atcl

Air Tanzania is the flag carrier airline of Tanzania.

View More On Wikipedia.org
  1. Mwamuzi wa Tanzania

    Ninasikitika na nitaendelea kusikitika juu ya kitendo cha serikali ya Samia na ile ya Magufuli kununua ndege za biashara huku ikiacha mambo muhimu

    Kitendo cha serikali ya Magufuli kununua ndege za biashara halafu kwa kipindi kifupi biashara ikatoa majibu kuwa ni biashara kichaa lakini serikali yake ikaendelea kuagiza ndege zingine. Alipoingia Samia nilitarajia aidha angeuza ndege zote za biashara au angesitisha mpango wa kuongeza ndege...
  2. ChoiceVariable

    Kamati ya Bunge: Injini za Boeng zaleta hasara ya Bilioni 127 kwa ATCL

    Swali: Je ni lazima kuendelea kununua mandege ya kampuni ya Boeng? --- LICHA ya mafanikio yanayopatikana kwenye Shirika la Ndege Tanzania (ATCL), Kamati ya Bunge ya Miundombinu imesema matatizo ya kiusanifu ya injini za Airbus A220-300 ambazo zimekuwa zinapata hitilafu mara kwa mara...
  3. Waufukweni

    Airbus A220-300 imezalisha hasara ya zaidi ya TSh. Bilioni 127.3 kwa mwaka

    Mbunge wa Viti Maalum, Sylvia Sigula amesema shirika la ndege nchini (ATCL) linakabiliwa na changamoto ambazo zinakwambisha kufikia malengo yake akiitaja changamoto kubwa ni matatizo ya usanifu wa ndege yetu ya Air Bus Airbus A220-300 ambayo imekuwa na hitilafu kwenye Injini zake. Sababu hii...
  4. M24 Headquarters-Kigali

    Kwa usalama wa abiria - Ndege za ATCL zisitishe safari za Congo

    M23 wasije wakatawanya ndege zetu angani huko Congo
  5. Mindyou

    Uteuzi: Rais Samia Ateua Viongozi Wapya ATCL na Chuo cha Kumbukumbu ya Mwalimu Nyerere

    Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, amefanya mabadiliko muhimu katika uongozi wa taasisi mbili nchini kwa kuteua viongozi wapya. Taarifa kutoka Ikulu iliyotolewa tarehe 11 Novemba 2024 na Katibu Mkuu Kiongozi Balozi Dkt. Moses Kusiluka, inaeleza uteuzi huo uliaanza...
  6. K

    Kwanini kusiwe na mshindani wa ATCL?.

    Sote tunajua gharama za ATCL zilivyo ghali na hasa safafri za kutoka Mwanza kwenda Dar na Dar kuja Mwanza na hasa nyakati za asubuhi. Binafsi naona kama wasafiri tunaonewa na inaaonyesha kama ATCL siyo Shirika letu sisi Wananchi. Kwanini kusiwe na mshindani wa ATCL kama ilivyokuwa Fastjet...
  7. isajorsergio

    Usafiri wa Anga Tanzania chini ya ATCL ni ghali kuliko hata usafiri kutoka Bara moja kwenda lingine kwa mataifa mengine

    Usafiri wa anga nchini Tanzania ni usafiri ghali na wa gharama ya juu hadi kufikirisha ukilinganisha na mataifa mengine yakihusisha na safari kutoka bara moja hadi bara jingine. Usafiri wa anga chini ya Air Tanzania kwa kiasi kikubwa ukisaidiana na Precision Air unaonekana kama umewalenga...
  8. Stroke

    Hizi ndege za ATCL zimemkosea nini Lissu? Mbona anaziwazia mabaya tu?

    Leo akizungumza na Waandishi wa Habari , Wakili msomi wa kwenye majukwaa Bwn. Tundu Lisu amesikika akijinasibu kuwa kesi yake dhidi ya Tigo na serikali ya Tanzania kuhusiana na madai ya kuvujishwa kwa data za mawasiliano yake ambayo mpaka sasa madai hayo hayajathibitishwa pasi na shaka yeyote...
  9. Mtanzania Tajiri

    PPP ni lini mtaziendesha kwa Ubia hizi ATCL na TTCL?

    Kama Kuna mashirika ya Umma yanatafuna Kodi za Watanzania basi ni haya mawili kwa sasa. Kafulila ni lini haya mashirika mtayatafutia mwekezaji wa Ubia? Pia soma: Kafulila: Tanzania ina miradi ya Ubia yenye thamani ya Jumla ya Tsh. Trilioni 2.6
  10. ChoiceVariable

    Mwaka 2023, wakenya milioni 12 walisafiri kwa ndege ilhali watanzania milioni 3.8. Je, sisi watanzania shida ni umaskini au tunaogopa kusafiri?

    Kwa mujibu wa takwimu za usafiri zilizotolewa na mamlaka ya anga ya Nchi zote inaonesha wakenya wakitumia usafiri wa ndege mara 3 zaidi ya Watanzania ambapo takribani watu Milioni 12.3 walisafiri kwa Ndege huko Kenya wakiwemo wageni zaidi ya mil. 5 na raia zaidi ya mil. 6. Kwa upande wa...
  11. Ngongo

    ATCL bado hawajajipanga vizuri

    Heshima sana wanajamvi, Last week nilikuwa UAE 🇦🇪 Dubai, nilitumia usafiri wa ATCL kwa mara ya kwanza. Mambo matano ya hovyo niliyashuhudia. Mosi Wahudumu ni wazee na wana miili mikubwa kama Mama Ntilie. Pili ATCL hawana connection nzuri ambayo ipo lakini kwa ujinga, ushamba, upumbavu...
  12. TUKANA UONE

    ATCL na TRC ni suala la Muda tu kurudi tulikotoka

    Mnavyoshangaa maandamano ya Kenya kupigania maslahi ya Taifa lao, Wakenya nao wanawashangaa ambavyo hamuandamani kupigania Maslahi ya Taifa lenu! Hayo Mashirika mawili kuzikwa au kujizika ni suala la Muda tu! ATCL kutoka Dar to Mpanda ni Tsh 700,000/= ambayo kiuhalisia ni sawa na nauli ya DAR...
  13. Samaki Singa

    KERO ATCL imulikwe huenda kuna hujuma, ratiba za safari zao hazieleweki

    Kuna haja ya kuimulika ATCL, Shirika la Ndege la Taifa.Sasa hivi ratiba zake hazieleweki hadi kufikia hatua ya kuwatelekeza wafasiri bila kuwapa sababu za msingi za kufanya hivyo. Usiku huu wa tarehe 17 June. 2024 abiria wa ndege namba TC 103 iliyoondoka Mwanza saa 4.00 usiku "wametelekezwa"...
  14. Roving Journalist

    CAG Kichere: Licha ya kupewa Ruzuku ya Tsh. Bilioni 31.55, ATCL imepata hasara ya Tsh. Bilioni 56.64, ongezeko la 61% kutoka hasara ya Mwaka 2021/22

    Fuatilia yanayojiri wakati Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan akipokea Ripoti ya CAG na TAKUKURU kwa mwaka 2022/23, Ikulu ya Chamwino, Dodoma, leo Machi 28, 2024. https://www.youtube.com/watch?v=6yQwHaO3rEA MKURUGENZI MKUU WA TAASISI YA KUZUIA NA KUPAMBANA NA RUSHWA...
  15. figganigga

    Hii ATCL tuwape Waarabu wa Dubai waiendeshe. Hela za ndege tununue Meli za Uvuvi. Mtanishukuru baadaye

    Wakuu, Kama mnavyojua, ATCL kila mwaka inapata hasara. Mfano mwaka uloisha 2022/2023 imepata hasara ya Bilioni 56. Hii BIlioni 56 ni Madara au Hospital ngapi? Ingesambaza maji Vijiji vingapi? Tuache kung'ang'ania mambo tusiyo yaweza. Haya mambo tuwaachie Kenya. Kenya Airways imedai kupata...
  16. Replica

    ATCL yapanga kuwa na uwanja wake ndani ya Julius Nyerere Airport

    Air Tanzania Company(ATCL) ina mpango kuwa na uwanja wake utakaohudumia ndege zake pekee ndani ya uwanja wa ndege wa Jylius Nyerere. Mipango hiyo ilitangazwa na waziri mkuu, Kassim Majaliwa wakati akipokea ndege mpya aina ya Boeng. Uwezekano ni Serikali itatenga uwanja wa ndege za...
  17. A

    KERO Ratiba ya Ndege za ATCL kutoka Comoros zinabadilishwa kama Daladala

    Nina kero tena kubwa hasa, hizi ndege zetu Shirika la Ndege Tanzania (ATCL) zinazofanya ruti ya kwenda Comoros, yaani ni mfano wa daladala, unakata ticket kwa Shilingi Milioni moja sio mchezo, unaambiwa reporting time Saa 3:00 Asubuhi. Unajikuta ukiwa na hekaheka za kujitayarisha unatumiwa...
  18. K

    PSSSF ziko wapi Billion 14 za Rais Samia alizolipa kwenu kwa ajili ya Wastaafu wa ATCL

    Raisi Samia Suluhu Hassan alilipa billion 14 za mapunjo ya madai ya kustaafu waliokuwa wafanyakazi wa Air Tanzania Company Limited tarehe 27/12/2023 kwenye mfuko wa PSSSF. Hadi muda huu ni asilimia thelathini tu ya Wastaafu ndio wamelipwa wengine wanapigwa dana dana hawalipi. Hawa ni pamoja...
  19. BARD AI

    Injini ya Airbus ya Air Tanzania ilipata hitilafu ikiwa angani Februari 24, 2024

    Abiria 122 wa Shirika la Ndege Tanzania (ATCL), wamenusurika kifo wakiwa safarini baada ya ndege waliokuwa wamepanda kupata hitilafu kwenye moja ya injini zake. Ilikuwa Jumamosi Februari 24, 2024, ndege ya ATCL Airbus A220-300 iliyoruka kutoka Dar es Salaam kwenda Mbeya iliponusurika kushika...
  20. Oya Tusepe

    Sipendezwi na picha halisi ya twiga katika ndege za atcl

    Habari, Bila kupoteza muda niseme tu kwamba binafsi kama mtanzania, nakerwa na kuchukizwa sana na picha halisi ya Twiga iliyopo katika mkia wa ndege katika kila ndege ya Shirika la ndege la Tanzania ATCL. Sipendezwi na uamuzi huo wa kuweka picha halisi ya mnyama (Twiga) isiyokuwa na ubunifu...
Back
Top Bottom