bavicha

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Q

    BAVICHA leo saa 5 kutangaza msimamo wao kuhusu Wabunge 19 wa Viti Maalum

    Kamati tendaji ya Baraza la Vijana CHADEMA (BAVICHA) usiku wa kuamkia leo imefanya kikao chake cha dharura kilichoongozwa na Mkiti wake John Pambalu. Leo saa 5 asubuhi kinatarajia kuongea na waandishi wa habari kutoa msimamo wake juu ya kinachoendelea kuhusu wabunge wa Viti Maalumu. “BAVICHA...
  2. Erythrocyte

    Viongozi wa BAVICHA waliokuwa wanashikiliwa Mkoani Singida wameachiwa huru

    Hii ndio taarifa iliyotufikia usiku huu, kwamba Mhamasishaji wa BAVICHA Twaha Mwaipaya na Katibu Mkuu wa Bavicha Mh Nusrat Hanje , leo wameachiwa huru na Serikali ya Tanzania , huku ikidai haina haja ya kuendelea na kesi hiyo, hii ni masaa machache kabla ya kusomwa hukumu ya maombi yao ya haki...
  3. K

    Hongera BAVICHA na BAWACHA mmefanya kazi nzuri matunda tunayaona

    Umoja wa vijana na umoja wa wanawake umeimarika na umetoa viongozi wengi wa leo na kesho wa Taifa hili. BAWACHA nadhani ndio umoja wa wanawake wa vyama vya siasa uliowahi kusimamisha wanachama wengi kugombea Ubunge Afrika na hata Duniani. Lakini pia umoja huu si tu umetoa wagombea wanawake Bali...
  4. Erythrocyte

    Nakuomba Tundu Lissu wewe binafsi uingilie kati sakata la viongozi wa Bavicha wanaosoteshwa Magereza na DPP anayeitumikia CCM

    Haiwezekani vijana hawa wasoteshwe jela kwa makosa yenye dhamana kwa sababu ya matakwa ya Biswalo Mganga na waliomtuma , hawa vijana hawana kesi yoyote ya maana ya kufanyiwa unyama huo. Tundu Lissu tafadhari sana ingilia kati jambo hili wewe mwenyewe binafsi ili limalizike , unyama huu...
  5. Erythrocyte

    Kongamano la BAVICHA kuilipua Mwanza, Mnyika kuhutubia

    Ratiba ya Nchi inaonyesha kwamba Mwanza kuna kongamano la BAVICHA Jumapili hii na litahutubiwa na Katibu Mkuu wa chama Mhe. John Mnyika Ewe kijana wa Mwanza hutakiwi kukosa kongamano hili hasa ikizingatiwa kwamba , Bavicha ndio Taasisi bora kabisa ya vijana kwa sasa barani Africa , njoo...
  6. Erythrocyte

    Viongozi wa BAVICHA Singida kufikishwa Mahakamani leo

    Hawa vijana wanateseka kwa sababu za kishamba sana zilizoambatana na njama ya Jeshi la polisi kwa lengo la kuokoa ccm Singida , leo kuna rufaa ya kutaka waachiwe kwa dhamana Mashitaka yao ni vituko vitupu ! kuna haja ya CHADEMA kuweka uchunguzi maalum kwa jeshi la polisi Singida ili kufahamu...
  7. Erythrocyte

    Nusrat na Twaha: Viongozi wa Bavicha waliokamatwa Singida Wanyimwa dhamana

    Leo Julai 10,2020 Mahakama ya Wilaya ya Singida imewanyika dhamana Katibu Mkuu wa Bavicha Mhe. Nusrat Hanje, Mratibu wa Uhamasishaji Mhe. Twaha Mwaipaya na wenzao watano katika kesi ya jinai namba 115/2020.
  8. B

    BAVICHA msiwe wavivu,msiwe kama wao. Jukumu la kupeperusha bendera ni letu si lakukodi watu

    BAVICHA kazi zetu za kila siku za SIASA na UJENZI wa CHAMA zianze kufanywa na WAFUNGWA?, Hata mwenyekiti akitutenga na kuteua kutoka CCM sisi tusikubali kugoma na kuwaachia wazee wakakodi wafungwa. Jukumu la kukijenga chama na kupeperusha bendera za chama hai Cha siasa ni la vijana. Suala la...
  9. Erythrocyte

    Hatimaye Mwenyekiti wa Bavicha Mkoa wa Kilimanjaro, Lembruce Mchome aachiwa kwa dhamana

    Hii ni baada ya kukalishwa selo kwa mwezi mmoja , ameachiwa leo jumatatu . Alikamatwa kwa tuhuma za kupiga picha gari la DG wa TISS , lakini baadaye akashitakiwa kwa kesi ya kuumba ya kusambaza picha za ngono . Shukrani ziwaendee wanasheria wa Chadema
  10. Tabutupu

    Vijana wanasiasa wajifunze kwa nguri wa siasa Lowassa

    VIJANA WANASIASA WAJIFUNZE KWA NGURI WA SIASA LOWASA Kizazi cha kina lowasa na wenzake kama kina JK,Kinana, Mangula etc ni kizazi kilicho anza siasa enzi za Nyerere wakati huo ilikua muhimu kwenda jeshini, kusoma chou cha siasa kivukoni, kushika madaraka ya serikali toka ngazi za chini ndipo...
  11. Erythrocyte

    Mchome Mwenyekiti wa Bavicha Kilimanjaro aliyesafirishwa kuelekea Dar es salaam, Hayupo kwenye vituo vya Polisi , yuko wapi au gari bado haijafika ?

    Gari iliyombeba imetajwa kufahamika kwa namba za usajili za T 363 CDU
  12. Erythrocyte

    Mwenyekiti wa BAVICHA Mkoa wa Kilimanjaro akamatwa na Polisi akidaiwa kupiga picha gari la Mkurugenzi wa TISS

    Lembrus Mchome anadaiwa kukamatwa na polisi kwa tuhuma za kupiga picha gari la Diwani Athuman akiwa Kwao Mwanga , ambapo gari hiyo imeonekana mitandaoni ikiwa imeegeshwa maeneo ya Mwanga . Bila shaka kesi hii ikifika mahakamani itavuta hisia za wengi , maana hata kama ni kweli , kupiga picha...
  13. pombe kali

    Bavicha waliingia kwenye 18 za hawa majamaa

    Sijui kama kuna mtu anajua kama jeshi la Magereza ni muongoni mwa majeshi yenye mazoezi makali pamoja na kuwa na kikosi maalum (special forces)
  14. Erythrocyte

    Video: BAVICHA yawaapisha vijana wa Sumbawanga kiapo cha utayari

    Kiapo kiliongozwa na Twaha Mwaipaya , kijana ambaye nyota yake ya uhamasishaji kwa muda mfupi aliopewa madaraka inatisha mno !
  15. Erythrocyte

    Jeshi la Polisi lazuia Mkutano wa ndani wa Bavicha Sengerema

    Hii hapa nukuu ya Rais Mstaafu Dr Jakaya Kikwete kwa wanaccm mwaka 2012
  16. Erythrocyte

    Video : BAVICHA yatetemesha Morogoro

    Acheni tu siasa ziendelee kupigwa marufuku , maana zikiruhusiwa visukari vya watu vitapanda mara dufu . Hapa ni mkoani Morogoro kwenye Kikao cha ndani cha BAVICHA, ambayo imebainika sasa kuwa ndio Taasisi ya vijana inayoongoza barani Africa.
  17. B

    Patrick Ole Sosopi akihutubia Kamati ya Utendaji ya Bavicha Taifa

    December 08, 2019 Dar -Es-Salaam, Tanzania Mh. Patrick Ole Sosopi akihutubia Baraza Tendaji la Vijana wa CHADEMA Akitoa hotuba iliyoteka hisia za wasikilizaji amewataka Vijana wa CHADEMA ambao amesema ndiyo BARAZA KIVULI LA VIJANA WOTE TANZANIA tofauti na UVCCM ambao ni wasemaji wa makada wa...
  18. Emmanuel J. Buyamba

    UCHAGUZI BAVICHA: John Pambalu aibuka kidedea Uenyekiti. Nusrat Shaaban Hanje ateuliwa kuwa Katibu Mkuu

    Baraza la vijana (Bavicha) la Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) linaendelea na uchaguzi wake leo kwa ngazi ya kitaifa. Muda mfupi uliopita katika ukumbi wa Mlimani City limewapata viongozi wake wakuu ambapo Diwani wa Butimba jijini Mwanza, Bwana John Pambalu ameshinda Uenyekiti kwa...
  19. Erythrocyte

    Bavicha yatikisa, Shamsa Ford alipua shangwe, asema wazi kwamba vijana wanaopenda maendeleo wako Chadema

    Habari kamili hii hapa.
Back
Top Bottom