Naangalia eatv
Madiwani WA Arusha wamesutana kwenye kikaoo wao kwa wao ndio wanakwamisha MAENDELEO ya Arusha
MMOJA WA madiwani amesema unakuta tunakubaliana jambo unasikia nusu ya madiwani wanagoma hizo project ambazo zote n KUSAIDIA Wana Arusha
Najiuliza
Hawa ndio wanataka kuwachagulia...