Wakuu wazima?
Katika process za kutoa kontena bandarini, naomba mwenye uelewa anifungue macho hapa. Ni kodi zipi na asilimia ngapi hulipwa kwa kontena la 40HQ, mzigo ni machines za kiwandani, rawmaterials na packages.
Itapendeza kama nikipata mchanganuo wa gharama zote.
Natanguliza shukrani..