Unguja. Askari wa Jeshi la Kujenga Uchumi Zanzibar (JKU), Ramadhan Juma Hassan (24) ameuawa, huku mwenzake akijeruhiwa na kundi la watu wasiojulikana walipokuwa kwenye lindo katika sheli ya mafuta.
Akizungumza na Mwananchi Digital kwa njia ya simu, leo Februari 6, 2024, Kaimu Kamanda wa Polisi...
Mkuu wa kitengo cha ujasusi wa kundi la waasi la M23 ameripotiwa kuuawa katika shambulio la ndege isiyo na rubani Mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo.
Maafisa wamefichua kwamba, Kanali Castro Elise Mberabagabo aliuawa jana Jumanne katika shambulio la vikosi vya jeshi la Congo kwenye...
Huyu alikua amesimamia masuala ya kiteknolojia, mashambulizi ya drones.
=========
A senior Hezbollah commander responsible for dozens of explosive drone attacks on northern Israel in recent months, including an attack Tuesday morning on an Israel Defense Forces base, was killed later Tuesday...
Jamaa sasa hivi anafaidi mabikira....
The IDF says it has eliminated the company commander of Hamas’s elite Nukhba force in central Gaza’s Deir al Balah in an overnight airstrike.
It says Adel Msammah commanded the Nukhba terrorists who carried out the attack on Kissufim on October 7, and...
Mkuu wa kitengo Cha kutengeneza Silaha, ikiwemo makombora Bwana Mahsein Abu Zina ameuawa na majeshi ya IDF mjini Gaza. Abu Zina ndiye kiongozi aliyekuwa akiaminiwa katika kutengeneza makombora na Silaha zingine.
Kwa Sasa kiongozi wa Hamas Gaza, Yahya Sinwar amezingirwa na majeshi ya IDF na hii...
Poleni mashabiki wa HAMAS humu, kamanda kawahishwa kwa mabikira, sijui kama yeye atapewa zaidi ya 72 au kwa vile yeye kamanda anaweza akapewa 200 hivi, dah raha sana nyie watu, ila mabikira wana usumbufu haswa hawa kila wakitolewa ubikira unarudi.
======
IDF says it has eliminated the...
Kama kawaida HAMAS baada ya kushambulia Israel, walikwenda kujificha ndani ya akina mama na watoto, sasa huyu mkuu wao aliingia na kutulia ndani ya wakimbizi, Israel walifyatua tu humo humo na kumuua Ibrahim Biari.
Wananchi wapenda amani waliagizwa waondoke ili HAMAS wabaki wenyewe na...
Abdifatah Moalim Nur maarufu kwa jina la Qeys aliyekuwa Mkurugenzi wa Somali TV amefariki kwa shambulio la bomu wakati alipokuwa kwenye mgahawa katika Mji Mkuu, Mogadishu.
Anakuwa Mwanahabari wa kwanza kuuawa ndani ya Mwaka 2023 Nchini Somalia.
Kundi la Wanamgambo wa Al-Shabab limekiri...
Gaza inaendelea kusambaratishwa huku HAMAS wakiliwa, kuna huyu Mohammed Abu Shamala kawahishwa kule kwa mabikira.....
The Israeli military has reported that it has attacked several operative HQs from which Hamas had organised the terrorist invasion of Israeli territory, and killed a...
Mkuu pamoja na wapiganaji wake wamewahishwa wakapewe ile dhawabu ya mabikira, ila sasa huyu kwa vile alikua mkuu sijui kama naye anapewa idadi sawa ya hao mabikira 72 au yeye atafikishiwa hadi 200 hivi....
Sijawahi kukaa nikaelewa kwanini mazombi wa kidini huwa obsessed na mabikira, kiukweli...
Hizi dini bana, kwa waislamu ukikamatwa unakula nguruwe ni hatari, kwa wahindu ukikamatwa unakula ng'ombe ni hatari. Watu wanaishi kwa kupangiana cha kukula kwa maagizo ya miungu wao ambaye kila mmoja hamtambui 'mungu' wa mwenzake.
Police in India have arrested three men in eastern Bihar state...
Watu wanafia kwenye nchi ya watu, ukiwauliza wanachopigania, hawana cha kujibu.....
PHOTO: DKULKO/TELEGRAM
Yevgeny Pisarenko, the commander of Akhmat, a Chechen armed formation that is fighting on the Russian side, has been killed in combat in Donbas.
Source: Russian Kremlin-aligned media...
Jeshi la Polisi Mkoa wa Kilimanjaro linamshikilia mwanaume mmoja mkazi wa kijiji cha Kwalakamu wilayani Rombo kwa madai ya kuhusika na mauaji ya fundi nguo, mkazi wa Kijiji cha Ngaseni, Anord Tarimo (30).
Agosti 29, mwaka huu fundi huyo, anadaiwa kucharangwa mapanga sehemu mbalimbali za mwili...
Wananchi wenye hasira katika Kata ya Isanga, jijini Mbeya, wanadaiwa kumuua kwa kumchoma moto mtu ambaye hajafahamika jina lake, kwa tuhuma za kumlawili mtoto wa miaka mitano na kusababisha kifo chake.
Imeelezwa tukio hilo limetokea Juzi, Jumatatu Agosti 21, 2023 saa 1:45 usiku na kwamba...
Fernando Villavicencio ameshambuliwa wakati akitoka kwenye mkutano wa kampeni wa uchaguzi ujao wa Rais katika Mji wa Kaskazini wa Quito.
Mwanasiasa huyo ambaye pia ni Mbunge baada ya kuhitimisha kampeni akiwa anelekea kupanda gari ndipo Mwanaume akajitokeza na kumpiga risasi tatu kichwani...
Yaani mpaka unamfikia kumuua kamanda utakua umefagia wanajeshi kama senene...jameni Urusi nani atawaokoa...
Enzi za kunyang'anyana ardhi ziliisha, hatupo kwenye zama za kale ambapo mvamizi alikua anavamia na kujimegea, leo hii ramani zilishachorwa na kila mtu anaijua nchi yake na mipaka yake...
MKAZI wa Kijiji Cha Merya Tarafa ya Ilongero wilayani Singida, Innocent Dube (49), ameuawa kwa kuchomwa kisu mgongoni baada ya kukutwa akifanya ngono na mke wa mtu shambani.
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Singida, Stella Mutabihirwa, amethibitisha kutokea kwa tukio hilo wakati akizungumza na...
Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam limetangaza kuwa linachunguza tukio la kifo cha mtu mmoja aliyefahamika kwa jina la Felix Josephat Mgeni (47) anayedaiwa kuuawa na mwili wake kukutwa ndani ya gari ukiwa na baadhi ya vitu vingine vya jinsia ya kike.
Akizungumza leo SACP Jumanne...
Haya makombora ya "Storm Shadow" ni habari nyingine.
A high-ranking Russian general has been killed in Ukraine’s Zaporizhzhia in an airstrike carried out using British-supplied Storm Shadow missiles, according to multiple reports from both sides.
Lieutenant General Oleg Tsokov was among the...
Chama cha Azimio La Umoja One Kenya Coalition Party kimetangaza kuwa kitaendelea na maandamano ya kupinga serikali nchini kote Jumatano wiki ijayo, kikiahidi kuzidisha maonyesho kutokana na kile kilichoshuhudiwa Ijumaa wakati wa Siku ya Saba Saba.
Viongozi hao washirika wa upinzani wakiongozwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.