bavicha

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. T

    Uchaguzi wa Katibu Mkuu BAVICHA 2019: Upepo wamwendea vizuri CPA Kitalika Titho

    Wanazengo salaam. Nimekuwa nikifuatilia kwa ukaribu kinachoendele katika uchaguzi ndani ya BAVICHA hasa kwa wagombe sita wanaofahamika yaani huyu CPA KITALIKA, Hemed ALLY, Simbeye Edward, Nusrate Hanje, Gwamaka Mbughi na Chacha Machera. CPA Kitalika, Gwamaka na Chacha hawakabiliwi na...
  2. M

    Uchaguzi mkuu Bavicha: Ni mpambano wa Alphonce Lusako na Mdude Nyagali

    Ni mpambano mkali. Ndivyo tunavyoweza kusema ukitizama watia nia wanaogombea nafasi ya Mwenyekiti wa Bavicha Taifa. Baraza la Vijana Chadema BAVICHA ndicho chombo kikuu kinachowasemea vijana si ndani ya chama tu bali Taifa kwa ujumla. Pia Baraza hili limekuwa likiwapika vijana kuwa viongozi...
  3. Erythrocyte

    Mdude Nyangali arejesha fomu ya kuomba Uenyekiti wa Taifa BAVICHA

    Unaambiwa siasa za awamu hii ni zile siasa ngumu kabisa , ni siasa za vitendo zaidi badala ya maneno , ni siasa za jasho na damu . Wanatakiwa Vijana shupavu wasioogopa kuuawa .
Back
Top Bottom