aziz

Aziz (Arabic: عزيز‎, ʿazīz, [ʕaziːz]) was originally a Northwest Semitic Phoenician-Aramaic-Hebrew-Arabic word, but is now much more commonly (but not exclusively) known as a Central Semitic Arabic male name. The feminine form of both the adjective and the given name is Aziza.
Aziz in Arabic is derived from the root ʕ-z-z with a meaning of "strong, powerful" and the adjective has acquired its meaning of "dear, darling, precious". It is a cognate of Hebrew oz עוז meaning "might, strength, power". The Semitic word refers to the "power and glory" of deities and kings. In the Latinised form "Azizus" it is attested as the name of one of the Arab Priest-Kings who ruled Emesa (the modern Homs, Syria) as clients of the Roman Empire.
In ancient Levantine mythology, Azizos or Aziz is the Palmyrene Arab god of the morning star.
The Arabian goddess Al-Uzza, also related to the planet Venus, is named from the same root ʕ-z-z.
Al-Aziz is one of the names of God in Islam. The "Al" makes the word "Aziz" proper. "Aziz" without "Al" is used as a royal title borne by the high nobles of Egypt, being a title borne by the prophet Joseph in the Quranic Surah-e-Yusuf, and also by the Biblical Potiphar, referred to in the Quran as Aziz.
It is used in existing Semitic languages such as Arabic, Assyrian Neo Aramaic, Mandic, Hebrew, and also in non-Semitic languages like Turkish, Kurdish, Armenian, Azerbaijani, Persian, Urdu, Pashtu, Dari, Kazakh, Kyrgyz, Turkmen, Uzbek, Uyghur, Balochi, Bengali, Somali, Indonesian, and Malaysian.
Aziz is a common masculine given name, especially in the Muslim world but it has also continued to be used by non-Muslim peoples in the Middle East, e.g. Assyrians, and Mandeans.

View More On Wikipedia.org
  1. M

    Kumbe Aziz K muislam?

    Nimemuona ktk video moja akiwa msikitini siku ya ijumaa. Allah amjaalie adumu ktk ibada. Waliokaribu nae wamshsuri asikubali tena kumvisha jezi yule dada siku ya Yanga Day. Dini yetu inakataza mambo yale hasa zaidi hadhara ktk jamii
  2. Balqior

    TBT: Reginald Mengi na Rostam Aziz walikuwa na ugomvi gani mkubwa kiasi cha wao kuchukiana kiasi hiki?

    Habarini, Wahenga mtakumbuka Reginald Mengi na Rostam aziz waligombana hadi kufikia hatua ya kuitana mafisadi papa kwenye vyombo vya habari Kwenye msiba wa Reginald Mengi nafikiri Rostam Aziz hakwenda Kilichonishangaza zaidi leo nimeona interview ya Rostam Aziz YouTube kwenye Millard ayo...
  3. Lyetu

    Kama inawezekana Aziz ki na Dube wavunjiwe mikataba wakiwa hapohapo uwanjani

    Tumemlea sana Aziz ki, hachezi mpira muda wote anatoa maelekezo na anakosa nafasi za wazi. Dube ni takataka ambayo haistahili kabisa kuwepo Yanga muda wowote. Kama inawezekana wavunjiwe mikataba Leo hii. Kocha tumpe muda amejaribu kadri ya uwezo wake mdogo ila ameangushwa na ujinga wa Aziz ki...
  4. GENTAMYCINE

    Aliyeiba Simu mbili za Aziz K jana kwa Mkapa alipokuwa Akihojiwa na Waandishi wa Habari baada ya Ndiki Kumalizika ameshazirudisha au?

    Ila Wabongo balaa dadeki zenu yaani hamna hata cha huyu ni Mgeni au Mwenyeji akijichanganya tu mnamuumiza.
  5. Vichekesho

    Kwanini kampeni ya kutumia nishati safi viongozi wa serikali wanagawa mitungi ya Taifa Gas tu ambayo ni Rostam Aziz?

    Kwenye hii kampeni ya kutumia nishati safi viongozi wa serikali wanagawa mitungi ya Taifa Gas tu (kampuni ya Rostam Azizi). Je kwanini hawagawi mitungi ya O-gas, Manjis, Oryx, Lake nk? Kwanini Taifa Gas tu? Au ndiyo kulipa fadhila za mchango aliotoa mfanyabiashara huyo kuchangia mradi wa Royal...
  6. Komeo Lachuma

    Dube na Aziz Ki kuanza kutupia magoli. Wazee wameshamwelekeza Dube na kumtengeneza

    Wanayanga sasa andaeni furaha... Na kububujikwa na machozi ya furaha. Mtafurahi nyie.... We acheni tu. Muda huu tunamalizia kumtengeneza Dube na mwenzie Aziz Ki. Kisha na Chama naye kesho zamu yake na mwenzie Baleke. Hawa jamaa watatupia magoli mpaka amshangae. Lazima wafungaji bora wawili...
  7. Allen Kilewella

    Kwa tabia hizi alizoonesha Aziz Ki kweli yeye bado ni mchezaji Professional?

    Wakati mwingine nawaza kuwa OKW BOBAN SUNZU alikuwa sahihi kusema kiuhasibu Aziz Ki ni hasara Kwa Yanga na siyo faida. Lakini hapa chini naweka Clip mbili kuonesha kuwa Aziz Ki hana sifa za kuitwa mchezaji Profesheno. Kwenye hii Clip ya kwanza inaonekana Ki anaongea na kocha msaidizi wa...
  8. mdukuzi

    Hamisa Mobeto ana kesi ya kujibu kushuka kiwango cha Aziz Ki, Chama ni mzee, ana mechi zake, Dube anazuzuliwa na pesa alizolipwa GSM

    Kipindi niko chuo boom likiingia hakuna kusoma mpaka liishe au itangazwe test,nitasomaje na accont ina milioni moja?milioni moja ndio,kwa miaka ile kwa mwanafunzi ni hela nyingi sana,kipato cha wanafunzi wa chuo kinazidi walinzi na vibarua wa viwandani. Huyo ndio Prince Dube,moaka hela za GSM...
  9. jMali

    Jina la Azizi lilivyo na “bahati” Tanzania

    “Hakuna mwekezaji atawekeza kwenye nchi ambayo kesi ikipelekwa hapo Kisutu kiongozi yoyote anaweza kupiga simu akaielekeza mahakama nini cha kufanya.” –Rostam Abdulrasul Aziz, June 26 2023. Angalizo: Bahati hii haihusishi Maazizi wote, sio wewe Aziz Ali wa Mtongani wala Aziz ki! Usijichanganye...
  10. Vichekesho

    Aziz Ki Ameshamjulia Camara wa Simba

    Leo akimwiga Diara kupanda na timu atalia sana.
  11. JanguKamaJangu

    Mahakama yakataa maombi ya Serikali, Dhamana ya Boni Yai sasa kutolewa Oktoba 7, 2024

    Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu imetupilia mbali maombi ya Serikali kuwasilisha kiapo cha ziada katika kiapo cha awali cha kupinga dhamana ya aliyewahi kuwa Meya wa Kinondoni na Ubungo, Boniface Jacob, maarufu kama Boni Yai. Jacob, maarufu kama Boni Yai, mkazi wa Mbezi Msakuzi, Dar es Salaam...
  12. S

    SERIKALI ITUPIE JICHO WIZARA TATU:-KILIMO, MADINI NA NISHATI ROSTAM AZIZ YUMO.

    Umakini unahitajika wizara Tatu, upigaji wa Rostam Aziz na kutumia picha alizopiga na Rais kutisha wawekezaji wazawa. (1). Wizara ya Kilimo, wizara hii sitashangaa na sikushangaa sakata la sukari na makarate ya kugawa vibali vya kuagiza Sukari na kampuni za simu, stationery nk Waziri wa kilimo...
  13. S

    Swala Solution na Barrick Corporation kulikoni? Kampuni ya Twiga iko wapi?

    Kulikoni? Swala Solution, Barrick Gold Corporation na Rostam Aziz huko Kwenye Migodi Yetu? Kwa nini Kuna asili ya watu Fulani wenye asili Fulani ndo wanapewa Nguvu na Barrick Gold Kwenye Migodi?kwa Nini wanatamba kuwa Rostam Aziz hafanywi Chochote na watachukua Kazi zoote za wazawa migodini...
  14. U

    UTEUZI Jenerali Aziz ateuliwa kuwa Waziri wa ulinzi Iran, rubani wa ndege za kijeshi F-14 Tomcat, aliongoza kikosi cha anga miaka 4

    Wadau hamjamboni nyote? Serikali ya Kiislamu ya Iran imeamua kujipanga kisawasawa Imefanya uteuzi wa kihistoria Jenerali Aziz amekabidhiwa rasmi kuongoza wizara ya ulinzi ya nchini humo. Ni rubani mzoefu mwenye weledi mkubwa na aliongoza kikosi cha anga cha Jeshi la Iran Kwa miaka minne...
  15. Pdidy

    Aziz Ki amewahadaa sana viongozi wa Simba, hawatamsahau kamwe

    Hahahaa sakata la Aziz Ki bora limeisha. Ukwelii Aziz alishaingiziwa mzigo akiwa huko kwao. Kilichoendelea ni kuwachezesha Simba viongozi kadhaa wamempigia wakaimba naye weee akawaahidi akitua atakuja kumalizana nao. Masikini Ahmed Ally akakimbilia mtandaoni hajasaini unajua Azizi mtu makini...
  16. SAYVILLE

    Hamisa Mobeto ni kiini macho tu, Aziz Ki anafidiwa pesa aliyoikataa kwingine

    Inahitaji jicho la kiinteligensia kujua baadhi ya mambo yanayoendelea nchi hii. Watu wameshangaa inakuwaje Aziz Ki akatae zaidi ya milioni 90 kwa mwezi, tofauti labda ya zaidi ya milioni 60 ya pesa anayolipwa sasa. Likatengenezwa picha eti mlimbwende Hamisa Mobeto ndiyo kama kamshawishi abaki...
  17. figganigga

    Yanga kupata saini ya Aziz Ki, wamshukuru Mwanadada Hamisa Hassan Mobetto

    Kwa wasio fahamu Msukuma Hamisa Hassan Mobetto, alizaliwa alizaliwa Mwanza, Tanzania, Desemba 10, 1994. Ni mwimbaji, mwigizaji, mfanyabiashara, na mwanamitindo Kumbuka Hamisa ni rafiki Mkubwa wa Aziz Ki japo yanga wanadai ni shemeji yao, mimi sina hizo taarifa. Ninachojua Hamisa ndo alipiga...
  18. GENTAMYCINE

    Waganga wa Tanzania Kiboko yaani Mtu 'anarogwa' hadi anaacha Mshahara wa Tsh Milioni 90 kwa Mwezi South Afrika na Kuubali wa Tsh Milioni 30 za Ilala

    Na cha Kushangaza pia za South Afrika anapewa kila Mwezi, ila za Ilala anapewa kwa Awamu Tano na hata Kukopwa.
  19. Mkalukungone mwamba

    Aziz Ki atua Dar kimafia kumalizana na Yanga, leo kujulikana mbivu na mbichi

    Aziz Ki, amewasili nchini alfajiri ya leo Julai 10, 2024 akitokea mapumzikoni kwao Burkina Faso kwa Ndege ya Shirika la Ndege la Ethiopia lakini akatoka kimkakati uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere terminal 3.
  20. mdukuzi

    Feisal alimkimbia Aziz Ki, Aziz ki anamkimbia Chama

    Fahari wawili hawakai zizi moja, kipindi Feisal yuko Yanga kuna watu walimuona Aziz ki ni wa kawaida sana, ila kiukweli Feisal alikuwa akipambana mno, waliishia kutupiana majeen tu, Feisal akaona akimbie kuepusha shari, Sasa Aziz ki anaogopa kufunikwa na kivuli cha Chama, asije tena kuonekana wa...
Back
Top Bottom