Maziar Bahari (Persian: مازیار بهاری; born May 25, 1967) is an Iranian Canadian journalist, film maker and human rights activist. He was a reporter for Newsweek from 1998 to 2011. Bahari was incarcerated by the Iranian government from June 21, 2009 to October 17, 2009, and has written a family memoir, Then They Came for Me, a New York Times best seller. His memoir is the basis for Jon Stewart's 2014 film Rosewater. Bahari later founded the IranWire citizen journalism news site, the freedom of expression campaign Journalism Is Not A Crime and the street art and social justice project Paint the Change.
Bosi mwenye saluni inayoitwa bahari popote ulipo nakufikishia haya malalamiko,
Mimi ni mteja hapo saluni kwako tokea 2017 mpaka Sasa hata nikienda mikoani nikirudi huwa nakuja kupata huduma hapo huduma ni nzuri Ila kero yangu ni kwa baadhi ya vinyozi wako wanaomba Sana hela yaan najikuta...
Ukiwapigia TANESCO Call Center watakwambia ni "emergency" imetokea kwenye vituo vyao vya kusambaza umeme, na mafundi wao wabobezi wanalishuglikia tatizo. Wakimaliza marekebisho ya dharura umeme utarudi muda wowote.
Wadau walipa LUKU tujiandae kisaikolojia kwa "emergency" ya kesho ya umeme...
Hivi majuzi Japan ilianza kuyaachilia maji taka yanayotoka kwenye kituo cha nyuklia cha Fukushima na kuyamwaga kwenye baharini ya Pasifiki, licha ya kwamba nchi zake nyingi jirani zilionesha wasiwasi mkubwa juu ya hatua hii, na hata kupinga kitendo hicho. Japan inadai kwamba eti maji haya...
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akishiriki Maadhimisho ya Miaka 60 ya Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT) katika Chuo cha Tumaini Makumira – Arusha leo tarehe 21 Agosti, 2023.
https://www.youtube.com/watch?v=0du5OfCnYHM
Rais wa Jamhuri ya Muungano...
askofu
baada
bahari
dp world
hii
inaweza
kazi
kkkt
maadhimisho
martin luther
miaka 60
mkataba wa bandari
mkuu
mwarabu
rais samia
sakata la bandari
serikali
suala
tag
ushindi
viongozi wa dini
walokole
waraka wa tec
wasabato
watanganyika
Je, mdau unadhani wako sahihi kuomba radhi kwa jambo la mteja?
The Cask Bar and Grill wameomba radhi baada ya kuona video ya wateja wao wakiwa wametumia banner ya the Cask kuweka ujumbe uliosomeka "Okoa Bandari"
The Cask wameomba radhi kwa tukio hilo na kusema kuwa banner yao hutumika na mteja...
Naibu Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi, Mhe. Atupele Mwakibete (MB), amekipongeza Chuo cha Bahari Dar es Salaam (DMI) kwa kuendelea kutoa mafunzo ya Ubaharia kwa maendeleo ya Uchumi wa Bluu.
Mhe. Mwakibete amesema hayo alipotembelea kwenye banda la Chuo cha Bahari Dar es Salaam kwenye maonesho ya...
Mbali na kelele zoote hizi za wananchi! Lakini bado bunge lenye idadi ya wabunge 300 hivi, likiwakilisha wananchi zaidi ya 60 milioni limeishinisha kubinafisishwa kwa Bandari zetu zote Tanganyika
umefika wakati sasa, maoni ya wengi yaheshimiwe, hasa kwenye mambo makubwa kabisa yanayomgusa kila...
Part 1
Mvua inanyesha aridhi nayo chapachapa dongo jekundu natoka kwenda kusaka, mguu mosi mguu pili mpaka kunako shamba naanza kuchimbua ili kupanda zangu karanga,
Namaliza kipande pekee baba yangu alichonikwezea japo si haba napata kitu mdomoni, hii ni baada ya kufiwa na wazazi wangu...
Kuna masela wawili pale jangwani waliofanikiwa kuipata chemchem baada ya miaka 88 na wananchi rasmi kuanza kuiota bahari katikati ya jangwa. Hawa ni viongozi wangu ila ni masela wenzangu pia.
Wakati waanza masela hawa kila mtu hakuwa na imani nao kama wateza kupata maji jangwani na badala yake...
Jeshi la Marekani limethibitisha ndege yao isiyo na ruban (Drone) imeangushwa kwa kugongwa na ndege vita ya Urusi katika Bahari Nyeusi ambako Jeshi la Marekan wanasema drone yao ilikuwa katika eneo la kimataifa!.
Ata hivo mjadala umeibuka kuwa drone ilienda kutafuta nini Bahari Nyeusi ambako...
Kugunduliwa kwa chuma kikubwa cha mviringo kinachofanana na mpira wa miguu katika mji wa pwani ya Japan wa Hamamatsu, takriban kilomita 200 kusini magharibi mwa Tokyo, kumezua wimbi kubwa la uvumi.
Mamlaka za mitaa, polisi na kikosi cha mabomu walitumwa kwenye ufukwe wa Enshuhama kuchunguza...
Upepo unaotoka baharini pamoja na harufu yake ni kitu kibaya kuliko vyote kwa watoto wadogo hasa wanafunzi. Mzazi unashauriwa kumsogeza Mtoto wako mbali kidogo na bahari ili kuuwezesha ubongo wake kudevelop.
Ogopa mikoa ifuatayo
Dar
Pwani
Lindi
Mtwara
Tanga
Zanzibar
Na mikoa ya jirani na hiyo.
Ngoja tuambizane ukweli kuhusu bahari!
Kuna wakati unaweza hisi umejifunza yote! Kumbe unachokijua hapa duniani hakifikii hata theruthi ya theruthi ya maajabu ambayo huyajui hapa duniani!
Hata mengine ukisimuliwa unaweza fikilia ni chai!
Ukweli ni kwamba kila kitu Mungu kakibalansi!
Ukibeba...
Nadhani tunaelewana kwamba kwenye ukumbi huu dj ni mmoja TU! Na muziki unaotakiwa kuchezwa humu ni taarabu TU au mziki wowote wenye mahadhi ya kingazija! Haiitajiki kelele au kutupatupa mikono ama kuruka majoka.
Ma dj wetu kutoka bara wamechemka wakapigwa benchi, si mnamkumbuka lukuvo na...
Korea Kaskazini imerusha kombora kuelekea Kusini, ambalo lilivuka mpaka wa bahari wa nchi hizo mbili kwa mara ya kwanza tangu kugawanyika kwa peninsula hiyo.
Kombora hilo la masafal mafupi lilitua umbali wa kilomita 60 kutoka mji wa Sokcho Kusini na kufyatua kengele za mashambulizi ya anga...
Urusi ilisitisha makubaliano hayo baada ya Ukraine kushambulia meli zilizokuwa zikihakikisha usalama wa njia za baharini.
Hatima ya ngano iliongezeka kwa karibu 8% siku ya Jumatatu baada ya Urusi kujiondoa kutoka kwa makubaliano ya usafirishaji wa nafaka na Ukraine kufuatia shambulio dhidi ya...
Salama wandugu
Sijui tenda nitapata vipi Mimi mzalendo. Mimi nitazalisha nawauzia DAWASA. Kama tatizo kama hili linawashinda wasomi wetu hawa, kuna haja gani kuendelea kuwasema tu hapa JF bila kuwasaidia na kuisaidia nchi kama mzalendo namba 1.
Ni ndani ya wiki mbili huduma inaanza...
Sala Wakuu,
Ni aibu kwa Dar, Tanga na Zanzibar kuwa na Mgao wa Maji Wakati kuna Bahari.
Nashauri Serikali itengeneze Maji ya Bahari ili kuondoa tatizo la maji Dar.
Maji ya Ruvu hayatoshi. Pwani peke yake kwa Takwimu za Serikali ina Viwanda 1036 na vyote vinatumia hayo Maji. Achinjilia mbali...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.