TUNAHITAJI NGUVU ILI KUHARIBU.
Mzee Malecela aliwahi kusema, “urais siyo kubeba karai la zege”. Alimaanisha uongozi hauhitaji kutumia misuli na mitulinga. Mara nyingi tunahitaji kutumia nguvu ili kuharibu. Ili kujenga, kupatanisha, kutenda haki, kuridhiana na kutunza amani, tunahitaji HEKIMA...