basi

  1. M

    Ni lipi Basi zuri la VIP la kwenza Mwanza kutoka Dodoma

    Naomba kujuzwa basi zuri la VIP la kutoka Dodoma hadi Mwanza lisilo na mwendo mkali. Ni mara ya kwanza kuelekea jiji la Mwanza.
  2. Nehemia Kilave

    Ni lini Mchungaji Msigwa atafikishwa mahakamani na Mbowe ?

    Naona bado anaendelea , au sio post yake ? Au wanajuana madhaifu yao ? Au anazo bilioni 5 ?
  3. GENTAMYCINE

    Ni kweli kila mtoto anayekupa hela anakuwa ni Malaika kutoka Mbinguni?

    Kwahiyo kumbe hata Mimi GENTAMYCINE nikienda Kuwatembelea Marafiki zangu wakubwa hapa JamiiForums akina Mtani wangu Arovera, mrangi, Bila bila, SAGAI GALGANO. rodrick alexander na Mjeda wangu wa 521 Lugalo King Kong III na Watoto wao wakija kunipa Hela basi moja kwa moja natakiwa Kujisifu na...
  4. LIKUD

    Kiboko ya Wachawi ni aidha amechanganyikiwa au ni kazi ya mizimu na miungu wa watu aliowaumiza

    Behaviour ya Kiboko ya Wachawi kuwakejeli victim wake inatoa taarifa moja tu kuhusu hali ya kiakili ya kiboko ya Wachawi. Amechanganyikiwa. Inaweza kuwa ni kazi ya Mungu mwenyewe au kazi ya miungu wa victim wake (probably walienda kulalamika kwenye madhabahu zao) Pia inaweza kuwa kazi ya...
  5. D

    Mwanzo nilijua ukiwa tajiri basi umejiepusha na kero ndogo za serikali kumbe tabu iko palepale

    Unaweza kusema labda kwa vile mtu umepambana umetajirika basi utakuwa mbali na kero za serikali kumbe tabu iko palepale Unakimbia kero ya kupanda mwendokasi kwa kununua magari binafsi lakini unakutana na kero ya barabara mbovu, mashimo na foleni Unakimbia kero ya kupanga unaamua kujenga nyumba...
  6. Webabu

    Ukiondoa ushabiki, basi shambulio la Israel la simu za mkononi nchini Lebanon ni shambulio lililofeli na la aibu sana

    Mashirika yote yaliyotajwa kuwa yalihusika na kutengeneza simu za mkononi za pagers na Walkie talkie zilizowaripukia watu nchini Lebanon wamekataa kuhusishwa na vifaa hivyo.Kila mmoja akitaja kuwa zilitengenezwa na mdau mwengine. Kikawaida Israel inapoona imepata mafanikio kwenye mashambulio...
  7. GENTAMYCINE

    Naogopa sana kuna Mtu akijifanya tu anakupenda au anakusifia basi jua muda wowote tu anaenda Kukutumbua

    Nakumbuka mno Waziri Mmoja aliposifiwa kuwa anajua Kuzungumza na Kupambania Jambo na Kesho akatumbuliwa. Na mpaka sasa haamini kwani alikuwa ameshaota Mapembe tayari huku akijiamini kwakuwa ana Waganga wazuri wa Kwao na alikuwa akimsaidia katika Umafia fulani ila akaliwa nae Kichwa mazima.
  8. GENTAMYCINE

    Kwakuwa Mabalozi wa Kigeni walioko Nchini hatuwaamini kwa lolote ila tunawaamini Marais wao basi nasi tuwaondoe Wetu Makwao na tujiwakilishe Kibinafsi

    Yaani kama Mtu mzima hadi sasa hujajua na hujui kuwa Balozi ni Mwakilishi namba Moja wa Rais wa Taifa husika nchi fulani na kwamba kila Siku au mara kwa mara huwa wanafanya Mawasiliano ya moja kwa moja basi utakuwa si tu labda huna Akili lakini pia upo hapo ulipo kwa bahati mbaya au Watu...
  9. LIKUD

    Kama mwanaume unaweza kukaa siku nzima bila kupokea meseji ya " mambo" basi jua kuna kitu kina miss kwenye maisha yako

    Mwanaume aliyekamilika lazima apokee meseji inayo sema " mamb" walau mara 4 kwa Siku kutoka kwa watoto wa kike. Mimi kwa Siku napokea zaidi ya mara 7 kutoka kwa wasichana 7 tofauti. Na wewe sema " NAPOKEA" !!! Haya pokea. Nisipopokea msg kama hiyo naweza kuumwa walahi.
  10. GENTAMYCINE

    Kwanini ukipanda ama Basi au Gari linaloendeshwa na Mzee unakuwa na Amani na Safari yako kuliko ukipanda ambalo anaendesha Kijana?

    Halafu niwaombe mno Wazee mnaoendesha Magari / Mabasi hebu pangeni Siku muwe mnatoa Elimu kwa Vijana Ok?
  11. GENTAMYCINE

    Utafiti wangu binafsi: 75% ya wanawake hupenda wanaume wenye usela na utukutu kuliko wale wastaarabu

    Na kama kuna akina Matomoso ambao mtalibishia hili naomba mkija Kubisha mje mniambie ni kwanini 90% ya Wanawake (Mademu) ambao huachana na Waume zao / Mabwana zao wengi wao hujikuta wameangukia katika Mahusiano na Wanaume Machakaramu (Masela na Watukutu) na ni nadra sana kukuta wameanzisha...
  12. M

    Ukimiliki pesa, umemiliki hisia za kujiamini; na ukizikosa basi umepoteza sehemu ya kujiamini

    Linapokuja suala la umiliki wa pesa basi tunazungumzia hisia ziletwazo na pesa ambavyo kwa namna yoyote unatakiwa hisia hizo zisikushinde bali uzitawale.Wengi hatutafuti pesa kama zilivyo karatasi bali tunatafuta ile hisia ambayo mtu anakuwa nayo akiwa na pesa ndio maana leo hii mtu akiwa na...
  13. Pdidy

    Mikese: Wanne wafariki ajali ya basi la Kibisa, 15 wajeruhiwa

    Watu wanne wamefariki dunia na wengine 15 wamejeruhiwa baada ya basi la kampuni ya Kibisa lililokuwa likitokea Dodoma kuelekea Dar es Salaam kugongana uso kwa uso na gari la kubebea mizigo…ajali iliyotokea usiku wa kuamkia leo katika kata ya Mikese Manispaa ya Morogoro. Kaimu Afisa Habari wa...
  14. C

    Ushauri: Ili kuwahi kufika Mwanza ktokea Dar es Salaam panda SGR (Dar-Dom) malizia na basi

    Safari ya Dar-Mwanza inachosha ili kupunguza muda wa safari kamata SGR mpaka Dom (kuwasili saa 4 asubuhi) kisha kwea Basi mpaka Mwanza. Asanteni
  15. Determinantor

    Kama huyu ndio msimamizi wa Uchaguzi basi tusubirie maumivu

    Kama kuna Nchi ya ajabu basi Tanzania ni mojawapo, ni Nchi yenye VIONGOZI wasio na maono Kabisa. Huyu ni Waziri eti akiwa Kwenye jezi za CCM
  16. uhurumoja

    Zahera akitoa huu mwezi basi atakaa msimu mzima

    Namungo haibebeki ni inapigwa kama Ngoma tena nyumbani na team za daraja lake ikiwepo na team mpya ya Fountain Gate. Hapa naona David ouma akipewa kazi faster na zahera kwenda mapumzikoni
  17. K9TZ

    Kama una Pixel 9 Pro XL, na hauna chaja basi hizi ndio chaja inaweza kutumia zikafaa.

    Hata hivyo, ikiwa unatafuta chaja ya wahusika wengine ambayo inafanya kazi na Google Pixel 9 Pro XL, utahitaji kuhakikisha kwamba inatumia voltage inayohitajika. Baadhi ya chaguo ni pamoja na chaja ya Samsung ya 45W ambayo inatumia hadi 20V/2.25A kupitia PPS, au 45W Nano II ya Anker, ambayo pia...
  18. buyoya419

    Kama ulichelewa kwenye Dogs Coin Airdrop basi kuna hizi nyingine soon zinakuwa launch cats and major zipo chini ya Telegram

    Jitihada zako ndio zitakupa faida kama zilivyowafaidisha waliokuwa na Dogs coin Airdrop Link hizo hapo chini click then start anza kukusanya coin https://t.me/major/start?startapp=474175254 http://t.me/catsgang_bot/join?startapp=CeU2qhnwz88jYNeUJJYN8
  19. Liverpool VPN

    Dear Baby, Ukiniomba tu hela basi mimi na wewe tumemalizana..!!!

    Mwenzenu nina ""aleji"" ya kuombwa hela 1. Ukiniomba hela basi ujue sura yako inabadilika kutoka Kuwa Beyonce kwenda Masudi sura mbaya..!!!! 2. Ukiniomba hela basi ujue hilo tako lako loteee linayeyuka, nakua silioni tenaaa ....!!!! Dear baby, ukiniomba hela hiyo meseji sijibu ng'ooooooo...
  20. BabaMorgan

    Kama mama yako hajitambui basi lawama zote apewe baba yako

    Kuna msemo kuwa unaweza kuchagua marafiki lakini huwezi kuchagua ndugu wote tumezaliwa hatukuchagua baba wala mama ikitokea bahati nzuri ukazaliwa kwa wazazi wanaojiweza unashukuru ikitokea ukazaliwa kwa wazazi pangu pakavu unakubaliana na hali sababu huna uwezo wa kuchagua. Ukweli mchungu...
Back
Top Bottom