Msimamo usioyumbishwa! Hiyo ndiyo picha aliyoitengeneza Rais Dkt. John Pombe Magufuli kwenye vyombo vya habari vya kimataifa, baada ya kueleza waziwazi mashaka yake juu ya mashine zinazotumika kupima sampuli za wagonjwa wa Corona.
Akizungumza kutokea Chato, mkoani Geita wakati wa hafla fupi ya...
NAWAZA kwa nini baadhi ya nchi za AFRIKA zinaona tabu kufanya LOCKDOWN au hata PARTIAL LOCKDOWN katika kupambana na janga la COVID-19?
NAWAZA inakuwaje baadhi ya nchi nyingine za kimagharibi na hata za Afrika Mashariki na Kati zimefanikiwa vipi kukabiliana na janga hili hata wasiwe na kifo hata...
Coronavirus: What misinformation has spread in Africa?
African countries are experiencing a rise in the number of new coronavirus cases, and many governments have been enforcing strict social distancing measures.
As they prepare for a surge in cases, misleading information has been spreading...
Location: Dar es Salaam, Tanzania
Reports to: Regional Director, Africa (based in London)
Contract duration: 36 months (with the possibility of extension)
BBC Media Action in Tanzania
BBC Media Action is currently implementing several multi-year projects in Tanzania addressing themes such as...
Watazamaji wengi wanapata taharuki toka kwenye vituo hivi. Wana equate madhila ya nchi za nje na kufanya kwamba hali hiyo ndivyo ilivyo hapa nchini.
Sasa maofisi mengi yanafungwa kwa kasi ya mwanga maana waangaliaji wa vituo hivi ni watu wakubwa kwenye taasisi na mashirika mbali mbali ambao...
That's why we will no longer receive public funds for royal duties. With Bitcoin Trader we can concentrate on family and our main task - to help the British people. This is an independent passive revenue stream with a HIGH percentage. It is not possible with any bank or investment project in...
BBC wameshamuweka Bulembo kwenye list ya USA ban na kimsingi Mambo yanazidi kunoga Sana tena sana kinachofanyika sSasa ni kuendelea kuuthibitisha ukweli Mambo yanayoendelea Tanzania.
Zitto katishiwa kuuawa na Bunge na wabunge wakapiga makofi akiwemo mchungaji wa kanisa Mama Lwakatare.
NAMTUMIA...
Habari wanajukwaa wenzangu🤝, naomba ufafanuzi wa jambo hili.
Ni kwanini vyombo vya habari vya serikali especially radio na TV vingi vinatumia mfumo mmoja wa majina yao mfano (KBC, TBC, BBC, UBC, etc.)
1:Je nilazima kwa radio na Tv za serikali kutumia mfumo huu.?
2:Ni sababu ipi ilizifanya...
Kwa miaka ya hivi karibuni idhaa ya kiswahili ya BBC imejikita Tanzania kana kwamba hakuna habari katika nchi nyingine. Halitokei jambo Tanzania BBC ikaacha kulitangaza tena mara nyingi bila weledi wala kuzingatia taaluma.
Jana kumetokea tukio la kihistoria na lenye manufaa si kwa Tanzania...
Mshindi wa tuzo la IAAF, la mwanariadha bora duniani, mwaka wa 2018 na 2019 pia. Ambaye ndio mshindi wa Laures Exceptional Achievement Award 2019 na Elder of the Order of the Golden Award of Kenya, mwanariadha Eliud Kipchoge ameteuliwa tena, kuwania tuzo la BBC Sports Personality of the Year...
Mwandishi Sammy Awami amejitahidi kwa kiwango kikubwa kuuliza maswali ya msingi sana lakini Humphrey Polepole amebisha vikali juu ya ukiukwaji mkubwa wa demokrasia
BBC wameipongeza JamiiForums kwa kuwa kimbilio la wananchi kupata habari za ukweli na uhakika
Sasa Maxence Melo anahojiwa mubashara kuhusu tuzo anayoipokea nchini Marekani.
Chanzo: BBC Dira ya Dunia
Siku mbili tatu hizo zilizopita mtaalamu wa UN kuhusu haki za binadamu alitoa taarifa yake baada ya kumtembelea JULIAN ASSANGE. Ni mmiliki wa WikiLeaks ambaye kwa sasa anashikiliwa na Serikali ya Uingereza akisubiri uamuzi wa ama kumkabidhi kwa serikali ya Marekani au la. Alikamatwa mwezi April...
Siku chache zillizopita, mfanyibiashara maarufu nchini Mo, alihojiwa kwa mara ya kwanza tokea kuachiliwa huru mwaka jana na chombo cha habari cha nje, shirika la utangazaji la BBC
Nilisikiliza kwa makini sana clip hiyo na ningependa maswali yafuatayo yajibiwe na viongozi wetu wa serikali
1...
BBC has completed its investigations in Syria, where they have discovered that Syrian President Assad has gassed civilians 106 times. I used to support Assad, lakini kama hii habari ni ya kweli, basi ni vizuri serikali yake ipinduliwe. Marekani, kazi kwako. Ama wewe waonaje?
How chemical...
Tanzania ya viwanda inawezekana, mwenye proposal ya namna ya kutengeneza bidhaa za tambi, namna ya kutengeneza, Ratios, NA rasilimali zingine muhimu za kuzingatiwa wakati was kutengeneza bidhaa hii muhimu. Uweza nicheck via sadickjaphari2@gmail.com
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.