Hapa Waziri kayakoroga!
Tuliopitia JKT ,tena kwa mwaka mzima, tunajua kuwa huwezi kuchanganya mavazi ya kijeshi na ya kiraia.
Hapo pichani gazeti ka Guardian leo page 2, waziri kavaa Olive Military uniform , halafu na kapelo ya mtaani.
Kwa hizi military uniforms inabidi JWTZ itoe mwongozo jinsi...