argentina

Argentina (Spanish: [aɾxenˈtina]), officially the Argentine Republic (Spanish: República Argentina), is a country located mostly in the southern half of South America. Sharing the bulk of the Southern Cone with Chile to the west, the country is also bordered by Bolivia and Paraguay to the north, Brazil to the northeast, Uruguay and the South Atlantic Ocean to the east, and the Drake Passage to the south. With a mainland area of 2,780,400 km2 (1,073,500 sq mi), Argentina is the eighth-largest country in the world, the fourth largest in the Americas, the second largest in South America after Brazil, and the largest Spanish-speaking nation. The sovereign state is subdivided into twenty-three provinces (Spanish: provincias, singular provincia) and one autonomous city (ciudad autónoma), Buenos Aires, which is the federal capital of the nation (Spanish: Capital Federal) as decided by Congress. The provinces and the capital have their own constitutions, but exist under a federal system. Argentina claims sovereignty over part of Antarctica, the Falkland Islands (Spanish: Islas Malvinas), and South Georgia and the South Sandwich Islands.
The earliest recorded human presence in modern-day Argentina dates back to the Paleolithic period. The Inca Empire expanded to the northwest of the country in Pre-Columbian times. The country has its roots in Spanish colonization of the region during the 16th century. Argentina rose as the successor state of the Viceroyalty of the Río de la Plata, a Spanish overseas viceroyalty founded in 1776. The declaration and fight for independence (1810–1818) was followed by an extended civil war that lasted until 1861, culminating in the country's reorganization as a federation of provinces with Buenos Aires as its capital city. The country thereafter enjoyed relative peace and stability, with several waves of European immigration, mainly Italians and Spaniards, radically reshaping its cultural and demographic outlook; 62.5% of the population has full or partial Italian ancestry, and the Argentine culture has significant connections to the Italian culture.The almost-unparalleled increase in prosperity led to Argentina becoming the seventh wealthiest nation in the world by the early 20th century. According to the Maddison Historical Statistics Project, Argentina had the world's highest real GDP per capita in 1895 and 1896, and was consistently in the top ten before at least 1920. Currently they are ranked 61st in the world. Following the Great Depression in the 1930s, Argentina descended into political instability and economic decline that pushed it back into underdevelopment, though it remained among the fifteen richest countries for several decades. Following the death of President Juan Perón in 1974, his widow, Isabel Martínez de Perón, ascended to the presidency. She was overthrown in 1976 by a U.S.-backed coup which installed a right-wing military dictatorship. The military government persecuted and murdered numerous political critics, activists, and leftists in the Dirty War, a period of state terrorism that lasted until the election of Raúl Alfonsín as President in 1983. Several of the junta's leaders were later convicted of their crimes and sentenced to imprisonment.
Argentina is a developing country and ranks 48th on the Human Development Index, the second highest in Latin America after Chile. It is a regional power in Latin America and retains its historic status as a middle power in international affairs. Argentina maintains the second largest economy in South America, the third-largest in Latin America, and is a member of G-15 and G-20. It is also a founding member of the United Nations, World Bank, World Trade Organization, Mercosur, Community of Latin American and Caribbean States and the Organization of Ibero-American States.

View More On Wikipedia.org
  1. M

    Utamu wa kuishinda Argentina, Saudi Arabia yaitangaza kesho kuwa siku ya mapumziko kuwapa nafasi wananchi kusherehekea ushindi!

    Nani kakuambia waarabu hawapendi sana mpira? Mfalme wa Saudi Arabia (King Salman) ameitangaza kesho tarehe 23/11/20-11 kuwa siku ya mapumziko ili watu wapate nafasi ya kufurahia na kusherehekea ushindi wa kuifuinga Argentina yenye Messi kwenye mechi ya Kombe la Dunia! Sipati picha kama...
  2. Zanzibar-ASP

    UTABIRI: Argentina huenda ikatwaa Kombe la Dunia 2022 Qatar

    Mara kwa mara nimekuwa nikijizuia kuandika chochote hapa JF chenye ubashiri kwa woga wa kuonekana ni muongo au mzushi, lakini baadaye ule ubashiri wangu (niliobakia nao akilini) kwa sehemu kubwa umekuwa ukitokea! Na kwa kuwa JF ndio umekuwa mtandao wenye kueleweka au kuaminika zaidi hapa...
  3. Buenos Aires

    Kila la heri Argentina na Morocco

    Kila laheri timu zangu pendwa; ~ Argentina ~ Morocco Usiku mwema.
  4. JanguKamaJangu

    Ashikiliwa akituhumiwa kufanya jaribio la kumuua Makamu Raia wa Argentina

    Mwanaume mmoja anashikiliwa baada ya jaribio la kutaka kumuua Makamu wa Rais wa Argentina, Cristina Fernandez de Kirchner alipokuwa akiwasalimia Wananchi nje ya nyumba yake Jijini Buenos Aires. Mtuhumiwa amenaswa na picha za video zilizokuwa mubashara akiwa na bastola kisha kuielekeza kwa...
  5. sky soldier

    Singida Big Stars yakamilisha usajili wa mchezaji kutoka Argentina

    Tozo tunazochapwa ndizo zinafanya hii kazi ? klabu ya Singida Big stars inayomilikiwa na Waziri wa Fedha, Mwigulu Nchemba imeweka rekodi Tanzania kwa kuwa klabu ya (1) kusajili mchezaji kutoka Argentina Anaitwa Miguel Alejandro Escobar, ana umri wa miaka (27) tu ni kiungo mshambuliaji Bila...
  6. beth

    Argentina: Waziri wa Uchumi ajiuzulu

    Waziri Martin Guzmán amejiuzulu wakati mdororo wa Kiuchumi ukiendelea kushika kasi katika Taifa hilo. Guzmán aliyehudumu tangu 2019 ameashiria kuwepo mgawanyiko ndani ya Serikali Inaripotiwa kuwa, Rais Alberto Fernández anatofautiana na Naibu wake, Cristina Fernandez de Kirchner kuhusu jinsi ya...
  7. Ituzaingo Argentina

    Finalissima, Italy and Argentina, Tomorrow!

    Tarehe 1/june, kutakua na mechi babkubwa, kati ya Argentina ambao ni mabingwa wa bara lao (Amerika ya kusini) wanakutana na Italy ambao pia ni mabingwa wa bara lao (Ulaya) Game litachezwa tarehe 1/june, saa 3:45, usiku.
  8. MTAZAMO

    Papa Francis aliwahi kukataa msaada wa fedha wenye tarakimu 666

    Jaribio la Rais wa Argentina Mauricio Macri kutoa zaidi ya dola milioni moja kwa hisani/msaada iliyoungwa mkono na mmoja wa watu wake maarufu nchini Papa Francis alirudishwa nyuma mapema wiki hii, wakati kiongozi wa Katoliki alipokataa zawadi hiyo inaonekana kwa sababu kiasi kilikuwa na nambari...
  9. Greatest Of All Time

    Copa America 2021 Final: Argentina Vs Brazil

    Usiku wa leo, Katika dimba la Maracana pale Brazil, kutapigwa mchezo wa kukata na shoka kati ya Argentina Vs Brazil kuanzia saa 9:00 Usiku kwa masaa ya Afrika Mashariki. Mara ya mwisho Argentina kutwaa ubingwa huo ni mwaka 1993 wakati Brazil ni bingwa mtetezi. Brazil imeandaa michuano hiyo...
  10. BlackPanther

    Argentina national football team new kit, na muonekano wake kama ulivyo 😍😍😍

    Wadau wenzangu PNC The Icebreaker Joseverest King_Ngwaba makaveli10 kilambimkwidu Chukwu emeka BAK Anigrain The Boss Saint Ivuga dingimtoto Kanungila Karim Van De Beek FORTALEZA tony92 Chaliifrancisco adriz Prince Kunta OKW BOBAN SUNZU DENLSON Waterloo Isanga family n.k...
  11. Da Vinci XV

    Kifo cha kweli cha Adolph Hitler: Hebu tuachane kwanza na ile ya kujiua kwa tindikali au kukimbilia kwake Argentina

    Wasalaam, Kumekuwa na Hadithi nyingi sana Kumuhusu diktekta maarufu , mwamba wa Ujerumani Adolph Hitler, katika hatma yake Wengine wakidai alichomoka kwenda kwa wafadhili wake wa Argentina kustirika Aibu ya kushindwa Vita, wengine Wakadai alijitumbukiza kwenye Tindikali Eti baadala ya Mabaki...
  12. Miss Zomboko

    Argentina yapitisha muswada wa kuhalalisha utoaji wa mimba

    Baraza la seneti la Argentina, limepitisha mswada wa sheria wa kihistoria unaohalalisha uavyaji mimba katika taifa ambalo Kanisa Katoliki limekuwa na ushawishi mkubwa kwa muda mrefu. Argentina imekuwa miongoni mwa kundi dogo la nchi za Amerika Kusini kuchukua hatua hiyo. Muswada huo...
  13. Miss Zomboko

    Picha ya Maradona huenda ikachapishwa kwenye pesa ya Argentina

    Seneta Norma Durango aliwasilisha muswada bungeni ili kumfanya kiungo huyo, ambaye alifariki wiki mbili zilizopita akiwa na umri wa miaka 60, kuwa kwenye noti ya 1,000 sawa na dola ($ 12, £ 9), noti ya juu zaidi. Noti hiyo itakuwa na uso wa Maradona upande mmoja na picha ya moja ya mabao yake...
  14. Nyani Ngabu

    TANZIA Diego Maradona afariki dunia

    Mwamba hatunaye tena. Alikuwa na miaka 60. Masikitiko makubwa. Rais wa Argentina katangaza siku 3 za maombolezo. ----- Wasifu Wa Hayati Maradona ----- Mmoja wa wachezaji waliobarikiwa, Argentina ilijivunia kipaji cha kipekee, madoido ya ajabu akiwa uwanjani, maono na kasi vilivyovutia...
  15. Tz boy 4tino

    Sababu kuu kwa nini timu ya taifa ya Argentina haina mtu mweusi

    Ni swali ambalo wanamichezo mbalimbali huwa wanajiuliza karibu kila siku, kwa nini timu ya taifa ya Argentina 🇦🇷 haina mtu mweusi?. Kwanza kabisa tofauti na imani ya wengi baada ya Afrika bara la Amerika Kusini ndiyo lenye watu weusi wengi zaidi wakikadiriwa kuwa zaidi ya milioni 170 huku...
  16. isajorsergio

    Jamhuri ya Ajentina | República Argentina

    Jamhuri ya Ajentina | Argentine Republic au República Argentina Argentina ni taifa linalopatikana bara la Amerika Kusini likiwa na mipaka baina ya Bolivia, Brazil, Chile, Paraguái, Uruguay na bahari ya Kusini Atlantiki. Taifa hili lenye ukubwa wa Kilomita za mraba 2,766,890 millioni sawa na...
Back
Top Bottom