asali

Sohan asali (Persian: سوهان عسلی‎, romanized: sohān-e asali; from asal "honey") is a kind of Iranian cuisine pastry or candy (sohan). It is made of honey, sugar, saffron, almond or other nuts and cooking oil.

View More On Wikipedia.org
  1. Johnny Sins

    Wapelekana Polisi Baada ya Jamaaa Kulamba Asali Masaa Mawili

    Awuor aliruka na kukimbia katika kituo cha polisi cha Dandora kumshtaki Otieno kwa kukosa kushiba tendo la ndoa Alisemaalimpakulia utamu wa mwili wake kwa masaa mawili baada ya kulipa KSh 4000 lakini hakuwa akishiba Ilibidi amtoe juu na hivyo uzushi ukazuka na Otieno kuharibu vitu nyumbani kwake...
  2. v0il0r

    INAUZWA Asali ya jumla inauzwa

    .
  3. BabaDesi

    Je, asali haipandishi kiwango cha sukari mwilini?

    Salamu Waungwana na Wataalamu wa Baraza letu hili la Afya. ninaomba kujuzwa suala hili ambalo limekuwa likinitatiza sana. Baada ya kupata matatizo ya Kisukari, miongoni mwa Ushauri niliopewa in ule wa kutumia Asali kwenye Chai na Maziwa ninayokunywa badala ya kutumia Sukari. Ninaomba utaalamu...
  4. sky soldier

    Hatimaye Millard Ayo aanza kuweka taarifa kuhusu Diamond kwenye kurasa zake

    Ni kipindi kirefu sana millard ayo aliacha kupost contents za Diamond, Ishu hii iligeuka fursa kwa wenye channel za youtube maana milard alipanua wao wakaingiza, kusema kweli ilitoa fursa kwa youtube channels nyingine kupata subscribers na views wengi kwa habari za wcb Matokeo yake ni channels...
  5. cpb

    Natafuta asali kwa mtu ambaye anauza

    Habari zenu wapendwa natafuta asali kwa mtu mwenye nayo naomba tufamiane tufanye biashara Asali nyuki wakubwa kwa wadogo awe havuni kwa kutumia moto (traditional way ) awe anavuna kwa njia tofauti na moto. Iwe pure asali mimi niko moshi nitafute kwa 0769625978 tufanye biashara nahitaji kiasi...
  6. NCCR Mageuzi

    Uchaguzi 2020 Yeremia Maganja: Tanzania ni nchi yenye maziwa na asali

    Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia chama cha NCCR-Mageuzi ndugu Yeremia Kulwa Maganja, jana Jumatano Septemba 30, 2020, alifanya mkutano kwenye Jimbo la Kigoma Kaskazini viwanja vya Bitale Sokoni kwa lengo la kuomba kura pamoja na kumnadi mgombea Ubunge wa jimbo la Kigoma...
  7. Pascal Mayalla

    Uchaguzi 2020 RC wa Mwanza, John Mongela avunja Mwiko wa Kampeni Kwa Kuongea Ukweli Bayana!, "Tukimpa Mitano Tena, JPM Kuigeuza Tanzania Nchi ya Maziwa na Asali"

    Wanabodi, Kwanza sikiliza hii Mkuu wa Mkoa Mwanza, John Mongela, ni moja wa Ma RC very bold katika kuusema ukweli bayana!, leo amevunja mwiko wa ukimya kwa viongozi wa serikali kutompigia kampeni zozote za kisiasa kwa mgombea yoyote, kwasababu hawa ni viongozi wa kiutendaji, lakini RC John...
  8. My Joash

    Dawa ya kikohozi ya asali

    Wandugu, salaam. Naomba nisaidiwe jinsi ya kuchanganya dawa ya kikohozi ya asali na pia je ikiwa mtu anakunywa hizi dawa za hospitali akachanganya na hiyo ya asali yaweza leta shida? Asanteni kwa ushauri.
  9. Chagu wa Malunde

    Uchaguzi 2020 Wapinzani mnatambua kabisa Rais Magufuli ni mtendaji, mchapa kazi na mtekelezaji mzuri. Bado hamuoni aibu kuchukua fomu za urais!

    Kuna tatizo la kufikiri kwa kutumia akili za kawaida ndani ya vyama vya upinzani hapa Tanzania. Sababu kwa akili za kawaida tu unaweza kupata uthubutu upi wa kupambana na rais kama Magufuli? Chama Cha Mapinduzi kina misingi imara na thabiti ambayo kimekuwa kikiisimamia tokea kuanzishwa kwake...
  10. Rion Jr

    Nauza asali mbichi napatikana Buguruni Sheri

    Nauza asali mbichi napatika Dar es salaam eneo la Buguruni Sheri. Bei yake ni Robo lita 3000 Nusu lita 6000 Lita moja 12000 Lita 5. 55000 Lita 20. 200000 No 0746696878
  11. T

    Kila Mtanzania asali, huenda kukawa na mtikisiko

    Kila mtu asali, sali kuliombea hili Taifa. Ni kama mchezo wa masihara vile ila utaunguza Nyumba. Ni moto mkali sana utakaobadilisha dira na mwelekeo wa taifa hili. Tulishatabiri ila sasa itakuwa kweli. Pray for the nation pray for your family. We as Tanzanian God will remember us. Update...
  12. Tajiri kichaa

    Asali inalipa

    Nauza asali Mbichi Nyuki wakubwa ni asali Nzuri Sana pure kabisa dumu la Lita 20 Bei yake ni 165,000/= karibuni Sana
  13. Mshumaa_Tz

    Uthibitisho rasmi wa CCM kuitawala nchi ya Asali na maziwa daima huu, Hapa

    Baada yakufanya tathmini isiyo rasmi...nimegundua sehemu ...ambayo CCM wamewekeza mtaji wao mkubwa ni vijijini. Hapa CCM wanachofanya sio..Miujiza ni njia kama za Akina late Mugabe , Mseven na wazee wengineo ambao wako ..radhi wafie madarakani lakin ..sio kuwapa kijiti wapinzani. Kwa upande wa...
  14. P

    Nataka kuanzisha Biashara ya kununua na kuuza Asali

    Wadau wa JF, Naomba kujua changamoto za kuanzisha biashara ya kuuza na kununua asali hususan masoko ya ndani na nje ya nchi-vile vile namna ya kupata mikopo ya muzinga ya asali. Sent using Jamii Forums mobile app
  15. BabaDesi

    Nataka kufanya biashara ya asali kutoka Tabora kuleta Dar es Salaam

    Salamu Waungwana wa Ukumbi huu adhimu. Kuna visenti nimevipata mahali natafuta namna ya kuviongeza. Ninafikiria kufanya biashara ya Asali kwa kuanzia niende Tabora na kununua japo dumu mbili za lita ishirini ishirini za Asali mbichi ambapo nimeambiwa bei ya dumu la lita 5 ni kati ya shs Alfu 45...
  16. Maxence Melo

    Tiba za asili: Manufaa ya asali na mdalasini

    Wakuu nimekutana na makala hii nikaona nianzishe mada hapa ili tuweze kujadiliana na wataalam wetu na watufahamishe ukweli wake na uwongo wake au kutupa ushauri zaidi ya huu niuonao katika mada hii. Nimejaribu kwa kadiri ya uwezo wangu kuirekebisha kiswahili chake lakini nahisi hakiko sawa bado...
  17. X-PASTER

    Matumizi na Faida za Asali katika afya ya binadamu

    Habari za muda huu wana-JF! ASALI inafahamika kwa muda mrefu kama chakula muhimu ambacho pia kinasaidia sana katika kupambana na magonjwa mbalimbali na matatizo yatokanayo na uzee. Kwa mujibu wa tafiti mpya za wataalamu wa madawa lishe na vifaa tiba, imedhihirika kwamba, uwezo wa asali...
Back
Top Bottom