Heshima sana wanajamvi,
Last week nilikuwa UAE 🇦🇪 Dubai, nilitumia usafiri wa ATCL kwa mara ya kwanza.
Mambo matano ya hovyo niliyashuhudia.
Mosi Wahudumu ni wazee na wana miili mikubwa kama Mama Ntilie.
Pili ATCL hawana connection nzuri ambayo ipo lakini kwa ujinga, ushamba, upumbavu...