argentina

Argentina (Spanish: [aɾxenˈtina]), officially the Argentine Republic (Spanish: República Argentina), is a country located mostly in the southern half of South America. Sharing the bulk of the Southern Cone with Chile to the west, the country is also bordered by Bolivia and Paraguay to the north, Brazil to the northeast, Uruguay and the South Atlantic Ocean to the east, and the Drake Passage to the south. With a mainland area of 2,780,400 km2 (1,073,500 sq mi), Argentina is the eighth-largest country in the world, the fourth largest in the Americas, the second largest in South America after Brazil, and the largest Spanish-speaking nation. The sovereign state is subdivided into twenty-three provinces (Spanish: provincias, singular provincia) and one autonomous city (ciudad autónoma), Buenos Aires, which is the federal capital of the nation (Spanish: Capital Federal) as decided by Congress. The provinces and the capital have their own constitutions, but exist under a federal system. Argentina claims sovereignty over part of Antarctica, the Falkland Islands (Spanish: Islas Malvinas), and South Georgia and the South Sandwich Islands.
The earliest recorded human presence in modern-day Argentina dates back to the Paleolithic period. The Inca Empire expanded to the northwest of the country in Pre-Columbian times. The country has its roots in Spanish colonization of the region during the 16th century. Argentina rose as the successor state of the Viceroyalty of the Río de la Plata, a Spanish overseas viceroyalty founded in 1776. The declaration and fight for independence (1810–1818) was followed by an extended civil war that lasted until 1861, culminating in the country's reorganization as a federation of provinces with Buenos Aires as its capital city. The country thereafter enjoyed relative peace and stability, with several waves of European immigration, mainly Italians and Spaniards, radically reshaping its cultural and demographic outlook; 62.5% of the population has full or partial Italian ancestry, and the Argentine culture has significant connections to the Italian culture.The almost-unparalleled increase in prosperity led to Argentina becoming the seventh wealthiest nation in the world by the early 20th century. According to the Maddison Historical Statistics Project, Argentina had the world's highest real GDP per capita in 1895 and 1896, and was consistently in the top ten before at least 1920. Currently they are ranked 61st in the world. Following the Great Depression in the 1930s, Argentina descended into political instability and economic decline that pushed it back into underdevelopment, though it remained among the fifteen richest countries for several decades. Following the death of President Juan Perón in 1974, his widow, Isabel Martínez de Perón, ascended to the presidency. She was overthrown in 1976 by a U.S.-backed coup which installed a right-wing military dictatorship. The military government persecuted and murdered numerous political critics, activists, and leftists in the Dirty War, a period of state terrorism that lasted until the election of Raúl Alfonsín as President in 1983. Several of the junta's leaders were later convicted of their crimes and sentenced to imprisonment.
Argentina is a developing country and ranks 48th on the Human Development Index, the second highest in Latin America after Chile. It is a regional power in Latin America and retains its historic status as a middle power in international affairs. Argentina maintains the second largest economy in South America, the third-largest in Latin America, and is a member of G-15 and G-20. It is also a founding member of the United Nations, World Bank, World Trade Organization, Mercosur, Community of Latin American and Caribbean States and the Organization of Ibero-American States.

View More On Wikipedia.org
  1. BARD AI

    Hizi ndiyo fedha watakazolipwa Washindi wa Kombe la Dunia 2022

  2. Greatest Of All Time

    Argentina yatwaa ubingwa Kombe la Dunia - Qatar 2022

    Michuano ya Kombe la Dunia inatarajiwa kufanyika kuanzia November 20 mpaka December 18 mwaka huu. Michuano ya mwaka huu ni mara ya kwanza kwa Kombe la Dunia kufanyika katika nchi ya Kiarabu lakini ni mara ya pili kwa michuano hiyo kufanyika katika bara la Asia mara baada ya Korea Kusini na Japan...
  3. JanguKamaJangu

    FT: Argentina 3-3 (4-2 Penalties) France - World Cup Final - December 18, 2022

    Wachezaji wa Ufaransa waliokosa penati ni Kingsley Junior Coman na Aurélien Djani Tchouaméni. Baada ya dakika 90 kukamilika matokeo yakiwa 2-2, zikaongezwa dakika 30 matokeo yakawa 3-3, ndipo ikaamuliwa zipigwe penati na Argentina kushinda kwa matuta 4-2 Muda wa penati Mwamuzi anakamilisha...
  4. D

    Argentina na Ufaransa kuiwakilisha nguvu ya Dunia Ulimwenguni

    Ni kama jambo jepesi lakini limebeba maana nzito ya kiulimwengu! Lengo kuu la kuiteka dunia kwa kuifanya dunia kuwaza pamoja, kwa muda mmoja na jicho la pamoja si jambo jepesi hata kidogo! Hii ni mipango ya wenye nguvu katika Ulimwengu wa roho. Asilimia 70% ya watu duniani Leo watafikilia na...
  5. Bata Boy Official

    Wapi wataonesha Fainali ya Ufaransa dhidi ya Argentina kwenye 'screen' kubwa?

    Wakuu mwaka jana sjui juziii(sikumbuki vizuri) watu wa Heineken waliweka big screen pale kigamboni kuonyesha fainali ya UEFA Champions League. Vipi mwaka huu hakuna sehemu watakayoweka big screen? Maana experience yake huwa ni nzuri saaaana, kuna muda kutokana na mashabiki wengi unahisi kama...
  6. A

    Mimi shabiki wa CR7 naomba kombe lisiende Argentina

    Nisimungunye maneno ,kwa moyo wangu wa dhati na kama ningekuwa namjua mganga wa kuloga ningeomba awaloge Argentina wasibebe World Cup. CR7 umri umekwisha hope hataonekana kwenye next world cup, lakini amepambana sana kwa kuipambania Ureno lakini Mungu hajawa upande wake .Sasa naomba Mungu Sana...
  7. ChizzoDrama

    Utabiri game ya Kesho Argentina Vs France

    Team Messi Kesho tunanyanyua makwapa kwa mara ya Kwanza kabisa tukisherekea kombe la Dunia. Hapo Ufaransa kashaleta ufala wake, tumepita naye 3:1, dakika 6 za nyongeza zinaisha Mbappe haamini anachokiona anapiga goti anatubu. Ebwanaa eh Messi kama staring wa picha , anamaliza operation yake na...
  8. M

    Kwanini nasema na najiamini Argentina anaenda kuwa Bingwa wa 2022 QATAR FIFA WORLD CUP tarehe 18/12/2022?

    1. Wanacheza Kimkakati zaidi kama Simba SC 2. Wana Wachezaji Wapambanaji kama wa Yanga SC 3. Wana Golikipa Bora sana 4. Messi anawarahisishia Kazi Wengine 5. Wana Morali ya Kiuzalendo hasa 6. Argentina ni Timu ya Mungu 7. Lionel Messi hakabiki na Kabarikiwa Nami MINOCYCLINE namalizia kwa...
  9. C

    Kwa huu ukaribu wa Ronaldo na Mbappe na Mwamuzi Mreno kuihukumu fainali Jumapili, mashabiki wa Argentina tuna hofu

    Haiwezekani Mchezaji Christiano Ronaldo Siku zote alikuwa hana Urafiki na Kylian Mbape na Timu ya Ufaransa leo hii amekuwa nae na kuwa nao bega kwa bega. Haiwezekani FIFA wanajua fika kuwa Wareno kwa Upendo walionao kwa Ndugu yao Christiano Ronaldo Wanamchukia Mchezaji Lionel Messi halafu leo...
  10. Execute

    Shughuli imemalizika pale Qatar, Argentina ya Lionel Messi inaenda kubeba Ubingwa wa Dunia 2022

    Tumekuwa na wakati mzuri sana kuangalia kombe la dunia na sasa tunakaribia kufika mwisho. Kila timu imevuna ilichopanda. Argentina ndio timu bora zaidi kwenye michuano hii. Lionel Messi anaenda kuwa kinara baada ya mchezo mkali dhidi ya Ufaransa. Atastaafu kwa heshima kama mchezaji bora zaidi...
  11. JanguKamaJangu

    Nusu Fainali: Argentina 3-0 Croatia, FIFA World Cup, 13/12/2022

    69' Julian Alvarez anafunga goli la tatu akimalizia kazi nzuri ya Messi 60' Timu zinashambuliana kwa zamu 58' Messi anakosa nafasi nzuri, shuti lake linapanguliwa na kipa 55' Argentina wanaamka na kufanya mashambulizi ya kushtukiza 50' Croatia wanamiliki mpira na kupiga pasi nyingi Kipindi cha...
  12. M

    Namba hazidanganyi: Kwa takwimu hizi kwenye mechi kati ya Croatia na Brazil, Argentina aanze tu kutia maji wembe umpitie!

    Takwimu zinaonesha Croatia hakubahatisha kum funga Brazil! Alitawala mpira zaidi, alizuia (clearances) zaidi, na alikuwa makini zaidi kwa asilimia 100 alipopata kulenga goli (shots on target)!! Kwa takwimu hizi, Argentina watie maji mapema vinginevyo watanyolewa kavu kavu!! Match stats...
  13. February Makamba

    Pepe na Bruno Fernandes wailaumu Argentina kwa kufungwa jana

    Wachezaji wa Ureno Pepe na Bruno Fernandes wanamlaumu Messi na Argentina kwa kufungwa jana. Wanasema kuwa FIFA inamuandalia Messi kombe la dunia kwa lazima na ndio maana refa wao aliwekwa wa Argentina aliyekuwa anaipendelea Morocco. My take: Hawa wametumwa na binadamu mwenye wivu mwingi kuliko...
  14. JanguKamaJangu

    Argentina: Makamu wa Rais ahukumiwa Kwenda jela 6

    Mahakama imetoa hukmu hiyo kwa Cristina Fernandez de Kirchner mwenye umri wa miaka 69, kutokana na kumkuta na makosa ya rushwa Kiongozi huyo amedaiwa kutumia vibaya madaraka yake kwa kutoa kandarasi ya umma kwa rafiki yake, lakini hataweza kutumikia kifungo hicho hadi rufaa yake itakapokamilika...
  15. Execute

    Mechi ya Fainali Kombe la Dunia Qatar 2022 itakuwa kati ya Ufaransa na Argentina

    Baada ya kuziangalia timu zote kwenye mechi zilizowapeleka robo fainali, imekuwa dhahiri kwangu kwamba fainali itakuwa kati ya timu hizo. Brazil anaweza kumtoa Croatia ingawa sitarajii iwe hivyo. Argentina atamtoa Uholanzi kisha ataenda na kumtoa Brazil/Croatia kwenye nusu fainali Ureno...
  16. britanicca

    One of predicted match verified twabakiza Morocco kumtoa Argentina

    I said kwamba baada ya timu kubwa Belgium na German Kauga atafuata Spain then Argentina https://www.jamiiforums.com/threads/wakubwa-wanaofuata-kuaga-mashindano-baada-ya-germany-na-belgium-ni-spain-na-argentina-kwa-hatua-ijayo.2044573/ Morocco katufanyia kazi Kwa Spain twasubiri uholanzi amtoe...
  17. britanicca

    Wakubwa wanaofuata kuaga mashindano baada ya Germany na Belgium ni Spain na Argentina kwa hatua ijayo

    Argentina hatua ya 16 Bora itamuwia ngumu mno kwakuwa hadi hapa walipofika ni kwa bahati bahati tu! Spain yupo na mkusini wake Morocco, siku ambayo watu watazikimbia mikeka yao hapa. Sina kipaji cha kumuelezea mtu aelewe maono yetu tuliyojaliwa kuyaangalia mambo kwa nguvu ya ziada! Nitafufua...
  18. Execute

    Naipongeza Argentina ya Lionel Messi kwa kufikia Nusu Fainali ya Kombe la Dunia 2022

    Baada ya kuingia 16 bora, atacheza na Australia halafu kwenye robo fainali atakutana na mshindi kati ya Uholanzi na Marekani. Hapo Argentina wanawaza watakutana na nani kwenye nusu fainali maana hakuna timu yoyote ya kuwasumbua katika hizo tajwa hapo juu. Kiutani namna hii Argentina anakwenda...
  19. JanguKamaJangu

    Twaha Kiduku ampiga Victor Hugo wa Argentina kwa alama Novemba 25, 2022

    Bondia huyo Mtanzania amefanikiwa kupata ushindi wa Mkanda wa Dunia WBF dhidi ya Victor Hugo kwa pointi 99-91, 99-91, 99-91 katika pambano la uzito wa kati ‘Super middleweight lililofanyika kwenye Uwanja wa Jamhuri, Morogoro. Pambano hilo la Raundi 10 lilikuwa la ushindani mkali, Kiduku...
  20. P

    Kuna uwezekano Mayele akapewa uraia Argentina

    Hayo yamependekezwa na mshauri wa ufundi wa Argentina fc kupitia wizara ya michezo na burudani baada ya kuona kiwango cha messi na wachezaji waandamizi wakishindwa kuifunga hata saudi arabia huku upande mwingine mayele akizidi kutupia kila mechi zaidi ya goli moja au mbili. Ingawa...
Back
Top Bottom