aziz

Aziz (Arabic: عزيز‎, ʿazīz, [ʕaziːz]) was originally a Northwest Semitic Phoenician-Aramaic-Hebrew-Arabic word, but is now much more commonly (but not exclusively) known as a Central Semitic Arabic male name. The feminine form of both the adjective and the given name is Aziza.
Aziz in Arabic is derived from the root ʕ-z-z with a meaning of "strong, powerful" and the adjective has acquired its meaning of "dear, darling, precious". It is a cognate of Hebrew oz עוז meaning "might, strength, power". The Semitic word refers to the "power and glory" of deities and kings. In the Latinised form "Azizus" it is attested as the name of one of the Arab Priest-Kings who ruled Emesa (the modern Homs, Syria) as clients of the Roman Empire.
In ancient Levantine mythology, Azizos or Aziz is the Palmyrene Arab god of the morning star.
The Arabian goddess Al-Uzza, also related to the planet Venus, is named from the same root ʕ-z-z.
Al-Aziz is one of the names of God in Islam. The "Al" makes the word "Aziz" proper. "Aziz" without "Al" is used as a royal title borne by the high nobles of Egypt, being a title borne by the prophet Joseph in the Quranic Surah-e-Yusuf, and also by the Biblical Potiphar, referred to in the Quran as Aziz.
It is used in existing Semitic languages such as Arabic, Assyrian Neo Aramaic, Mandic, Hebrew, and also in non-Semitic languages like Turkish, Kurdish, Armenian, Azerbaijani, Persian, Urdu, Pashtu, Dari, Kazakh, Kyrgyz, Turkmen, Uzbek, Uyghur, Balochi, Bengali, Somali, Indonesian, and Malaysian.
Aziz is a common masculine given name, especially in the Muslim world but it has also continued to be used by non-Muslim peoples in the Middle East, e.g. Assyrians, and Mandeans.

View More On Wikipedia.org
  1. Mhafidhina07

    Mpira ni mchezo wa hisia,leo nimemuona Aziz KI kwenye video chozi limenitoka.

    wadau lengo nimejishangaa nimejikuta namwaga chozi baada ya kumuona azizi Ki alipokuwa anatoka uwanjani.
  2. Chance ndoto

    Nimegundua idadi kubwa ya Watanzania au Africa tumetumia camera moja kuangalia shuti la Ki Aziz

    Nawaeleza lile sio goli, nimeshangaa kuona viongozi wengi wa Tanzania wakishupaza yanga waandikie barua CAF, Kwaajili ya shuti la Aziz ki katika mechi kati ya yanga na mamelodi. Kwenye angle ambayo nyie wote na mimi lile tunaliona kama limedundia ndani. Ule mpira umedundia kwenye goal line. Na...
  3. MAWEED

    Tuseme Ukweli kuhusu Stephanie Aziz Ki

    Stephanie Aziz Ki ni mchezaji mzuri sana na mwenye uwezo mkubwa na umuhimu wake ni mkubwa ndani ya yanga sc, lakini hakuna kizuri kisichokuwa na kasoro; Aziz Ki ana ubinafsi flani hivi uwanjani wakati akiwa na mpira. Aziz Ki ni mzito sana kutoa pass sahihi kwa wakati sahihi kwa wenzie. Aziz...
  4. M

    Uongozi wa Yanga fuatilieni alichoongea Aziz Kii na Kocha wa Mamelodi

    Nakumbuka baada ya game yao pale kwa Mkapa walipokuwa wanaongea, body language ilikuwa inaonyesha Kacha wa Mamelod kama anamsihi na kumsisitizia jambo fulani halafu Aziz Kii akaonesha kukubali kwa msisitizo wa kitikisa kichwa juu chini. Pia lile kumbatio la Kocha wa Mamelod na Scudu nalo...
  5. Teko Modise

    Gamondi: Sijawaona Aziz Ki na Diarra kambini mpaka sasa

    Stephen Aziz Ki na Djigui Diarra bado sijawaona kambini na walipaswa kuwa wamerejea kutoka kwenye majukumu yao ya timu zao za taifa” - Kocha Miguel Gamondi, Yanga Afrika. Yapi maoni yako??
  6. LIKUD

    Azizi Ki anavyomu-expose Mayele

    Aziz Ki sio striker ni kiungo ana goli kumi na tatu hadi muda huu na ligi ndo kwanza bado ina mechi za kutosha. Kama ataendelea na consistency hii ( of which I blv he will) anaweza kumaliza na goli zaidi ya 20. Mayele misimu yake yote miwili hakuwahi kufikisha goli 20 aliishia goli kumi na...
  7. Hidden Diamond

    Battle: Pacome Zouzoua vs Aziz Ki nani ni engine ya Yanga?

    Japokuwa wote ni wachezaji wa Yanga na wote wanafanya kazi nzuri katika klabu yao ila wewe kama shabiki wa Yanga unaona nani asipokuwa uwanjani timu ina struggle sana kupata matokeo. Karibuni kwa mawazo wana JF.
  8. Pang Fung Mi

    Je, anguko la Rostam Aziz na wenzake kupitia agenda feki ya kujivua gamba mmesahau?

    Watanzania acheni kuwa vichwa panzi, Chini ya Kikwete CCM ilikuja na agenda ya kujivua Gamba, machawa wakuu wa kupayuka kauli mbiu hio walikuwa Ndugu Kinana na Nape. Miongoni mwa waliofedheheshwa na kuabishwa ni Rostam Aziz, Lowasa na wengineo. Msisahau waliosalitiwa nchi hii ni wengi...
  9. Mjanja M1

    Video: Rostam Aziz awasili Monduli kumuaga Lowassa

    Mfanyabishara, mwanasiasa nguli na swahiba wa karibu wa aliyekuwa Waziri Mkuu, Edward Lowassa amewasili nyumbani kwa kiongozi huyo Ngarash wilayani Monduli mkoani Arusha kushiriki shughuli za kuaga mwili wa Lowassa zinazoendelea nyumbani kwake leo Ijumaa.
  10. D

    AZIZ KI kaongeza Mkataba yanga hadi 2025

    aziz ki, has extended his contract with tanzania giant, young Africans till 2025. this has been reported from people operating within young Africans sc, more info, coming soon. My comment : Aziz Ki ni muhimu ila ni mchezaji wa ovyo sana.. wastefull player. sema replacement ni nani?
  11. R

    Kwanini CHADEMA wameamua kumpuuza Makonda?

    Chadema wameamua kumpuuza Makonda. Hakuna kiongozi wa CDM anayeangaika na maelekezo yake. Matokeo yake hata mazungumzo yake na vyombo vya habari hayana comments wala hakuna aliyeyapa attention . Je hii ni style mpya yakutoshirikiana naye wala kumpa mada zakupambana nazo? Tumemsikia leo...
  12. LIKUD

    Kwa kasi ya Aziz Ki muda si mrefu Mayele anaenda kuwa exposed kama Tyson aliyokuwa exposed na Evander mwaka 96

    Kabla hajakutana na Evander kila mtu alikuwa anasema Tyson is undisputable. Siku aliyo kutana na Evander akawa ndio ingawa siku yake ya kuwa exposed to the world kwamba , kumbe Tyson ni bondia wa kawaida tu. Usiku you instead ya Tyson kuwa bully kama alivyo zoea yeye ndio akawa bullied...
  13. William Mshumbusi

    Sema Ustaarabu umezidi mno ila Mechi ya Yanga na Al Ahly Aziz Ki anakesi ya kujibu

    Kilichotokea kwake kwa wanamichezo ni rahisi tu kusema hakuwa mchezoni. Ila kabla ya Gemu Aziz ki alionekana akiongea na wachezaji wa Al Ahly weusi na kufurahi mno. Wakagonga wakaingia uwanjani. Wanamichezo tunasema fair play. Kwenye gemu sasa. Hakuonesha madhara kabisa. Hata sehemu za...
  14. M

    Kwanini Mudathir na Feitoto wametozwa tu Faini, ila kwa akina Chama na Aziz K walifungiwa Mechi 3 na Faini juu kwa Kosa la Kufanana?

    Njooni na Utetezi wote juu ya hili na hawa ila tulio karibu na Wachezaji wa Vilabu vikubwa Viwili hivi, Viongozi wao na hasa Wataalam ( Waganga Wao wa Kienyeji' ) tunajua kuwa kwa hawa Wachezaji Wawili Feisal Salum 'Feitoto' na Mudathir Yahya yuko Mmoja ambaye Nyota yake ndiyo kwa 99% inaibeba...
  15. GENTAMYCINE

    Mnaomfananisha Mbahatishaji Chama na Anayejua Aziz K mna Akili sawa sawa Kweli?

    Ukiona mpaka GENTAMYCINE (mwana Simba SC tukuka na lia lia ) navutiwa Kumtizama Mfalme wa Kipaji cha Mpira kutoka nchini Burkinafaso Stephane Aziz K ( pamoja na kwamba siipendi Yanga SC ) jua ya kwamba huyo Mtu anajua hasa kwani Kiasili huwa sipendi Vibovu Vibovu. Kuanzia leo hii GENTAMYCINE...
  16. M

    Kati ya Feisal, Chama na Aziz Ki nani zaidi?

    1. Feisal 2. Chama 3. Aziz Kii. Nani zaidi
  17. Doctor Mama Amon

    Swali kwa Jaji Mkuu: Je, ni haki kwa kina Rostam Aziz kutozwa faini badala ya kifungo lakini kina Mbarikiwa kupewa kifungo badala ya faini?

    Jaji Mkuu wa Tanzania, Mhe. Prof. Ibrahim Hamis Juma Mheshimiwa Jaji Mkuu, Tarehe 29 Septemba 2023, Hakimu Mkazi wa Mahakama ya Mbeya, Paul Ntumo, alimhukumu kifungo cha miaka mitatu na nusu, Mchungaji Mbarikiwa Dickson Mwakipesile (39), baada ya kumtia hatiani kwa kosa la kuendesha huduma ya...
  18. Vincenzo Jr

    Picha ya Aziz K na Skudu Makudubela

    Picha ya aziz k na skudu makudubela Mpiga picha ni huyo alipiga goti kapiga picha kalii sana yaani picha imetoka fresh kama imepigwa marekani
  19. GENTAMYCINE

    Hivi Identity ya Aziz K si ni Kukunja Bukta tu, sasa iweje leo Mashabiki tunaambiwa tubebe Funguo Viunoni mwetu kama Wanyasa?

    Mropokaji wetu 'Hali tena Kamwe' chonde chonde Mdogo wangu kwa hizo Fito zako ( Miguu yako myembamba kama Mifyagio ya Chelewa ) uliyonayo Usithubutu Kuvaa Bukta na Kuikunja ili utuonyeshe hizo Fito zako kwani Mashabiki wote Watakimbia Chama la Wazi' Stadium Mbagala na kuwaachieni Timu yenu...
  20. Dr Matola PhD

    Hivi Simba mnaona kinachoendelea Yanga? Sasa mumuogope sana Aziz Ki, zile combination zake za ASEC zipo Avic town

    Hivi Simba mnajuwa kinachoendelea Yanga? Picha inaweza kuongea zaidi, kipande cha cream ya Asec mimosa Kipo Yanga. Wanaojuwa mpira kuna kitu mtakigunduwa hapa maana halisi ya kusajili na kukurupuka. Set ya Wacongo ililipa, je set ya Asec Mimosa tutalajie nini? Tukutane kesho kwa Mkapa Lupaso...
Back
Top Bottom