Habari wanajf
Ndugu zanguni nilipitia mahusiano ambayo yalinipa stress Sana drama zilikuwa haziishi kutokana na hivyo ikanifanya niachane na huyo binti na ikapelekea nijipe break kidogo ya mahusiano. Ilinichukua miezi 6 bila kuwa na mahusiano wala kufanya mapenzi.
Kama binadamu wengine nikawa...
NANI ATAKUWA WA KWANZA KUFA KWENYE FAMILIA YENU NA ATAKAYEFUATIA?
Anaandika, Robert Heriel
Yule Mtibeli.
Andiko hili linaweza kuwa nadharia tuu, inaweza kuwa kweli au kuukaribia ukweli.
Taikon aliandika andiko hili miaka ya nyuma kidogo na hivi leo nitagusia machache.
Nani atakuwa wa kwanza...
Akihojiwa na mtangazaji wa Star Tv bwana Odemba, Makamu Mwenyekiti wa Chadema Mh. Tundu Lissu amesema endapo Rais Samia atamteua kushika nafasi yoyote katika serikali basi atajua kuwa hampendi.
Kwa kifupi Tundu Lissu amesema hawezi kukubali uteuzi wowote ndani ya serikali kwa sababu atakuwa...
Mkeka wa Spika ndio umekamilika ambapo utabiri wa Pascal Mayalla na Genta juu ya Spika ajaye umekamilika.
Sasa nafasi ya Naibu Spika iko wazi.
Nani atatufaa?
Je, ni vema akatokea Zanzibar kwa tiketi ya ACT wazalendo?
Maendeleo hayana vyama.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.