la kisheria dhidi ya matokeo ya uchaguzi Mkuu wa Agosti 24 wa wiki iliyopita na kusema kuwa Uchaguzi huo ulikuwa na dosari Chama tawala cha MPLA - ambacho kimekuwa madarakani tangu 1975 - kilitangazwa kuwa mshindi wa Uchaguzi huo kwa...
  13. BARD AI

    Uchaguzi Angola: Chama Tawala chashinda, Upinzani wagomea matokeo

    Chama Tawala cha Marxist People's Movement for the Liberation of Angola (MPLA) kimepata ushindi wa 51.17% baada ya kura zote kuhesabiwa kikifuatiwa na National Union for the Total Independence of Angola (UNITA) kilichopata 43.95%. Kiongozi wa UNITA, Adalberto Costa Junior amekataa matokeo hayo...
  14. Roving Journalist

    Angola: Dkt. Jakaya Kikwete wa Tanzania na Joaquim Chissano wa Msumbiji watoa tamko

    Marais Wastaafu Dkt. Jakaya Kikwete wa Tanzania na Joaquim Chissano wa Msumbiji kwa pamoja wameungana na Timu mbalimbali za Kikanda na za Kimataifa za Waangalizi wa Uchaguzi wa Angola kutoa tamko kuhusu Uchaguzi Mkuu wa nchi hiyo uliofanyika tarehe 24 Agosti 2022
  15. Mbaga Lazaro

    Angola: João Lourenço ashinda katika uchaguzi wa Rais uliokuwa na ushindani mkali

    Chama tawala cha Angola kinatazamiwa kurefusha utawala wake kwa miaka mingine mitano, na kukipa jumla ya miaka 52 madarakani. Upinzani mkuu ulisema utapinga matokeo ya kura ya Jumatano. Rais wa sasa Joao Lourenco wa chama cha People's Movement for the Liberation of Angola, kinachojulikana kwa...
  16. Lady Whistledown

    Uchaguzi Angola: Chama Tawala chaongoza katika matokeo ya awali

    Tume ya Uchaguzi imesema kuwa Chama cha MPLA kinaongoza baada ya matokeo ya mapema ya uchaguzi wa Rais na Wabunge uliofanyika Agosti 24 Tume hiyo ilisema kuwa kutokana na theluthi moja ya kura kuhesabiwa, Chama cha Rais João Lourenço kimepata zaidi ya asilimia 60 huku Chama cha Upinzani cha...
  17. JanguKamaJangu

    Binti wa Dos Santos akata rufaa kupinga mwili wa baba yake kuzikwa Angola, ataka azikwe Hispania

    Tchize dos Santos, mtoto wa aliyekuwa Rais wa Angola, Eduardo dos Santos amekata rufaa dhidi ya uamuzi wa Mahakama ya Hispania iliyoagiza mwili wa Eduardo ukabidhiwe kwa mjane wake, Ana Paula ili urejeshwe Angola kwa maziko. Dos Santos aliyeshika madaraka 1979-2017 alifariki Julai 8, 2022...
  18. Lady Whistledown

    Familia ya Dos Santos waridhia Baba yao kuzikwa Angola

    Hatimaye Watoto wa rais wa zamani, José Eduardo dos Santos wamekubali baba yao azikwe mjini Luanda, lakini tu baada ya uchaguzi mkuu wa Agosti 24. Hapo awali familia hiyo ilipinga Uamuzi wa Serikali kuandaa mazishi hayo wakidai Baba yao alitaka kuzikwa Mjini Barcelona alipofariki Julai 8, akiwa...
  19. Lady Whistledown

    Mzozo waibuka kuhusu Mazishi ya Rais wa Zamani wa Angola, Jose Dos Santos

    Inaelezwa kuwa mzozo mkubwa umejitokeza kati ya Serikali ya #Angola na Familia ya Rais #JoseDosSantos baada ya Rais João Lourenço kuamuru kuundwa kwa tume ya Serikali kupanga mazishi ya kitaifa kwa mtangulizi wake, na kusema anategemea kila mtu kuhudhuria ikiwa ni pamoja na familia yake iliyopo...
  20. beth

    TANZIA Rais wa zamani wa Angola, José Eduardo dos Santos afariki dunia

    José Eduardo dos Santos aliyeongoza Angola kwa takriban miaka 40, kuanzia mwaka 1979 - 2017 amefariki dunia akiwa na miaka 79 Taarifa ya kifo chake zimethibitishwa na Serikali ya Angola, ikielezwa amefariki akiwa Hospitalini Barcelona Nchini Uhispania kutokana na maradhi ambayo hayajawekwa wazi...
Back
Top Bottom