USHUHUDA BINAFSI: AWAMU YA TANO NILIISHI KWA HOFU.
Kwa Mkono wa, Robert Heriel.
Nikiri wazi kuwa, licha ya kuwa mimi sio mwoga lakini siwezi ongopa kuwa sina hofu au wasiwasi. Hakuna binadamu asiye na mashaka, hofu na wasiwasi, labda kutofautiana kiwango cha hayo.
Moja ya mambo ninayoyapenda...
Ukiacha yule Marehemu Mpendwa wetu Mh. Mbunge Bilago aliyefariki labda na wale wa upinzani kidogo - Mawaziri na hata wabunge waliokuwepo katika awamu ya Mwendazake walikuwa wakatili sana. Ndiyo wengi wamepata sababu ya kumsema mwendazake kama ndiyo chanzo cha kila kitu. Mimi ninakataa - wabunge...
Ukiacha yule Marehemu Mpendwa wetu Mh. Mbunge Bilago aliyefariki labda na wale wa upinzani kidogo - Mawaziri na hata wabunge waliokuwepo katika awamu ya Mwendazake walikuwa wakatili sana. Ndiyo wengi wamepata sababu ya kumsema mwendazake kama ndiyo chanzo cha kila kitu. Mimi ninakataa - wabunge...
Huyu kijana amebeba kilio Cha familia nyingi nchini, amewatesa watu kwakuwabambikia kesi huku akikusanya pesa za watu kwa mgongo wa uhujumu uchumi.
Ofisi yake imeoza kwa kukosa hofu ya Mungu nakujitwalia roho ya kikatili, niombe ifike mahali watu wa aina hii wasipewe nafasi nyeti hivi. Haki...
Habari wadau,
Msema kweli ni mpenzi wa Mungu, licha ya mazuri ya awamu ya tano lakini kosa kubwa liliofanyika ktk awamu hiyo ni kuwachelewesha maisha vijana.
Vijana wengi hususa graduates walikuwa wanaishi kama mashetani hakukuwa na ajira wala viwanda vipya vilivyoanzishwa na hata miradi...
Mabibi na mabwana inatia moyo kuwa tuna mwanzo mpya. Katika awamu ya 6:
1. Urasimu uliokuwapo sasa unapigwa vita.
2. Upigaji mkubwa wa pesa uliokuwapo unapigwa vita.
3. Ugonjwa wa Corona uliopo sasa unakabidhiwa tume ya wataalamu waliobobea kwa ajili ya kushauri nini cha kufanya.
4. Tunatambua...
Ibara ya 54(2) imetanabaisha wazi kuwa baraza la mawaziri ndio kitakuwa chombo kikuu cha kutoa ushauri kwa rais ili aweze kutekeleza majukumu yake.
Hata kabla ya kumaliza maombolezo tangu afariki hayati Dkt. John Pombe Magufuli tunasikia kauli za kushangaza toka kwa baadhi ya waliokuwa mawaziri...
1.Mkuu wa wilaya ya Tabora-Erick Kitwala
2. Mkuu wa wilaya ya Ilala- Mwilabuzu Ndatwa.
3. Mkuu wa wilaya Chunya- Sgt Simon Mayeka.
4.Naibu Waziri wizara ya ardhi na maendeleo ya makazi- Angelina Mabula.
5.Mkurugenzi wa Tcra- James Killaba
6.Mkurugenzi wa Pssf- Hosea Kashimba.
Mdau na wewe...
Mama Samia Suluhu Hassan ameshtuka mapema. Ninamsifu sana. Ukweli kabisa Msela Jafo hakuwa na impact kabisa katika awamu ya tano. Aliyafanya yale ambayo alifikiri yanampatanisha Rais wa Awamu ya Tano na Serikali na wananchi. Ona Msela huyu alivyoharibu kabisa Uchaguzi wa Serikali za Mitaa Mwaka...
Nimejikuta natafakari kuhusu ukubwa wa ulinzi wa Rais wa Awamu ya Tano na gharama za ulinzi huo nikihusianisha na sera yake ya kudhibiti safari za nje nabaini kwamba, watangulizi wake walikuwa na msafara wa watu wachache ila walikuwa pia na safari za nje na ukilonganisha hizi gharama za ndani na...
Kiutawala hapa Tanzania awamu za uongozi humaanisha muda anaokaa madarakani Rais. JPM awamu yake imekuwa ya miaka kama mitano na ushe hivi. Mwinyi, Mkpa na Kikwete awamu zao zilikuwa ni miaka kumi kumi hivi.
Nyerere awamu yake ilichukua zaidi ya miaka 20. Mama Samia awamu yake inaweza ikawa ya...
Leo asubuhi nememsikia mtangazaji mmoja wa East Africa Radio (kwenye kipindi cha 12:00- 04:00) akisema Mhe. Rais Mama Samia Suluhu Hassan ni Rais wa awamu ya sita. Yawezekana wengi wakawa na mtazamo huo, au wengi wakafuata mtazamo huo baada ya kumsikia mtangazaji huyo. Je, kwa mujibu wa katiba...
Mabibi na mabwana na hasa mlio waungwana. Ufuatao ni upotoshaji wa wazi. Tuukatae upotoshaji huu tunapoendelea kuchukua tahadhari:
1. Taarifa sahihi kuhusiana na ugonjwa huu zinaleta taharuki.
Ukweli ni kuwa taarifa sahihi zinatuweka katika hali muafaka ya kukabiliana na tatizo lililopo.
2...
Mbona kila kukicha hapa bongo yanaibuka mapya? Maana katika kupita huku na kule nimekutana na Mbunge mmoja akiomba kama kuna uwezekano basi katiba ya JMT ibadilishwe ili kuwe na kipengele cha kuhakikisha miradi mkakati inayotekelezwa awamu hii ya tano italindwa mpaka ikamilike hata kama rais...
Unachambua mchele ukitegemea kuona mawe kwa kutumia taa ya kandili ujue unaumiza macho. Maana ina mwanga hafifu tofauti na stima.
Je, ni rahisi kuibananisha na kisha kuihukumu Serikali inayojiwajibisha yenyewe? Hapana, maana serikali makini inajisimamia inavyotakiwa.
Huwezi kusikia ufisadi wa...
Kwa ujumla sitaki kujikita zaidi kuelezea juu ya namna gani utendaji kazi mzuri wa serikali ya awamu ya tano umeweza kuleta mabadiliko katika ukusanyaji mapato, kudhibiti mianya ya rushwa na kurejesha nidhamu kwa watumishi wa umma.
Najua kila mtu anajua kuwa watu waligeuka michwa ya kutafuna...
Ndugu zangu wana JF, majibu ya PM Kassim Majaliwa yanashangaza sana na kutia ukakasi. Majibu aliyotoa kwa mbunge wa Konde kuwa kuongeza mishahara huongez gharama za maisha ni fedheha kubwa kwa watumishi wa umma.
Hivi PM Majaliwa tokea umekuwa waziri mkuu wa Tanzania unataka kusema kuwa gharama...
Jamani wana JF palipo na ukweli lazima usemwe.
Huko nyuma kuna mambo yaliachwa lakini hayakuwa na tija kwa umma wa watanzania.
Hasa haya mambo yalishamiri sana awamu ya nne ya Jakaya Kikwete.
Yaani miaka kumi ya utawala wa Jakaya ilikuwa ni siasa zisizo na tija kwa taifa na raia wake...
Awamu hii ya uongozi wa taifa hakika itatuletea maendeleo kama taifa. Kale kamsemo ka kiswahili ka kulinda uzembe na ufisadi eti 'kosa la kwanza sio kosa' kameenda likizo au katakua kamekufa.
Kamsemo kanatumikaga vibaya na sisi waswahili eti kila mwizi na fisadi mtumishi wa umma aibe mara moja...
Habari ndugu zangu,
Sote tunafahamu ukubwa wa tatizo la upatikanaji wa ajira nchini kwa miaka ya hivi karibuni. Kwa kipindi tulichopo, hakuna tofauti baina ya msomi wa masters na aliyeishia darasa la pili, maana wote wanakimbilia kazi primitive zisizohitaji ujuzi wowote wa kielimu (mfano...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.